Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

Mtume mohamad alianza kumtombaz Aisha akiwa na umri gani?

1. Sahih al-Bukhari 810-870 BK, 256 BH

1a. "Alisimulia baba wa Hisham: Khadija alkufa miaka mitatu kabla ya Nabii kuondoka Madina. Alikaa huko miaka miwili au zaidi kisha akamuoa 'Aisha alipokuwa msichana mwenye umri wa miaka sita, na Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.

1b. Habari hizo zipo pia kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.234, uk.152.

1c. "Alisimulia 'Urwa: Nabii aliandika (mkataba wa ndoa) na 'Aisha wakati msichana alipokuwa na umri wa miaka sita na aliikamilisha ndoa yake nay eye kwa tendo la unyumba wakati akiwa na miaka tisa na 'Aisha aliendelea kuwa naye kwa miaka tisa (yaani mpaka kifo cha Nabii). Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 62 sura ya 60 na.88, uk.65.

1d. Alisimulia 'Aisha: Nabii alikuwa akinisitiri kwa Rida (vazi lenye kukinga sehemu ya juu ya mwili) yake nilipokuwa nawaangalia Waethiopia waliokuwa wanacheza kwenye ua wa nyuma wa msikiti. (Niliendelea kuangalia) hadi nilipotosheka. Hivyo unaweza kuelewa ni jinsi gani binti mdogo (ambaye hajafikia umri wa kuvunja ungo) ambaye ana hamu ya kufurahia burudani alivyofanyiwa mambo ya namna hii. Bukhari juzuu ya7 kitabu cha 62 sura ya 115 na.163, uk.119.

1e. "Alisimulia 'Aisha: (mke wa Nabii) sikumbuki kama wazazi wangu waliamini dini yoyote ile isipokuwa dini ya kweli (yaani Uislam), na (sikumbuki) siku yoyote iliyopita bila sisi kutembelewa na Mtume wa Allah asubuhi na jioni." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 4 na.245, uk.158. Kwa hiyo, 'Aisha ama hakuwa mkubwa ama hakuwa amezaliwa kabisa wakati wazazi wake walipo badili dini na kuwa Waislam. Jambo hili linaendana na yeye kuwa mtoto wakati ndoa yake na Muhammad ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba.


2. Sahih Muslim 817-875 BK, 261 BH

Mkusanyiko huu unachukuliwa kuwa wa pili wenye kuaminika zaidi miongoni mwa Hadithi.

2a. "(3309) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa nyumbani mwake nikiwa na miaka tisa. (A'isha) Aliendelea kusema: Tulikwenda Madina na nilishikwa na homa kwa muda wa mwezi mmoja, na nywele zangu zilianguka hadi kwenye ndewe (masikioni). Umm Ruman (mama yangu) alikuja kwangu na wakati huo nilikuwa kwenye bembea pamoja na wenzangu ninaocheza nao. Mama aliniita kwa sauti na nilikwenda kwake na sikujua kwa nini aliniita. Alinishika mkono na kunipeleka mlangoni, na nilikuwa ninasema: Ha, ha (kana kwamba nilikuwa natweta kwa mshangao), mpaka msukosuko wa moyo ulipomalizika. Alinipeleka kwenye nyumba ambako walikuwa wamekusanyika wanawake wa the Ansar. Walinibariki na kunitakia bahati njema na kusema: Uwe na sehemu katika mambo mazuri. Mama alinikabidhi kwao. Waliniosha kichwa changu na kuniremba na hapakuwa na kitu kilichonitisha. Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alikuja pale asubuhi, na nilikabidhiwa kwake." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3309, uk.715-716.

2b. "(3310) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa kwenye nyumba yake nilipokuwa na miaka tisa."
(3311) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti kuwa Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alimuoa alipokuwa na miaka saba, na alipelekwa kwenye nyumba yake (Mtume) kama bibi arusi alipokuwa na miaka tisa, na hapa midoli (wanasesere) yalikuwa pamoja naye: na (Nabii Mtakatifu) alipokufa 'Aisha alikuwa na miaka kumi na nane." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3310, 3311, uk.716.

2c. "(5981) A'isha aliripoti kuwa alizoea kuchezea midoli mbele ya Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) na wenzake aliokuwa akicheza nao walipokuja (nyumbani) kwake waliondoka kwa sababu walimwonea aibu Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake), lakini Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) aliwatuma kwake (A'isha).

2d. (5982) Hadithi hii imesimuliwa kwa mamlaka ya Hisham ikiwa na mlolongo ule ule wa waenezaji huku ikiwa na utofauti kidogo wa maneno." Sahih Muslim juzuu ya 4 kitabu cha 29 sura ya 1005 na.5981-5982, uk.1299.


3. Sunan Abu Dawud 817-888/9 BK, 275 BH

3a. "(2116) A'isha alisema: Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka saba. Msimuliaji Sulaiman alisema: Au miaks sita. Mtume alifanya nami tendo la unyumba nilipokuwa na miaka tisa." Sunan Abu Dawud juzuu ya 2 kitabu cha 5 sura ya 700 na.2116, uk.569.

3b. "(4913) A'isha alisema: Nilizoea kuchzea midoli. Nyakati zingine Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) aliniingilia wakati wasichana walikuwa pamoja nami. Alipoingia (ndani ya nyumba) walitoka nje, na alipotoka nje waliingia ndani." Sunan Abu Dawud juzuu ya 3 kitabu cha 36 sura ya 1769 na.4913, uk.1373.

Angalia kwa ungalifu. Hii haimaanishi kuwa Muhammad alifanya tendo la ndoa na A'isha wakati wenzake aliokuwa akicheza nao wakiangalia. Badala yake inamaanisha kuwa wenzake walicheza naye, na walienda nje wakati Muhammad alipokuja, na walirudi baada ya Muhammad kuondoka.

3c. "(4915) A'isha alisema: Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka saba au sita. Tulipokuja Madina, baadhi ya wanawake walikuja. Kwa mujibu wa maelezo ya Bishr: Umm Ruman alikuja kwangu nilipokuwa nabembea. Walinichukua, walinitayarisha na kunipamba. Baada ya hapo nilipelekwa kwa Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake), na alinichukua na kuanza kuishi nami kinyumba nilipokuwa na miaka tisa. (Umm) alinivutia mlangoni na niliangua kicheko.
Abu Dawud alisema: Hii ndio kusema: Nilipata siku za mwezi, na nililetwa kwenye nyumba, na kulikuwa na wanawake kadhaa wa Ansari (Wasaidizi) ndani yake. Walisema: Kwa bahati nzuri na baraka. Masimulizi ya baadhi yao yamejumuishwa na mengine. Sunan Abu Dawud juzuu ya 3 kitabu cha 36 sura ya 1770 na.4915, uk.1374.

3d. (5916) [kosa la uchapaji, namba sahihi ni 4916]. Masimulizi yaliyotajwa hapo juu yalienezwa pia na Abu Usamah kwa namna kama hii hii kupitia mlolongo wa wasimulizi tofauti. Maelezo haya yanasema: 'Kwa bahati nzuri.' (Umm Ruman) alinikabidhi kwao. Waliniosha kichwa changu na kunivisha upya. Hakuna mtu aliyekuja kwangu mara moja isipokuwa Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) mchana wa kabla ya saa sita. Hivyo walinikabidhi kwake. Sunan Abu Dawud juzuu ya 3 kitabu cha 36 sura ya 1770 na.4916, uk.1374.

3e. (4917) A'isha alisema: Tulipokuja Madina, wanawake walikuja kwangu wakati nilipokuwa nacheza kwenye bembea, na nywele zangu zilifika kwenye masikio. Waliniletea, wakaniandaa na kunipamba. Kisha wakanipeleka kwa Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) na alinichukua na kuishi nami kinyumba, nilipokuwa na umri wa miaka tisa. Sunan Abu Dawud juzuu ya 3 kitabu cha 36 sura ya 1770 na.4917, uk.1374.

3f. (4918) Masimulizi yaliyoelezwa hapo juu yalienezwa pia na Hisham b. 'Urwah kupitia kwenye mlolongo wa asimlizi tofauti. Maelezo haya yanasema pia: Nilikuwa nabembea na nilikuwa na marafiki zangu. Walinichukua na kunipeleka kwenye nyumba; kulikuwa na wanawake kadhaa wa Ansar (Wasaidizi). Walisema: Kwa bahati njema na baraka. Sunan Abu Dawud juzuu ya 3 kitabu cha 36 sura ya 1770 na.4918, uk.1374.

3g. (4919) A'isha alisema: Tulifika Madina na kuishi na Banu al-Harith b. al-Khazraj. Alisema: Naapa kwa Allah, nilikuwa nabembea kati ya mitende miwili. Kisha mama yangu alikuja, na aliniambia nishuke chini; na nywele zangu zilifika kwenye masikio. Kisha muenezaji anasmulia masimulizi yaliyobaki." Sunan Abu Dawud juzuu ya 3 kitabu cha 36 sura ya 1770 na.4915-4919, uk.1374.

Hitimisho kuhusu Abu Dawud: nukuu na nukuu znazopinga nukuu 7 zinathibitisha kuwa A'isha alikuwa na miaka tisa.


4. Tirmidhi 825-892 BK, 209-279 BH

Siwezi kusema kitu chochote kuhusu umri wa A'isha kwenye Tirmidhi kwani siwezi kuipata Jami ya Tirmidhi. Hata hivyo Shamaa-il ya Tirmidhi haina kitu chochote kinachohusiana na jambo hili.


5. Sunan Nas'ai 830-915 BK, 215-303 BH

Sunan Nas'ai yenyewe haiongelei jambo hili.

Hata hivyo, tafsiri ya Kiingereza inasema, "Wakati Hadrat A'isha alipopitisha miaka tisa ya ndoa, Nabii Mtakatifu Muhammad (amani na Baraka za Allah na ziwe juu yake) alipata maradhi yanayosababisha kifo. Tarehe 9 au 12 ya mwezi wa Rabi-ul-Awwal 11 BH, aliondoka kwenye ulimwengu huu wenye kudumu hadi kifo ...Hadrat A'isha alikuwa na miaka kumi na nane wakati Nabii Mtakatifu Muhammad (amani na Baraka za Allah na ziwe juu yake) alipokufa na aliendelea kuwa mjane kwa miaka arobaini na nane hadi wakati alipokufa akiwa na miaka sitini na saba." Sunan Nasa'i juzuu ya 1 #18, uk.108-109 (Maelezo ya Kiingereza yanatangulia)

Kumbuka kuwa (A'isha) alikuwa na miaka tisa ya ndoa na Muhammad, na kwa kuwa alikuwa na miaka kumi na nane Muhammad alipofariki, alikuwa na miaka tisa alipoanza maisha ya ndoa yake na Muhammad.



6. Ibn-i-Majah 824-886/887 BK, 273 BH

6a. A'isha aliolewa alipokuwa na miaka sita, na tisa alipokwenda kwenye nyumba ya Muhammad. Ibn-i-Majah juzuu ya 3 kitabu cha 9 sura ya 13 na.1876, uk.133.

6b. A'isha aliolewa akiwa na miaka saba, alikwenda kwenye nyumba ya Muhammad akiwa na miaka tisa, na alikuwa na miaka 18 wakati Muhammad alipokufa. Kwa mujibu wa al-Zawa'id, isnad zake ni sahihi kwa mujibu wa Bukhari. Hata hivyo Abu 'Ubaida hakusikia kwa baba yake, kwa hiyo ni munqata (ina pengo) Ibn-i-Majah juzuu ya 3 kitabu 9 sura ya 13 na.1877, uk.134.
Acha kupotosha watu miaka 6 au 9 ya zamani sio sawa na sasa hivi watu wazamani walikuwa wanaishi miaka 1000 walikuwa hawahesabu kama sisi tunavyohesabu acha uongo
 
Ila wakristo wanashangaza sana kwa hyo waislam kupinga kujengwa kanisa ndo mmeona issue ila dini yenu kuruhusu na kufungisha ndoa za jinsia moja mnaona kawaida wala hakuna anayepaza sauti kule ulaya wanaongoza kwenye agenda za ushoga ni Christian badala mkemee mmekaa kimya mpo bize na zanzibar wakati kizazi chenu kinateketea
 
Acha kupotosha watu miaka 6 au 9 ya zamani sio sawa na sasa hivi watu wazamani walikuwa wanaishi miaka 1000 walikuwa hawahesabu kama sisi tunavyohesabu acha uongo

Nimeweka ushahidi na reference za kitabu chenu waislamu, hayo maneno sijayatunga mimi, Muhamad alimuoa Aisha akiwa na miaka zaidi ya 50 na Aisha alikuwa na miaka 6, na alimtombaz akiwa na miaka 9.

Mtume Mohamad alifariki akiwa na miaka 63.

Kama hiyo miaka ni ya uongo weka ushahidi wako kuhusu umri wa mohamad na aisha wakati wanaoana na wanatombanaz ulikuwaje

Bishana kwa ushahidi

Mtume muhamad alizaliwa mwaka 613 na alifariki mwaka 678

Yaani miaka ilikuwa imeshaanza kuhesabiwa kwa staili hii hii ya leo.. ndio maana mwaka mpya wa kiislamu leo ni mwaka 1444 na mwakani utakuwa mwaka 1445

Na mwaka mpya wa kikristo ambao leo tupo 2022 ulikuwa ushaanza kuhesabiwa kwa staili kama ya leo hii.. maana muhamad alikuja miaka 600 baada ya jesus crist
 
Acha kupotosha watu miaka 6 au 9 ya zamani sio sawa na sasa hivi watu wazamani walikuwa wanaishi miaka 1000 walikuwa hawahesabu kama sisi tunavyohesabu acha uongo
Okay labda umeandika pasipo kujua...
Kiuhalisia Watu wa sasa ndio tunaishi miaka mingi kuliko wa zamani kwa sababu zifuatazo.
1.Elimu juu ya afya, usafi na maisha kiujumla
2.Ubora wa sekta ya Afya na huduma za kwanza
3.Upatikanaji wa vyakula na Maji kirahisi
(Kuna sababu kwanini sikuizi watu ni wengi sana duniani, watu hawafi sikuizi)

Hizi story sijui za akina nani waliishi miaka 1000 tuziache kwenye biblia na Quran tu...Hazina uhalisia wowote.
 
hao ni wapumbavu tu
usipagawe na wajinga wachache
watu hawajawahi hata kusafiri

wamejichimbia visiwani kama mafala
waje huku kariakoo wawaone wapemba wanzao wenye akili jinsi wanavyochangamkia fursa na hao wakristo ndio wateja wao wa kila siku
hivyo vibandiko walivyovaa kichwani vimezuia akili yao ya kufikiria, yamekuwa kama machizi
Kama machizii😀😀
 
Tuanze hayo tena? Watoto wangapi wamenajisiwa kwenye hizo madrasa?

Halafu, kwa taarifa yako tu, asilimia 70 ya wahalifu wa Tanzania wanaofikishwa polisi ni Waislamu. Hizo takwimu serikali imekataa kuzitoa, mie nakuibia tu!
na asilimia 70% ya matajiri Tanzania Ni waislamu, unajua sababu ????
 
Nchi za ulaya na amerika hawajaweza kuzuia 😅 hebu jaribu uone kitakachotokea, kama hujarudi kwenu roma.
Wakiamua inawezekana, izo kelele wakapigie huko Iran na nchi zingine za kiislamu
 
Okay labda umeandika pasipo kujua...
Kiuhalisia Watu wa sasa ndio tunaishi miaka mingi kuliko wa zamani kwa sababu zifuatazo.
1.Elimu juu ya afya, usafi na maisha kiujumla
2.Ubora wa sekta ya Afya na huduma za kwanza
3.Upatikanaji wa vyakula na Maji kirahisi
(Kuna sababu kwanini sikuizi watu ni wengi sana duniani, watu hawafi sikuizi)

Hizi story sijui za akina nani waliishi miaka 1000 tuziache kwenye biblia na Quran tu...Hazina uhalisia wowote.
Mimi point yangu ipo kwenye miaka hayo mengine sijayasema ukiachana na miaka hata physique ilikuwa tofauti na sisi
 
Nimeweka ushahidi na reference za kitabu chenu waislamu, hayo maneno sijayatunga mimi, Muhamad alimuoa Aisha akiwa na miaka zaidi ya 50 na Aisha alikuwa na miaka 6, na alimtombaz akiwa na miaka 9.

Mtume Mohamad alifariki akiwa na miaka 63.

Kama hiyo miaka ni ya uongo weka ushahidi wako kuhusu umri wa mohamad na aisha wakati wanaoana na wanatombanaz ulikuwaje

Bishana kwa ushahidi

Mtume muhamad alizaliwa mwaka 613 na alifariki mwaka 678

Yaani miaka ilikuwa imeshaanza kuhesabiwa kwa staili hii hii ya leo.. ndio maana mwaka mpya wa kiislamu leo ni mwaka 1444 na mwakani utakuwa mwaka 1445

Na mwaka mpya wa kikristo ambao leo tupo 2022 ulikuwa ushaanza kuhesabiwa kwa staili kama ya leo hii.. maana muhamad alikuja miaka 600 baada ya jesus crist
Bwana hata mfanyeje hatuji dini ya mashoga bakini wenyewe tuachuni na ujinga wetu kanisani mnaenda uchi bila kunawa na mnafungusha ndoa za jinsia moja kanisani mungu gani anayeruhusu huo upuuzi
 
Mimi point yangu ipo kwenye miaka hayo mengine sijayasema ukiachana na miaka hata physique ilikuwa tofauti na sisi
We siumesema zaman waliishi miaka mingi? Ndiyo nmekusahihisha kuwa hiyo ni myth sio ukweli.

Kuhusu physique pia sio kweli.
Sikuizi ndio watoto wanawahi kupevuka kwasababu za vyakula tunavyokula.

ila zamani, tena sio zamani sana miaka 50 kurudi nyuma (kabla ya mbolea za kizungu, kuku wa kizungu, Madawa ya kizungu, mbegu za kizungu) watu walikuwa wanachelewa sana kupevuka.
Bibi zetu walivunja ungo na miaka 14-16
ila sikuizi ni miaka 9-13
 
Bwana hata mfanyeje hatuji dini ya mashoga bakini wenyewe tuachuni na ujinga wetu kanisani mnaenda uchi bila kunawa na mnafungusha ndoa za jinsia moja kanisani mungu gani anayeruhusu huo upuuzi
Nyani haoni kun....
JamiiForums-387973889.jpg


Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom