Wainjilisti waliotoka uislamu Musa B. Musa, Ibrahim Dikko, Muhammad Muhammad jinsi wanavyowindwa Nigeria kaskazini

Wainjilisti waliotoka uislamu Musa B. Musa, Ibrahim Dikko, Muhammad Muhammad jinsi wanavyowindwa Nigeria kaskazini

Mkwawe

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
3,132
Reaction score
5,508
Hawa ni wainjilisti wa kikristu walioleta chachu ya mabadiliko makubwa ya kiimani katika jamii za wafulani na wahausa Nigeria kaskazini

Baada ya kukiri imani juu KRISTU YESU wamekuwa msaada mkubwa katika kuwakaribisha wageni kwenye Imani na kuongeza utukufu kwenye taifa la Mungu

Lakini mbali na mafanikio haya wainjilisti hawa wamekuwa wakipitia misukosuko mingi na upinzani mkubwa kutoka kwa watu wa Imani ingine hasa ile waliyotoka wakishutumiwa kujaribu jamii hizo na misingi yao.

Lakini zaidi ya hayo bado wamekuwa imara na kusaidia mwanga ndani ya kanisa kumulika pote

HAKIKA KUISHI NI KRISTU NA KUFA NI FAIDA
 

Attachments

  • Screenshot_20241029-195552.png
    Screenshot_20241029-195552.png
    344.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20241029-195539.png
    Screenshot_20241029-195539.png
    158.3 KB · Views: 11
  • Screenshot_20241029-195525.png
    Screenshot_20241029-195525.png
    374.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20241029-195200.png
    Screenshot_20241029-195200.png
    204.4 KB · Views: 8
  • Screenshot_20241029-195250.png
    Screenshot_20241029-195250.png
    322.8 KB · Views: 11
  • Screenshot_20241029-195214.png
    Screenshot_20241029-195214.png
    302.8 KB · Views: 9
  • Screenshot_20241029-195856.png
    Screenshot_20241029-195856.png
    299.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20241029-195622.png
    Screenshot_20241029-195622.png
    281 KB · Views: 6
Hawa ni wainjilisti wa kikristu walioleta chachu ya mabadiliko makubwa ya kiimani katika jamii za wafulani na wahausa Nigeria kaskazini

Baada ya kukiri imani juu KRISTU YESU wamekuwa msaada mkubwa katika kuwakaribisha wageni kwenye Imani na kuongeza utukufu kwenye taifa la Mungu

Lakini mbali na mafanikio haya wainjilisti hawa wamekuwa wakipitia misukosuko mingi na upinzani mkubwa kutoka kwa watu wa Imani ingine hasa ile waliyotoka wakishutumiwa kujaribu jamii hizo na misingi yao.

Lakini zaidi ya hayo bado wamekuwa imara na kusaidia mwanga ndani ya kanisa kumulika pote

HAKIKA KUISHI NI KRISTU NA KUFA NI FAIDA
Taifa la Mungu ni Israel, wakati huo Israel haiamini katika Yesu. Btw hata wewe humfahamu Mungu wako ni yupi. Lakini pia hii habari yako ni fake
 
Waislamu ni ndugu zangu lakini ni washenzi.
Walitaka kunichinja 15 yrs ago baada ya kukimbia dini yao ya haki na amani.
Yesu ni Mungu
Hawa jamaa ni wakorofi, hawana subira wala uvumilivu, ukikimbia tu majini yao misikitini ukafata amani kanisani wanakutafuta wakuue, hawataki uwatoroke.

Kila mahali walipo hawana mahusiano mazuri na imani nyingine, ni majangili maharamia magaidi
 
Hawa jamaa ni wakorofi, hawana subira wala uvumilivu, ukikimbia tu majini yao misikitini ukafata amani kanisani wanakutafuta wakuue, hawataki uwatoroke.

Kila mahali walipo hawana mahusiano mazuri na imani nyingine, ni majangili maharamia magaidi
ila waislamu wasingekuwepo Dunia ingekuwa sehemu yenye amani mno
imagine hao jamaa kila siku wanakoswakoswa na watu wa dini ya haki kisa wanawahubiria wengine habari ya YESU
 
Hata wakifa sasa watapumzika kwa amani mbele ya kristo YESU MFALME wa wafalme

Wabalikiwe watu hao
Ukiwafuatilia kwenye kurasa utaona shuhuda za mamia ya wahausa na wafulani wanaotamani kumpokea YESU ila huogopa watakauokutana nayo baada ya hapo

Wafuatilie hao jamaa Facebook wanatia moyo sana.
Hata hapa Tanzania waislamu wanaohitaji kumpokea YESU ni wengi sana ila wanaogopa consequences
 
Ukiwafuatilia kwenye kurasa utaona shuhuda za mamia ya wahausa na wafulani wanaotamani kumpokea YESU ila huogopa watakauokutana nayo baada ya hapo

Wafuatilie hao jamaa Facebook wanatia moyo sana.
Hata hapa Tanzania waislamu wanaohitaji kumpokea YESU ni wengi sana ila wanaogopa consequences
MUNGU ni MWAMINIFU atende awezavyo watu wake wapate kupona
 
Hawa ni wainjilisti wa kikristu walioleta chachu ya mabadiliko makubwa ya kiimani katika jamii za wafulani na wahausa Nigeria kaskazini

Baada ya kukiri imani juu KRISTU YESU wamekuwa msaada mkubwa katika kuwakaribisha wageni kwenye Imani na kuongeza utukufu kwenye taifa la Mungu

Lakini mbali na mafanikio haya wainjilisti hawa wamekuwa wakipitia misukosuko mingi na upinzani mkubwa kutoka kwa watu wa Imani ingine hasa ile waliyotoka wakishutumiwa kujaribu jamii hizo na misingi yao.

Lakini zaidi ya hayo bado wamekuwa imara na kusaidia mwanga ndani ya kanisa kumulika pote

HAKIKA KUISHI NI KRISTU NA KUFA NI FAIDA
Ndiyo maana Uislam unapingwa duniani kote kwa kuitwa "CULT ya SHETANI." Ukianza na nabii wao Mohammed enzi zake, alilazimisha watu kuwa Waislam kisa tu alitaka Uislam ukuwe. Dini gani inatawala kimabavu na kutumia uwongo halafu wanasingizia kuwa ni dini ya amani. Uislam kwa kweli ukiwaambia ukweli wanakuombea albadr ufe au watu watakuwinda wakuue kisa hawataki kusikia ukweli, wanataka kuamini uwongo tu waliokaririshwa.
 
Back
Top Bottom