Waislam hawana Imani na Baraza la Mitihani...

Waislam hawana Imani na Baraza la Mitihani...

Nashangaa sana na mabo ya hawa jamaa, wao wako busy wanachoma makanisa na kufadhili mihadhara isokuwa na tija wakti wenzao wakomadarasani wanasoma kwa kufuata syllabus ya Wizara ya elimu, wao wako busy na kusoma juu zuu kule madrass wakati wenzao wanajisomea notes za waalimu wao, wao wako busy wanachoma biblia na kuhubiri kuwa Yesu si Mungu wakati wenzao wanafanya masahihisho ya mtihani waloufanya. Halafu wanalalama kuwa hawana imani na Baraza mtihani?

Wakati Waislamu wananunua maspika, maikrofoni na kukodi magari ya kubeba wahubiri kuwathibitishia waja wa Mwenyezi Mungu Subhana wa Taala kuwa Yesu yule Mnazareti siyo Mungu, Wakristo wao wanajenga Chuo Kikuu na kuruhusu wote waende kupata shahada na stashahada pale.Wakati waungwana wanapiga kampeni nchi nzima wakitaka serikali iwaanzishie mahakama yao peke yao kwa ajili ya kuwatatulia migogoro ya mirathi, wakfu na mambo ya talaka, wao
Wakristo wanajenga hospitali ya rufaa na kuruhusu yeyote atakaye aende kutibiwa pale.Wakati wengine wanalalamikia serikali kwa kutowajengea barabara, wao Wakristo wanaomba na kupewa maeneo makubwa ya ardhi mbali na barabara huko maporini kwa ajili ya makanisa yao , shule zao za chekechea, msingi na sekondari; seminari zao na vyuo vyao. Narudia huko maporini!
Nenda hapa kwa maelezo zaidi http://www.google.co.ke/url?sa=t&rc...-cXQCQ&usg=AFQjCNFdKd83viq3B3pNtvaUPKhwTbzJtw
 
lete proof.
just read between the lines of each copy of the said poster and compare it with respected newspaper you reveal the truth otherwise if you are obsessed with the believe that it is a news paper we will never be ad idem
 
hoja zao zte zna PROOF,ZINAELEWEKA NA KUAMINIKA na wa2 weny akili timamu na sio wny interest zao bnafc.ww Mzee wa njaa nna hofu kua umehongwa utoe mada hi ili upunguze njaa yko.
POLE SANA BRO...

Ukikubali kuhongwa ujue aliyekuhonga amekudharau na umejidhalilisha. Kamwe sito hongwa kwa style hiyo. Nunua gazeti la An Nuur la wiki iliyopita usome habari za wafuasi wa mtume wanavyolalamika kuonewa.
 
Al Haramain Mwalimu anaitwa Ostadh unategemea kutakuwa na ufaulu hapo? wakristo wanyongeni lakini haki zao wapeni.
 
Ukikubali kuhongwa ujue aliyekuhonga amekudharau na umejidhalilisha. Kamwe sito hongwa kwa style hiyo. Nunua gazeti la An Nuur la wiki iliyopita usome habari za wafuasi wa mtume wanavyolalamika kuonewa.

m2 mpk kufikia stage ya kulalamika ujue ameonewa kweli.waislam sio cowards ndo mana wanatafuta haki kwa kila njia inayofaa.
 
ndugu kuwa na kauli nzuri kwani hawa waislamu ni watu kama wewe na sio MAJITU kama unavyoita...muogope sana Mungu wako kwani ndio huyo huyo akiyeuma wakristo na waislam...naona ni kama una chuki za kidini na waislam...kushinda msikitini sio dhambi na hutakiwi kumsimanga mtu kwa kutaja MSIKITI...kuwa na hekima kidogo...wewe ndio wale badala ya kuchangia mada kama unalo la kuchangia, unaanza kuendeleza chuki zako na imani ya kiislam. ACHA!
Majitu kutwa nzima yanashinda misikitini yakiimba kaswida....unategemea kuna kufaulu mitihani ya necta hapo?
 
hoja zao zte zna PROOF,ZINAELEWEKA NA KUAMINIKA na wa2 weny akili timamu na sio wny interest zao bnafc.ww Mzee wa njaa nna hofu kua umehongwa utoe mada hi ili upunguze njaa yko.
POLE SANA BRO...

Suala hili Zanzibar lilipelekwa kwenye baraza la wawakilishi kama issue, Waziri wa Elimu wa Zanzibar akaunda Kamati, na kamati ikatoa matokeo ya uchunguzi kama habari hii hapa ielezavyo:

SMZ yakubali wanafunzi 1,200 wafutiwe matokeo
Imeandikwa na Khatib Suleiman, Zanzibar; Tarehe: 4th April 2012


HabariLeo | SMZ yakubali wanafunzi 1,200 wafutiwe matokeo


SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekubaliana na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), kwa hatua yake ya kuwafutia matokeo ya mitihani ya kidato cha nne wanafunzi 1,200 kutoka Zanzibar baada ya kubainika kufanya udanganyifu kwa kushirikiana na wasimamizi wa mitihani.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Ramadhan Abdalla Shaaban alisema hayo wakati akijibu hoja za wajumbe waliopitisha Muswada wa Kuanzishwa kwa Bodi ya kufanya tathimini ya vipimo vya elimu Zanzibar.

Shaaban alisema SMZ iliwasiliana na NECTA kuhusu kuwepo kwa taarifa za kuvuja kwa mitihani pamoja na wanafunzi wengi wa Zanzibar kufutiwa mitihani yao ya kidato cha nne waliofanya mwaka jana.

"Tulifanya mawasiliano na kupeleka mjumbe wetu huko, lakini baada ya utafiti ilibainika kwamba wanafunzi wamefanya udanganyifu mkubwa wa mitihani yao baada ya kupata vielelezo mbalimbali," alisema Shaaban.

Alisema hata hivyo SMZ imeunda chombo kuchunguza suala hilo la kufutiwa kwa wanafunzi wa Zanzibar mitihani ya kidato cha nne, lakini taarifa za awali pamoja na uthibitisho wake unaonesha kwamba wanafunzi wamefanya udanganyifu ambao ni kinyume cha maadili ya mitihani.

Alisema hivi sasa wanafunzi wengi wanakabiliwa na dhana potofu ya kusubiri kununua mitihani ya taifa ya kidato cha nne na sita na kuacha kusoma kwa bidii.

Aidha, Shaaban aliwataka wazazi nao kuacha kabisa tabia ya kushawishiwa na watoto wao kununua mitihani ya taifa, kwani kufanya hivyo madhara yake ni makubwa ikiwemo kufutiwa mitihani ya taifa.

Akijibu hoja za wajumbe, Shaaban alisema SMZ haina mpango wa kujiondoa katika Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) kwani chombo hicho kipo kwa mujibu wa sheria kikiwa ni taasisi ya Muungano.

"Hatuna mpango wa kujiondoa katika chombo cha NECTA......tumeunda Bodi ya kuangalia tathimini ya vipimo vya elimu, lakini haina maana kwamba tunajiondoa katika Baraza la Mitihani la Taifa," alisema.

Wajumbe wengi wa Baraza la Wawakilishi waliochangia muswada huo waliitaka Zanzibar kujiondoa NECTA baada ya kuwepo tuhuma za kufutiwa mitihani yao taifa kidato cha nne wanafunzi wengi kutoka Zanzibar.

 
Yani kweli nyie hamuoni mumelaaniwa nasikitika kusema hivyo mana kuanzia watoto hadi wazazi na vizazi hamfikirii mnataka mjitoe NECTA ili muibe mitihani sio.yani jamani nyinyi muna matatizo sanahamuoni aibu vichwa venyewembumbumbu mfelishwe nini hamna imani gani mnapewa majibu mnakopy hadi nucta namajina mnaibia .JIKOMBOENI KIFIKRA WAZANzIBARI.wacheni ujinga mnaaribu vizazi vyenu ndugu hii dinia huishi milele unapita na kila kitu hautakuwa na kontrol nacho milele nawashangaa sana sana,hamna watu wenye busara wawafunze.dunia hii tunapita tu.hamna imani na NECTAMNA IMANI NA VISU VIBERITI NA MAPANGA??????
 
Back
Top Bottom