Bora mkuu,utajisikiaje unatembea mtu anakutupia ganda la ndivi makusudi. ndio watanifunga sasa.hapo unatafuta jela
Kwanini asijichubue tu afaidi Ujana ! Utakuta anatamani ila basi tu atafanyeje!
We li Rangi hilo khaaaa !
:sorry:
:closed_2:
maana nimekuwa nikisikia sana jina lake,amekuwa star ghafla
Kwan kutokea mtaani ndo ushindwe kutoka?? Endelea kulia lia tuBado kuna visingizio lupita amesona majuu babake ni waziri familia yao tu iko vizuri mpaka kuwa na uwezo wakumsomesha huko mexico hata mdogo wake anasoma florida kuna tofauti wasanii wetu wengi ni wametokea mitaani tu na wengi hata hawajasona so inawia vigumu kutamulika majuu kidhungu ziro.
Kama hakutamani kuwa msanii, hizo bongo movies anaigiza kwa kigezo gani?
Of all the places, Malaysia nako kuna elimu? Najua mimi ni kilaza nilikimbia umande lakini siamini kama Malaysia kuna elimu nzuri.
Lupita first African to win an Oscar. Hongera zake. No matter where you are from your dreams are valid. Qoute Lupita Nyongo.
huo ndo ukweli na ukweli unaumaaaaKwan kutokea mtaani ndo ushindwe kutoka?? Endelea kulia lia tu
Hey Jamiiforums What do you like about her outfit?
sio akli finyu tu na elimu duni angekuwa na akili asingepiga picha na taulo na ndo maana hatufiki tutabaki hapohapo kuigiza tamthilia na kuziita movie
kwangu zote sawa tu japo nazipendaKama izo bongo movie nazo ni tamthiliya , na zile za Mexico ni nini?? Ama zile za Phillipines,