Waislam tulio wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji n.k

Waislam tulio wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji n.k

Inatokea kama mkazo , wakristo wanalazimisha kuwataja waislamu kwenye mada zao za Nguruwe ..Utakuta point hazina umuhimu ;nakula nguruwe ila tutawachangia damu waislamu , utasikia waislamu wanakula nguruwe kwa kujificha , utasikia nguruwe ni halali .

Ishu ya wakristo kuwahusisha sana waislamu kwenye ishu ya nguruwe ndiyo inaleta mijadala yote , sehemu kukitajwa nguruwe basi watataja waislamu ili mradi iwe kama uchokozi.

Wapo wanaokula wakiwa na majina ya kiislamu , mambo yale yanafanywa na watu wote...Kuna mkristo anakula kila siku ila siku moja alinitumia whatsapp picha ya nguruwe ''eti karibu shekhe wangu" 😀
Malizia story basi, alivyokukaribisha ulijongea? Mnakosa kitu kizuri kwa kuendekeza jeuri.
 
Uchafu kumaliza story au kula kitimoto?
Unakosa jambo zuri kwa kuendekeza kibri
Unajua kabisa watu fulani hawali🤧 hata wewe umaweka dp ya mtu anapeleka kreti za bia ,unajua kabisa sio kawaida yao.
 
Wangekuwa wanachukiwa wasingefika Dar salama kutokea Mbulu.
 
Assalaam alaykum,

Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini....

Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi nimegundua sio sahihi kabisa, TUNAKOSEA MNO, hiki ni kiumbe cha Allah mtukufu, na hajatuamrisha tukichukie!

Hiki kiumbe kama vilivyo viumbe vingine kinaweza kuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu, "sasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatika🥴 hivyo basi nawasii mno MSIMCHUKIE HANA HATIA KABISA!

Nb:-Allah mtukufu kaharamisha nyama ya nguruwe kuliwa na muumini., kama alivyoharamisha DAMU, NYAMAFU, KAMARI NA ZINAA🙂

Nimeambatanisha na picha ya KIUMBE CHA ALLAH MTUKUFU, kikiwa kimepozi kinakuangalia kwa huruma wewe unaekipiga rungu na kukiua, na wewe unaekichukia bila elimu..! Asanteni kwa kuja🤝

Hakuna fundisho linalofundisha waislam kumchukia nguruwe,isipokuwa kuwa wasio waislam miaka ya nyuma waliunda hadithi ya kejeli kumhusisha mtume na nguruwe,huo uzushi ndio uliowapelekea wengi wa waislam kwa kuto kujua,wakajikuta wanamchukia nguruwe!
Nguruwe kwa waislam hatakiwi kuliwa kwa tamaa ya mtu,ila kwa dharura ya chakula analiwa,ila kwa wakristo nguruwe hawaruhusiwi kumla hata kwa dharura!
 
Hivi kati ya ng'ombe na nguruwe yupi analika sana!? Yupi ambae wapo wengi kuliko wenzie!?
Halafu shangaa sasa Ng'ombe anabeba mimba miezi tisa na anaza mtoto mmoja tu🙂
Ngubi anabeba mimba miezi minne na anazaa watoto 12....lakini shangaa anazidiwa wingi na Ng'ombe hujiulizi wala hushangai!? 🙂🙂🙂🙂
Nenda ugugo nyama au mnyamaanayelika zaidi duniani ndio utapata jibu,mshamba wewe
 
Assalaam alaykum,

Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini....

Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi nimegundua sio sahihi kabisa, TUNAKOSEA MNO, hiki ni kiumbe cha Allah mtukufu, na hajatuamrisha tukichukie!

Hiki kiumbe kama vilivyo viumbe vingine kinaweza kuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu, "sasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatika🥴 hivyo basi nawasii mno MSIMCHUKIE HANA HATIA KABISA!

Nb:-Allah mtukufu kaharamisha nyama ya nguruwe kuliwa na muumini., kama alivyoharamisha DAMU, NYAMAFU, KAMARI NA ZINAA🙂

Nimeambatanisha na picha ya KIUMBE CHA ALLAH MTUKUFU, kikiwa kimepozi kinakuangalia kwa huruma wewe unaekipiga rungu na kukiua, na wewe unaekichukia bila elimu..! Asanteni kwa kuja🤝

Na bila shaka futari yako imesindikizwa na finyango kadhaa za huyu nguruwe na mimi huwa nawaambia kuwa huwezi onja hiyo kitu halafu ukaendelea kuichukia, ona mtoa mada anavyotiririka sasa!
 
Assalaam alaykum,

Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini....

Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi nimegundua sio sahihi kabisa, TUNAKOSEA MNO, hiki ni kiumbe cha Allah mtukufu, na hajatuamrisha tukichukie!

Hiki kiumbe kama vilivyo viumbe vingine kinaweza kuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu, "sasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatika🥴 hivyo basi nawasii mno MSIMCHUKIE HANA HATIA KABISA!

Nb:-Allah mtukufu kaharamisha nyama ya nguruwe kuliwa na muumini., kama alivyoharamisha DAMU, NYAMAFU, KAMARI NA ZINAA🙂

Nimeambatanisha na picha ya KIUMBE CHA ALLAH MTUKUFU, kikiwa kimepozi kinakuangalia kwa huruma wewe unaekipiga rungu na kukiua, na wewe unaekichukia bila elimu..! Asanteni kwa kuja🤝

TAKIBIIIR,
 
Back
Top Bottom