Waislam msiwaite wenzenu makafiri,sio jina zuri

Waislam msiwaite wenzenu makafiri,sio jina zuri

Mister mimi

Member
Joined
Apr 29, 2018
Posts
89
Reaction score
106
Ndio, maana kimaana ya kugha ya kiswahili 'kafiri' ni mtu asiyeamini.

Na hii ipo hasa kwenye hizi dini kubwa mbili duniani.
Eti we muislam,mtu ambaye hakuzuii kujifuza dini yako,hakuzuii kufanya ibada,pengine mtu huyo ni mfanyakazi wako/boss wako/mama/baba yako n.k. je ukafiri wake ni upi ikiwa na yeye anaamini uwepo wa Mungu?

Hivyo hivyo kwa wakristo,mtu asiyeamini ukristo kimaana ya neno kafiri na kiimani ya kikristo kwa mujibu wa maandiko mtu huyo kwa wakristo ni kafiri.wakristo hawawaiti waislam makafiri niwapongeze katika hili japo nao wanamajina mengine yakuudhi wanayowaita waislam,(sio mada yangu leo).

"KAFIRI" ni neno baya,ni tusi kubwa kiimani.

ndio maana hata katika vitabu vya dini si kila mtu asiyeamini aliitwa kafiri.Walioitwa makafiri ni wale tu waliokuwa wakipinga uwepo na uwezo wa Mungu kwa maneno na matendo.mfano farao Firauni wa misri ya zamani,yule ndio mfano wa kafiri.

Kwahiyo kumuita mtu kafiri,na mtu huyo anamuamini Mungu kisa tu mmetofautiana njia za kuamini, kisa tu Mungu huyo wewe umeamua kumuita kwa jina la lugha ya kiarabu,kisa tu Mungu huyo wao wamefundishwa jina lake kwa lugha ya kitaliano,sio sawa.sote Mungu wetu ni mmoja.

Dini zote zinahubiri upendo amani haki na uadilifu.

Mtume muhamad yeye aling'olewa hadi meno, lakini hakwaita waliomg'oa meno kuwa ni makafiri,lakini aliwaombea msamaha na akasema hakuja kulaani watu bali kuwaombea mema huenda kesho wakawa wema.

Sasa wewe hiyo chuki umeitoa wapi,kiasi cha kuwaita watu wasiompinga Mungu ni makafiri?

We muislam acha kuita watu makafiri,sio neno zuri kiimani,maana hata mama na baba wa mtume muhamad hawakuwa waislam,je walikuwa ni makafiri?

Tupendane na tuvumiliane katika imani zetu! Wote sisi Mungu wetu ni mmoja,

Sisemi kwamba makafiri hawapo,la wapo,tena wapo,ila sio kina kiranga,maana kuna tofauti kati ya kutokuamini na kupinga/kuzuia watu kuamini.

leo kuna vyama vingi vya wazi na vya siri vinavyozuia imani za watu kumuamini Mungu,.tena vinampinga Mungu kwa akili kubwa ila utavijua kwa kuwa vyenyewe vina promot sana yale yote ambayo Mungu amekataza.na humo wanajiunga watu watu wa dini zote.

Kwa hiyo unaweza kukuta kuna mashehe ni makafiri,kuna wachungaji ni makafiri,watu maarufu ndo hutumika sana na hivyo vyama(hili ni dodoso mada yake ni ndefu kidogo).

Si vema kumuita mtu kafiri,tukumbushane kutenda mema,tukatazane mabaya,yanayozuilika tuyazuie,ila kuhukumu imani ya mtu tumuachie Mungu mwenyewe.

Ramadhan na Kwaresma njema kwa wote.

Fungeni muwe wanyenyekevu,mchome mafuta ya kwenye matumbo, mpunguze sumu mboreshe afya,na mkumbuke kuwa kuna watu huwa wanahitaji misaada!
 
Hakuna tofauti na neno lililopo kwenye biblia la mpinga Kristo asiye amini kuwa yesu ni mwokozi kwa mujibu wa injili nae ni kafiri , kwa hiyo hata kwa wakristo waislamu nao ni kafiri vile vile kwa waislamu wakristo ni kafiri.
 
Ndio, maana kimaana ya kugha ya kiswahili 'kafiri' ni mtu asiyeamini.

Na hii ipo hasa kwenye hizi dini kubwa mbili duniani.
Eti we muislam,mtu ambaye hakuzuii kujifuza dini yako,hakuzuii kufanya ibada,pengine mtu huyo ni mfanyakazi wako/boss wako/mama/baba yako n.k. je ukafiri wake ni upi ikiwa na yeye anaamini uwepo wa Mungu?

Hivyo hivyo kwa wakristo,mtu asiyeamini ukristo kimaana ya neno kafiri na kiimani ya kikristo kwa mujibu wa maandiko mtu huyo kwa wakristo ni kafiri.wakristo hawawaiti waislam makafiri niwapongeze katika hili japo nao wanamajina mengine yakuudhi wanayowaita waislam,(sio mada yangu leo).

"KAFIRI" ni neno baya,ni tusi kubwa kiimani.

ndio maana hata katika vitabu vya dini si kila mtu asiyeamini aliitwa kafiri.Walioitwa makafiri ni wale tu waliokuwa wakipinga uwepo na uwezo wa Mungu kwa maneno na matendo.mfano farao Firauni wa misri ya zamani,yule ndio mfano wa kafiri.

Kwahiyo kumuita mtu kafiri,na mtu huyo anamuamini Mungu kisa tu mmetofautiana njia za kuamini, kisa tu Mungu huyo wewe umeamua kumuita kwa jina la lugha ya kiarabu,kisa tu Mungu huyo wao wamefundishwa jina lake kwa lugha ya kitaliano,sio sawa.sote Mungu wetu ni mmoja.

Dini zote zinahubiri upendo amani haki na uadilifu.

Mtume muhamad yeye aling'olewa hadi meno, lakini hakwaita waliomg'oa meno kuwa ni makafiri,lakini aliwaombea msamaha na akasema hakuja kulaani watu bali kuwaombea mema huenda kesho wakawa wema.

Sasa wewe hiyo chuki umeitoa wapi,kiasi cha kuwaita watu wasiompinga Mungu ni makafiri?

We muislam acha kuita watu makafiri,sio neno zuri kiimani,maana hata mama na baba wa mtume muhamad hawakuwa waislam,je walikuwa ni makafiri?

Tupendane na tuvumiliane katika imani zetu! Wote sisi Mungu wetu ni mmoja,

Sisemi kwamba makafiri hawapo,la wapo,tena wapo,ila sio kina kiranga,maana kuna tofauti kati ya kutokuamini na kupinga/kuzuia watu kuamini.

leo kuna vyama vingi vya wazi na vya siri vinavyozuia imani za watu kumuamini Mungu,.tena vinampinga Mungu kwa akili kubwa ila utavijua kwa kuwa vyenyewe vina promot sana yale yote ambayo Mungu amekataza.na humo wanajiunga watu watu wa dini zote.
Kwa hiyo unaweza kukuta kuna mashehe ni makafiri,kuna wachungaji ni makafiri,watu maarufu ndo hutumika sana na hivyo vyama(hili ni dodoso mada yake ni ndefu kidogo).

si vema kumuita mtu kafiri,tukumbushane kutenda mema,tukatazane mabaya,yanayozuilika tuyazuie,ila kuhukumu imani ya mtu tumuachie Mungu mwenyewe.

Ramadhan na kwaresma njema kwa wote.
Fungeni muwe wanyenyekevu,mchome mafuta ya kwenye matumbo, mpunguze sumu mboreshe afya,na mkumbuke kuwa kuna watu huwa wanahitaji misaada!
Aliyewaita nyie makafiri ni Mungu sio waislam!
 
Kama kuna mtu anapata shida kuambiwa Kafiri na Muislam hajui maana yake!
Kafiri kwa imani ya Uislam ni mtu asiyemwamini Allah mungu WAO!
Kwa hiyo akikwambia wewe ni Kafiri maana yake wewe huabudu huyo Allah mungu wao!
Yaani Shetani akwambie wewe ni Kafiri kwa sababu humwabudu utasikitika?
 
Ww
Ndio, maana kimaana ya kugha ya kiswahili 'kafiri' ni mtu asiyeamini.

Na hii ipo hasa kwenye hizi dini kubwa mbili duniani.
Eti we muislam,mtu ambaye hakuzuii kujifuza dini yako,hakuzuii kufanya ibada,pengine mtu huyo ni mfanyakazi wako/boss wako/mama/baba yako n.k. je ukafiri wake ni upi ikiwa na yeye anaamini uwepo wa Mungu?

Hivyo hivyo kwa wakristo,mtu asiyeamini ukristo kimaana ya neno kafiri na kiimani ya kikristo kwa mujibu wa maandiko mtu huyo kwa wakristo ni kafiri.wakristo hawawaiti waislam makafiri niwapongeze katika hili japo nao wanamajina mengine yakuudhi wanayowaita waislam,(sio mada yangu leo).

"KAFIRI" ni neno baya,ni tusi kubwa kiimani.

ndio maana hata katika vitabu vya dini si kila mtu asiyeamini aliitwa kafiri.Walioitwa makafiri ni wale tu waliokuwa wakipinga uwepo na uwezo wa Mungu kwa maneno na matendo.mfano farao Firauni wa misri ya zamani,yule ndio mfano wa kafiri.

Kwahiyo kumuita mtu kafiri,na mtu huyo anamuamini Mungu kisa tu mmetofautiana njia za kuamini, kisa tu Mungu huyo wewe umeamua kumuita kwa jina la lugha ya kiarabu,kisa tu Mungu huyo wao wamefundishwa jina lake kwa lugha ya kitaliano,sio sawa.sote Mungu wetu ni mmoja.

Dini zote zinahubiri upendo amani haki na uadilifu.

Mtume muhamad yeye aling'olewa hadi meno, lakini hakwaita waliomg'oa meno kuwa ni makafiri,lakini aliwaombea msamaha na akasema hakuja kulaani watu bali kuwaombea mema huenda kesho wakawa wema.

Sasa wewe hiyo chuki umeitoa wapi,kiasi cha kuwaita watu wasiompinga Mungu ni makafiri?

We muislam acha kuita watu makafiri,sio neno zuri kiimani,maana hata mama na baba wa mtume muhamad hawakuwa waislam,je walikuwa ni makafiri?

Tupendane na tuvumiliane katika imani zetu! Wote sisi Mungu wetu ni mmoja,

Sisemi kwamba makafiri hawapo,la wapo,tena wapo,ila sio kina kiranga,maana kuna tofauti kati ya kutokuamini na kupinga/kuzuia watu kuamini.

leo kuna vyama vingi vya wazi na vya siri vinavyozuia imani za watu kumuamini Mungu,.tena vinampinga Mungu kwa akili kubwa ila utavijua kwa kuwa vyenyewe vina promot sana yale yote ambayo Mungu amekataza.na humo wanajiunga watu watu wa dini zote.
Kwa hiyo unaweza kukuta kuna mashehe ni makafiri,kuna wachungaji ni makafiri,watu maarufu ndo hutumika sana na hivyo vyama(hili ni dodoso mada yake ni ndefu kidogo).

si vema kumuita mtu kafiri,tukumbushane kutenda mema,tukatazane mabaya,yanayozuilika tuyazuie,ila kuhukumu imani ya mtu tumuachie Mungu mwenyewe.

Ramadhan na kwaresma njema kwa wote.
Fungeni muwe wanyenyekevu,mchome mafuta ya kwenye matumbo, mpunguze sumu mboreshe afya,na mkumbuke kuwa kuna watu huwa wanahitaji misaada!
Kafiri jioni njema
 
Wakristo wana kamsemo kao, "mmataifa"
 
Ndio, maana kimaana ya kugha ya kiswahili 'kafiri' ni mtu asiyeamini.

Na hii ipo hasa kwenye hizi dini kubwa mbili duniani.
Eti we muislam,mtu ambaye hakuzuii kujifuza dini yako,hakuzuii kufanya ibada,pengine mtu huyo ni mfanyakazi wako/boss wako/mama/baba yako n.k. je ukafiri wake ni upi ikiwa na yeye anaamini uwepo wa Mungu?

Hivyo hivyo kwa wakristo,mtu asiyeamini ukristo kimaana ya neno kafiri na kiimani ya kikristo kwa mujibu wa maandiko mtu huyo kwa wakristo ni kafiri.wakristo hawawaiti waislam makafiri niwapongeze katika hili japo nao wanamajina mengine yakuudhi wanayowaita waislam,(sio mada yangu leo).

"KAFIRI" ni neno baya,ni tusi kubwa kiimani.

ndio maana hata katika vitabu vya dini si kila mtu asiyeamini aliitwa kafiri.Walioitwa makafiri ni wale tu waliokuwa wakipinga uwepo na uwezo wa Mungu kwa maneno na matendo.mfano farao Firauni wa misri ya zamani,yule ndio mfano wa kafiri.

Kwahiyo kumuita mtu kafiri,na mtu huyo anamuamini Mungu kisa tu mmetofautiana njia za kuamini, kisa tu Mungu huyo wewe umeamua kumuita kwa jina la lugha ya kiarabu,kisa tu Mungu huyo wao wamefundishwa jina lake kwa lugha ya kitaliano,sio sawa.sote Mungu wetu ni mmoja.

Dini zote zinahubiri upendo amani haki na uadilifu.

Mtume muhamad yeye aling'olewa hadi meno, lakini hakwaita waliomg'oa meno kuwa ni makafiri,lakini aliwaombea msamaha na akasema hakuja kulaani watu bali kuwaombea mema huenda kesho wakawa wema.

Sasa wewe hiyo chuki umeitoa wapi,kiasi cha kuwaita watu wasiompinga Mungu ni makafiri?

We muislam acha kuita watu makafiri,sio neno zuri kiimani,maana hata mama na baba wa mtume muhamad hawakuwa waislam,je walikuwa ni makafiri?

Tupendane na tuvumiliane katika imani zetu! Wote sisi Mungu wetu ni mmoja,

Sisemi kwamba makafiri hawapo,la wapo,tena wapo,ila sio kina kiranga,maana kuna tofauti kati ya kutokuamini na kupinga/kuzuia watu kuamini.

leo kuna vyama vingi vya wazi na vya siri vinavyozuia imani za watu kumuamini Mungu,.tena vinampinga Mungu kwa akili kubwa ila utavijua kwa kuwa vyenyewe vina promot sana yale yote ambayo Mungu amekataza.na humo wanajiunga watu watu wa dini zote.
Kwa hiyo unaweza kukuta kuna mashehe ni makafiri,kuna wachungaji ni makafiri,watu maarufu ndo hutumika sana na hivyo vyama(hili ni dodoso mada yake ni ndefu kidogo).

si vema kumuita mtu kafiri,tukumbushane kutenda mema,tukatazane mabaya,yanayozuilika tuyazuie,ila kuhukumu imani ya mtu tumuachie Mungu mwenyewe.

Ramadhan na kwaresma njema kwa wote.
Fungeni muwe wanyenyekevu,mchome mafuta ya kwenye matumbo, mpunguze sumu mboreshe afya,na mkumbuke kuwa kuna watu huwa wanahitaji misaada!
Watu wana uhuru wa kuitana any name haina madhara. Tumewaita makafiri miaka na miaka lakini hawaathiriki. So siyo big deal.
 
Aliyewaita nyie makafiri ni Mungu sio waislam!
download (1).jpeg
 
Kama kuna mtu anapata shida kuambiwa Kafiri na Muislam hajui maana yake!
Kafiri kwa imani ya Uislam ni mtu asiyemwamini Allah mungu WAO!
Kwa hiyo akikwambia wewe ni Kafiri maana yake wewe huabudu huyo Allah mungu wao!
Yaani Shetani akwambie wewe ni Kafiri kwa sababu humwabudu utasikitika?
Upo sahihi Sana. Kuna watu wanapenda kujipa stress za ajabu Sana. Yaani Mimi mtu aniite Kafiri eti kwa sababu simwabudu mungu wake then nipate ubaridi wa nini?
 
Wakristo waache kuita watu magaidi ,neno kafir linatumiwa ili kuwachukiza wengine ila halina maana ...

Leo wakilumbana basi mkristo atamuita muislamu gaidi ,yeye atapigwa pigo moja😀la kuitwa ''kafir'' ataanza kulia lia.
 
Hivi Unajua waislamu wanaitana wao kwao makafiri kuliko hata wanavyowaita wakristo ?

Kuna vita kati ya Wahabi na Salafi

Shia na Sunni

Wanachukiana balaa wanaitana majina mabaya hata kuuana

Kuna yule sheikh alikuwa anahubiri sana Channel Ten, yule sijui ni wahabi sijui Salafi ,aisee amekufa lakini alipokea maneno machafu sana


Fatilia uone kwanza ,wao kwa wao hawapendani na wanatoleana maneno machafu na wanaitana makafiri
 
Kafiri ni mtu yoyote asiemuamini Mungu mmoja muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyo baina yake, Mungu ambae hajazaa wala hajazaliwa.

Kama wewe una miungu watatu we ni kafiri

Kama Mungu wako alizaliwa, na umauita Maria ni mama wa mungu we ni Kafiri

We mtu na akili zako timam unaombaje toba na baraka mbele ya mifuko miwili ya cement iliyochanganywa na kokoto kama huyu
downloadfile.png
 
Wakristo waache kuita watu magaidi ,neno kafir linatumiwa ili kuwachukiwa wengine ila halina maana ...

Leo wakilumbana basi mkristo atamuita muislamu gaidi ,yeye atapigwa pigo moja😀la kuitwa ''kafir'' ataanza kulia lia.
Jina la kafiri halijawahi kuzoeleka kila siku maumivu yake Kama jina jipya, hakika hili jina la kafiri limewapendeza sana waliokufuru
 
Why should you bother what others call you ?

Mbona walioleta hizo Dini huku kwa Mababu zetu waliwaita Wapagani na Wapumbavu ?

To each their own.., na hata mtu akuite vipi ni yeye kichwani mwake ndio anakuona hivyo, kwahio haikupunguzii wewe kuendelea kuwa wewe

Nadhani issue sio anakuitaji bali ana kutreat vipi..., kama anakunyima haki zako za msingi au kukutenga basi mtu huyu hafai katika jamii ya watu waliostaarabika...
 
Kafiri ni mtu yoyote asiemuamini Mungu mmoja

Kama wewe una miungu watatu we ni kafiri

Kama Mungu wako alizaliwa, na umauita Maria ni mama wa mungu we ni Kafiri

We mtu na akili zako timam unaombaje toba na baraka mbele ya mifuko miwili ya cement iliyochanganywa na kokoto kama huyu View attachment 3261575
Wewe ni kafir.. kufaaarrr
 
Kuna watu walimwona YESU nyumbani kwa wenye "dhambi" wakanga'ka wakasema ameingia kukaa na Wenye dhambi. Yeye akajibu Mwana wa Adam alikuja kutafuta na kuokoa kilichopotea.

Moja ya tofauti ya Dini ya kikrsto na uislam ni kuwa msingi wa Dini ya kikrsto ni Imani katika mafundisho na ufuasi wa YESU kristo, Uislam ni Dini ya mfumo wa maisha kwa mujibu wa Sheria (sharia). Wakati ukiristo ukihimiza kusamehe na kuombeana, Uislamu utakupa Upanga na kupigwa mawe (visasi) n.k
 
Back
Top Bottom