Waislam msiwaite wenzenu makafiri,sio jina zuri

Religion is the opium of the masses
 
Makafiri ndio wao maana dini yao inaendeshwa na shetanii .
Wanaoa wanawake wengi , hawatunzi familia wao nikuoa nakuoa nakuoa tu
 
Mimi mbona huwa nawaita waislamu mashoga hivyo sio vibaya wakituita makafiri Mimi nawaitaga mashoga
 
Kafiri mwenyewe.
 
Mimi mbona huwa nawaita waislamu mashoga hivyo sio vibaya wakituita makafiri Mimi nawaitaga mashoga
Kati ya waislam na makafiri nani mashoga? Angalia Askofu wako akitekeleza maelekezo ya Papa Francis kubariki ushoga

Your browser is not able to display this video.
 
Hakuna tofauti na neno lililopo kwenye biblia la mpinga Kristo asiye amini kuwa yesu ni mwokozi kwa mujibu wa injili nae ni kafiri , kwa hiyo hata kwa wakristo waislamu nao ni kafiri vile vile kwa waislamu wakristo ni kafiri.
Wewe ndio umenielewa sasa,neno kafiri halina dini,japo wakristo hawalitumii sana kuwaita waislam,na sio kila mkristo ni kafiri,maana hata miongoni mwa waislam kuna makafiri ambao katika jamii wanatambulika kama ni waislam,ila kiuhalisia wanampinga Mungu,kwa maneno,mienendo hata matendo yao.
 
Kati ya waislam na makafiri nani mashoga? Angalia Askofu wako akitekeleza maelekezo ya Papa Francis kubariki ushoga

View attachment 3261587
Mimi huwa nawaita wasiokua wakristo ni mashoga wakiwemo waislamu Sasa nashangaa wewe umeumia nini wakati wewe pia unawaita wakristo makafiri ndio hivyo hivyo na Mimi ninavyowaita waislamu mashoga🤣🤣🤣
 
Aliewaita makafiri kapatia sana hili jina linaumiza mnooo

Silimuni tu hakuna namna
 
Kwani wao si makafiri? Mbona waliukataa ukristo na dini zao asilia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…