LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
kuna raia wa nje anaweza kuwa waziri mkuu wa israel? Yaani mzungu kutoka ulaya na amerika akawe waziri israel !Kinachokufanya uamini kuwa kina Netanyahu ni wayahudi typically kama ulivyosema ni nini...
1. Rangi yao?
2. Lugha yao?
3. Au dini yao?