Waingereza wawili na Mmorocco waliokamatwa na jeshi la Urusi wahukumiwa kifo

Waingereza wawili na Mmorocco waliokamatwa na jeshi la Urusi wahukumiwa kifo

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Waingereza wawili na mwanamume mmoja wa Morocco waliokamatwa na vikosi vya Urusi nchini Ukraine wamehukumiwa kifo, shirika la habari linalomilikiwa na Urusi RIA Novosti linaripoti.

Aiden Aslin, 28, kutoka Nottinghamshire, Shaun Pinner, 48, kutoka Bedfordshire, na mtu wa tatu, raia wa Morocco Saaudun Brahim, walifikishwa katika mahakama ya Jamhuri ya Watu wa Donetsk, ambayo inashikiliwa na waasi wanaoiunga mkono Urusi.

Mahakama hiyo haitambuliki kimataifa.

Wanaripotiwa kushtakiwa kwa kuwa mamluki.

Lakini familia za wanaume wa Uingereza wanasema walikuwa katika jeshi la Ukraine.

Wanaume wote wa Uingereza wanahudumia wanajeshi wa Ukraine na Uingereza imeweka wazi kuwa ni wafungwa wa vita wanaostahili kinga na hawapaswi kufunguliwa mashtaka kwa kushiriki katika mapigano.

Telegram RIA News ilisema: ‘’Mahakama Kuu ya DPR ilitoa hukumu ya kwanza kwa mamluki- Mwingereza Aiden Aslin na Sean Pinner na Mmorocco Saadun Brahim walihukumiwa kifo, mwandishi wa RIA Novosti anaripoti kutoka chumba cha mahakama.’’
Screenshot_20220610-143523_Chrome.jpg
 
Waingereza wawili na mwanamume mmoja wa Morocco waliokamatwa na vikosi vya Urusi nchini Ukraine wamehukumiwa kifo, shirika la habari linalomilikiwa na Urusi RIA Novosti linaripoti.

Aiden Aslin, 28, kutoka Nottinghamshire, Shaun Pinner, 48, kutoka Bedfordshire, na mtu wa tatu, raia wa Morocco Saaudun Brahim, walifikishwa katika mahakama ya Jamhuri ya Watu wa Donetsk, ambayo inashikiliwa na waasi wanaoiunga mkono Urusi.

Mahakama hiyo haitambuliki kimataifa.

Wanaripotiwa kushtakiwa kwa kuwa mamluki.

Lakini familia za wanaume wa Uingereza wanasema walikuwa katika jeshi la Ukraine.

Wanaume wote wa Uingereza wanahudumia wanajeshi wa Ukraine na Uingereza imeweka wazi kuwa ni wafungwa wa vita wanaostahili kinga na hawapaswi kufunguliwa mashtaka kwa kushiriki katika mapigano.

Telegram RIA News ilisema: ‘’Mahakama Kuu ya DPR ilitoa hukumu ya kwanza kwa mamluki- Mwingereza Aiden Aslin na Sean Pinner na Mmorocco Saadun Brahim walihukumiwa kifo, mwandishi wa RIA Novosti anaripoti kutoka chumba cha mahakama.’’
View attachment 2256320
Tuliwaambia russia kajitoa kwenye mahakama za kihuni za dunia sasa lazima waukrain na vibaraka wao wakome ni shaba tu za kichwa
 
Vivaa puttin, ila mwamba ee mwachie huyo mmorocco arudi kwao ni mwafrika mwenzetu huyo, na wakane wasirudi tena kuwasaidia ukraine,,, hao wengine ambao ni waingereza washugulikieni ipasavyo.
 
Waingereza wawili na mwanamume mmoja wa Morocco waliokamatwa na vikosi vya Urusi nchini Ukraine wamehukumiwa kifo, shirika la habari linalomilikiwa na Urusi RIA Novosti linaripoti.

Aiden Aslin, 28, kutoka Nottinghamshire, Shaun Pinner, 48, kutoka Bedfordshire, na mtu wa tatu, raia wa Morocco Saaudun Brahim, walifikishwa katika mahakama ya Jamhuri ya Watu wa Donetsk, ambayo inashikiliwa na waasi wanaoiunga mkono Urusi.

Mahakama hiyo haitambuliki kimataifa.

Wanaripotiwa kushtakiwa kwa kuwa mamluki.

Lakini familia za wanaume wa Uingereza wanasema walikuwa katika jeshi la Ukraine.

Wanaume wote wa Uingereza wanahudumia wanajeshi wa Ukraine na Uingereza imeweka wazi kuwa ni wafungwa wa vita wanaostahili kinga na hawapaswi kufunguliwa mashtaka kwa kushiriki katika mapigano.

Telegram RIA News ilisema: ‘’Mahakama Kuu ya DPR ilitoa hukumu ya kwanza kwa mamluki- Mwingereza Aiden Aslin na Sean Pinner na Mmorocco Saadun Brahim walihukumiwa kifo, mwandishi wa RIA Novosti anaripoti kutoka chumba cha mahakama.’’
View attachment 2256320
Chapa shaba mapema kabla marekni hwjaanza makelele yao
 
Hao kwanza wangepewa Adhabu nyingine yoyote kabla hawajawaua
 
Back
Top Bottom