autorun255
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,105
- 364
Hivi Nuhu alikuwa black kumbe.
kumbe wale wanyama aliowaingiza kwenye safina aliwatoa wapi kama sio Serengeti na Ngorongoro.......huko ulaya, au middle east kama tunavyosimuliwa, hao kina Tembo, simba, chui na wenzao wangetokea wapi ?
kumbe wale wanyama aliowaingiza kwenye safina aliwatoa wapi kama sio Serengeti na Ngorongoro.......huko ulaya, au middle east kama tunavyosimuliwa, hao kina Tembo, simba, chui na wenzao wangetokea wapi ?
Ubaguzi upo kila kona duniani people,relax na ukubali matokeo.sisi wenyewe mbona tunabaguana sana kwa itikadi za kisiasa,kidini,kikabila!!!!!
halafu sie ndo tunajifanya kuwashobokea.Wazungu nawachukia sana. ***** zao
Money Stunna , kusema Lupita ni among the very beutuful black girls alive, ni kuwa racist na kuiundermine black race.
She is just normal black girl, not so beutuful, kuna watoto wazuri et,with black skin ,akina CUTE cherry ......
Kwamba Lupita Is what a black race can offer??? Nakataaa
Fyatu umetisha..hahaha. .Wale wanyama walijipeleka wenyewe Fyatu ama we ulisoma biblia ipi kuwa nuhu aliwatafuta
Hahaaaa kweli we FYATU kwahiyo dunia nzima Afriva tu ndo kuna wanyama lol! hivi na wale dubu na yule Simba aliyepigana na Samson walitokea wapi lol!
halafu sie ndo tunajifanya kuwashobokea.