Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Sasa kama sio muislamu unakataaje kuitwa kafiri?

Kafiri maana yake ni mpingaji/mwenda kinyume

Maana ya kafiri ni aliye na itikadi kinyume na uislamu

Kwa maana hiyo hata mkristo anamuona muislamu ni kafiri
c'mon....... Kafiri has a derogatory connotation, it is used to degrade others religions/who are not moselems
 
Binadamu waliokamilika wanafundishana namna ya kukabilia na changamoto zilizo wazunguka, sokwe bado wanafundishana stori za mbinguni. Interesting
 
Mbona Sunday School mapafri wanafira watoto na hazifungwi? Mwamposa kaua watu moshi na hakufungiwa huduma
wapi imeandikwa and if so ni kweli?
Lakini Huyu hapa ni muislamu mwenzenu anashuhudia
 

Attachments

  • MAFIA NA ULAWITI.mp4
    22 MB
wazee wa jazba mmefikiwa
 
Mkuu sio la kucheka nimetoka tandahimba majuzi hakuna lingine walilokuwa wanawaza zaidi kila muda kwenda kuswali.. tena wengine wanashinda hukuhuko masjid kwenye vibaraza.
Matokeo yake wanakuwa na maisha magumu na kukosa cha kufanya, wanaanza kuambiwa wakapambane sijui Jihad.

Mimi namuunga mkono DC Magoti, hawa wanatakiwa ile swalaa akibaru wakaiswalie polisi.
 
mwamposa ni tapeli na analindwa na ccm ka vile anawasaidia kwenye kampeni, ilibidi afungiwe, mlaumu muislamu mwenzako samia
We fala kweli, mwamposa aliua watu kipindi cha samia? Mbona aliyekuwepo hakumfungia?
 
Cry babies.

Waislamu jambo dogo tu mnalialia kama vile mna umuhimu sana kuliko wengine.
 
Huyo mkuu wa wilaya ajiangalie sana. Atumie busara

Akina Mwamposa wanaibia watu mchana na usiku serikali iko kimya halafu anakuja mkuu wa wilaya anataka waislamu wasisome dini yao?.

Huyo mkuu wa wilaya ajitafakari sana.
Anaingilia uhuru wa waislamu kuabudu na kujifunza dini yao, hili halikubaliki
 
U Islam(sio wa Islam), ni, kansa,Samia Kuingiza dume msikitini likiwa limevaa hijabu kama jike,na Kukaa nyuma ya mama na Dada zenu,sio shida! So pathetic
 
OK, si ndiyo ubaguzi huo! Neno hilo linatumka in a delogatory sense. Kwamba kama si muislamu umepotea, huna thamani....ujinga mtupu.
Hata ndani ya biblia hilo neno kafiri lipo au kwa vile hukijui kitabu chako?

Ezekiel 21:25 (NEN)
“ ‘Ee mtawala kafiri na mwovu wa Israeli, ambaye siku yako imewadia, ambaye wakati wako wa adhabu umefikia kilele chake

Yuda 1:14 “Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo”

2Wakorintho 16:22 “Mtu awaye yote asiyempenda Bwana, na awe amelaaniwa. Maran atha”. Ili kuepuka kuwa kafiri, ni lazima mtu akiri Yesu Kristo, na kumwamini, na kumpa maisha yake."

Kwahiyo hata mimi ni kafiri kwa mujibu wa Ukristo. Na siwezi kusema umenitukana kwasababu imani yangu haipo katika kuuamini ukristo.
 
Utamwelewa DC ikiwa tu utaweka udini pembeni na kuangalia fact. Wale ni watoto wanastahili kusoma na kukaa kwenye mazingira mazuri . Labda kama utalaumu kwa yeye kwenda na wanahabari na macamera kwamba anedeal nalo kimyakimya of which pia inafanyika hivyo ili wengine waone na wajifunze na kujirekebisa. Ni suala la wahusika kuchukua hatua kutengeneza mazingira watoto warudi huko shuleni
 
Sheikh kamuonesha huyo DC kuwa wapo kwenye michakato ya ujenzi...kuna Cement,matofali,nondo mchanga na kila kitu...bado wanafatilia vibali waanze ujenzi huku watoto wakiendelea na masomo hapo msikitini kwa dharura. Elimu inaendelea na ujenzi unaendelea.
 

Nani kakwambia mkuu wa wilaya anatunga sera za elimu nchini?
Kanukuu kifungu gani cha sheria katika agizo lake hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…