Kwa hiyo ukielimika unakua mbuzi?Hakuna aliyeelimika duniani zaidi ya Muislam Usihjidanganye.
Jiulize wewe umeelimika nini wakati bado ni kondoo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ukielimika unakua mbuzi?Hakuna aliyeelimika duniani zaidi ya Muislam Usihjidanganye.
Jiulize wewe umeelimika nini wakati bado ni kondoo?
Du mwenzangu mi nimepembua no pumba Kuna vichuya kidogo tu sijui mwenzangu unatumia ungo wa aina gani?😂😂😂😂😂We jamaa toka juzi unaandika upuuzi tuu
Unailaumu CCM usikute ww nyumba yako tu inakushinda
Halafu usiitumie Qur-an kwenye kuwasilisha upuuzi wako mana toka juzi nakuona unaandika pumba tu hapa
Inaonesha ww ni mpungufu katika dini ndo mna ukaandika haya uloyaandika
Kuangaika na mtu asiye na elimu ni shughuli maana uwezo wake wa kufikiri ni mdogoKama tutaitafuta jamii iliyoonewa/inayoonewa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, (Zaidi Tanganyika) basi ni Waislamu. Waonevu ni Serikali ya CCM. Ajabu ccm wanapofanya madudu yao huwatumia Waislamu kutaka kujitakatisha kwa uchafu wao. Ajabu zaidi Waislamu bado hawajakitegua kitendawili hichi. Wakirsto hupewa misamaha ya KODI kwa mabilioni Waislamu huhitaji msamaha wa KODI kwa makontena ya tende. Kama kuna ziada ni michango ya Maulidi na mahudhurio ya viongozi wa Serikali kwenye sherehe hizo.
Halafu bado tunawalaumu wengine kwa makosa yetu wenyewe. Kama hujafahamu ujumbe huu rudia kuusoma tena na tena ukishindwa omba msaada kwa jirani.
“Ikiwa hujui unasumbuliwa na nini hata Qur-an haitokutibu”
Ndivyo mnavyojidanganya. Uislam hauna zaidi ya wewe mwenyewe kukiri ndani ya nafsi yako kuwa Umejisalimisha kwa Muumba wako, baada ya hapo unakiri hilo mbele ya mashahidi japo wawili na ikiwa ziaid ndiyo bora.😁😁sifa ya kwanza ya kuwa muislam kwanza,lazima uwe ndezi,ukichanuka tu basi wewe sio muislam😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bibi safari hii kazi unayo.Wewe huna Uislam wowote. Wewe ni mnafiki tu unaejifanya Muislam.
Ni walewale tu.
haukiri kwa Allah unakiri kwa sheikh. tena unafatisha anachokuambia.Ndivyo mnavyojidanganya. Uislam hauna zaidi ya wewe mwenyewe kukiri ndani ya nafsi yako kuwa Umejisalimisha kwa Muumba wako, baada ya hapo unakiri hilo mbele ya mashahidi japo wawili na ikiwa ziaid ndiyo bora.
Hakuna longolongo kwenye Uislam.
😂😂inabidi ashinde nyumbanu na ugenini na ana wachezaji 7[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bibi safari hii kazi unayo.
Ukiwa hivyo utalawitiwa wima wima.haukiri kwa Allah unakiri kwa sheikh. tena unafatisha anachokuambia.
baada ya pale akili zote zimeenda.
Upo Kijiji gani?Ukweli mchungu!
Waislam wengi elimu hawana!!!
Kazi ipi, hii ya kuwafundisha? Mbona naipenda sana, naona raha sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bibi safari hii kazi unayo.
sasa hapa nani katika waislam atakuwa yuko salama😂Ukiwa hivyo utalawitiwa wima wima.
hili ni jambo la siri maana unaingia agano na asiyeonekana.Unakiri kwanza kbisa ndani ya moyo wako,
wewe ni kaongo ka kike,tena kwa kukujuza tu haihitaji hata mashahidi
tofauti ya mshahidi masheikh na wale mashaidi wa kiapo cha watumishi mawaziri ni kanzu tu,mtu anakiri kwa mdomo roho yake ina mengine kabisa.bali huwekwa mashahidi kwa mambo ya kiserikali na haki za msingi tu.
na muhamad anahusika.Kusilimu ni baina yako na Muumba wako.
Hamna kitu ni kujiletea inferiority complex tu!Ndivyo mnavyojidanganya. Uislam hauna zaidi ya wewe mwenyewe kukiri ndani ya nafsi yako kuwa Umejisalimisha kwa Muumba wako, baada ya hapo unakiri hilo mbele ya mashahidi japo wawili na ikiwa ziaid ndiyo bora.
Hakuna longolongo kwenye Uislam.
Huyo sio mjinga huyo ni mpumbavuWewe ndie mpuuzi wa kweli, hujajibu hoja hata moja juu ya yale anayozungumza toka hiyo juzi, badala yake umekurupuka na kuamua kumshambulia yeye binafsi.
Bila shaka wewe ndie mfano wa lile kundi la wajinga huko kwenu analolizungumzia, ndio maana unaumia kwa ukweli anaokwambia.
Bibi naona wanakupelekea moto mpaka una panic[emoji1787][emoji1787]Kazi ipi, hii ya kuwafundisha? Mbona naipenda sana, naona raha sana.
Kumbe palishawahi kuwepo na haya mabango, halafu yote akaandika FaizaFoxy[emoji1787][emoji1787]Sidhani hata kama wanakuelewa.
View attachment 2729170