Waislam tuache kupambana na TEC,mbaya wetu huyu hapa

Waislam tuache kupambana na TEC,mbaya wetu huyu hapa

Kama tutaitafuta jamii iliyoonewa/inayoonewa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, (Zaidi Tanganyika) basi ni Waislamu. Waonevu ni Serikali ya CCM. Ajabu ccm wanapofanya madudu yao huwatumia Waislamu kutaka kujitakatisha kwa uchafu wao. Ajabu zaidi Waislamu bado hawajakitegua kitendawili hichi. Wakirsto hupewa misamaha ya KODI kwa mabilioni Waislamu huhitaji msamaha wa KODI kwa makontena ya tende. Kama kuna ziada ni michango ya Maulidi na mahudhurio ya viongozi wa Serikali kwenye sherehe hizo.

Halafu bado tunawalaumu wengine kwa makosa yetu wenyewe. Kama hujafahamu ujumbe huu rudia kuusoma tena na tena ukishindwa omba msaada kwa jirani.

“Ikiwa hujui unasumbuliwa na nini hata Qur-an haitokutibu”
Waislam wakitaka msamaha kama wanaopata wakristo hukataliwa? Hii mbaya kama kweli!
 
We jamaa toka juzi unaandika upuuzi tuu

Unailaumu CCM usikute ww nyumba yako tu inakushinda
Halafu usiitumie Qur-an kwenye kuwasilisha upuuzi wako mana toka juzi nakuona unaandika pumba tu hapa

Inaonesha ww ni mpungufu katika dini ndo mna ukaandika haya uloyaandika
Asichanganye dini na siasa🤣
 
Kama tutaitafuta jamii iliyoonewa/inayoonewa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, (Zaidi Tanganyika) basi ni Waislamu. Waonevu ni Serikali ya CCM. Ajabu ccm wanapofanya madudu yao huwatumia Waislamu kutaka kujitakatisha kwa uchafu wao. Ajabu zaidi Waislamu bado hawajakitegua kitendawili hichi. Wakirsto hupewa misamaha ya KODI kwa mabilioni Waislamu huhitaji msamaha wa KODI kwa makontena ya tende. Kama kuna ziada ni michango ya Maulidi na mahudhurio ya viongozi wa Serikali kwenye sherehe hizo.

Halafu bado tunawalaumu wengine kwa makosa yetu wenyewe. Kama hujafahamu ujumbe huu rudia kuusoma tena na tena ukishindwa omba msaada kwa jirani.

“Ikiwa hujui unasumbuliwa na nini hata Qur-an haitokutibu”

Msitulazimishe kuwaunga mkonokwenye mambo yenu wakati ya kwetu mengi hamjawahi kutuunga mkono.Kama mkataba utawaathiri maslahi yenu pambane kivyenu.Hamjawahi kutupenda wala hamtatupenda
 
Msitulazimishe kuwaunga mkonokwenye mambo yenu wakati ya kwetu mengi hamjawahi kutuunga mkono.Kama mkataba utawaathiri maslahi yenu pambane kivyenu.Hamjawahi kutupenda wala hamtatupenda
Wakristu hawana ubaya na waislam.
Shida ni uwezo wenu mdogo wa kufikiri.
Na zaidi ni inferiority complex
 
.n
Msitulazimishe kuwaunga mkonokwenye mambo yenu wakati ya kwetu mengi hamjawahi kutuunga mkono.Kama mkataba utawaathiri maslahi yenu pambane kivyenu.Hamjawahi kutupenda wala hamtatupend
Ndugu zangu waislam tuache kutafuta mchawi,mchawi wetu ni ccm na ujinga wetu
 
Ukiwa hivyo utalawitiwa wima wima.

Unakiri kwanza kbisa ndani ya moyo wako, tena kwa kukujuza tu haihitaji hata mashahidi bali huwekwa mashahidi kwa mambo ya kiserikali na haki za msingi tu. Kusilimu ni baina yako na Muumba wako.
Bibi matusi ya nini tena? pambana kwa hoja!
 
Kama tutaitafuta jamii iliyoonewa/inayoonewa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, (Zaidi Tanganyika) basi ni Waislamu. Waonevu ni Serikali ya CCM. Ajabu ccm wanapofanya madudu yao huwatumia Waislamu kutaka kujitakatisha kwa uchafu wao. Ajabu zaidi Waislamu bado hawajakitegua kitendawili hichi. Wakirsto hupewa misamaha ya KODI kwa mabilioni Waislamu huhitaji msamaha wa KODI kwa makontena ya tende. Kama kuna ziada ni michango ya Maulidi na mahudhurio ya viongozi wa Serikali kwenye sherehe hizo.

Halafu bado tunawalaumu wengine kwa makosa yetu wenyewe. Kama hujafahamu ujumbe huu rudia kuusoma tena na tena ukishindwa omba msaada kwa jirani.

“Ikiwa hujui unasumbuliwa na nini hata Qur-an haitokutibu”
Mbaya ni mwarabu
 
Ukiwa hivyo utalawitiwa wima wima.

Unakiri kwanza kbisa ndani ya moyo wako, tena kwa kukujuza tu haihitaji hata mashahidi bali huwekwa mashahidi kwa mambo ya kiserikali na haki za msingi tu. Kusilimu ni baina yako na Muumba wako.
Kaah! Wewe ajuza wewe matusi yote hayo? Wew ata hyo dini huijui wallah
 
Hilo baraza ni la watu wasomi wenye maono, wengine sijui kama hata neno mkataba wanalielewa. Mtu mwenye busara azingatie maoni ya baraza la maaskofu Wakatoliki Tz.
 
Asanteni mloniquote kwa viroja na kejeli ila siku hizi sijibu watu wapumbavu na wajinga wasojua hata jinsi ya kujitoharisha miili yao wenyewe
 
Kama tutaitafuta jamii iliyoonewa/inayoonewa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, (Zaidi Tanganyika) basi ni Waislamu. Waonevu ni Serikali ya CCM. Ajabu ccm wanapofanya madudu yao huwatumia Waislamu kutaka kujitakatisha kwa uchafu wao. Ajabu zaidi Waislamu bado hawajakitegua kitendawili hichi. Wakirsto hupewa misamaha ya KODI kwa mabilioni Waislamu huhitaji msamaha wa KODI kwa makontena ya tende. Kama kuna ziada ni michango ya Maulidi na mahudhurio ya viongozi wa Serikali kwenye sherehe hizo.

Halafu bado tunawalaumu wengine kwa makosa yetu wenyewe. Kama hujafahamu ujumbe huu rudia kuusoma tena na tena ukishindwa omba msaada kwa jirani.

“Ikiwa hujui unasumbuliwa na nini hata Qur-an haitokutibu”
Islamic sio wote wajinga , wachache ndo wapumbavu sana kisa baasha, pumbavu
 
Tatizo ni bakwata je viongozi wao wanaelimu zote sekula na akhera? Hakuna kitu Wana akhera tu ambayo akipewa mkaba wa dp hajui hata kuuuchambua
 
Back
Top Bottom