Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Aliye mwambie mtume wenu "Soma" ni nani ?
Hebu tuwekee Hilo andiko, mtume wenu akiambiwa asome.
Tafadhari kama lipo.
Halipo, ni hadithi za kusadikika.
Hata andiko sijaweka umeshahitimisha, Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga?
 
Hata andiko sijaweka umeshahitimisha, Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga?
Wagaratia ni Kabila moja wapo la watu wa nchini Ugiriki. (The Garatians)
Wapo Hadi hii leo.
Hilo andiko halipo.
Nashangaa andiko muhimu kama Hilo halipo ndani ya Kitabu chako.
 
Sera yao ni kuzaana na kuongezeka ili Dunia ijae Waislamu.
Waunde Dola la Kiislamu na mwisho waitawale dunia na kulazimisha watu wote wawe Waislamu.
Huwa nashangaa sana, hivi kwanini wanalazimisha watu wote wawe Waislamu.
Badala ya kufurahia na kuridhika kuwa wameupata Uislamu mzuri kwao wanafosi kila mtu awe Mwislamu.
Wako radhi kuchinja mtu kama hautaki Uislamu.
Mfano wale Magaidi wa Garissa Kenya waliwatenga wasio Waislamu na kuwapigia risasi na kuwaua.
Hawa jamaa mimi siwaamini kabisa na nimesoma Madrasa ili nikikutana na Magaidi najifanya Mwislamu.

Shida yote hii kaleta mud, yaani hakuna kiumbe muovu kama mudi. Ameacha dunia katika hali mbaya sana.
 
Mbona mkuu wa Wilaya alikuwa sahihi. Alimwambia shehe ya kwamba Jenga majengo yakikamilika leta wanafunzi. Shida ipo wapi? Watoto wanaishi Kama wanyama.
Mimi niko upande wa Mkuu wa Wilaya.
 
Msimamizi wa kituo cha msikiti wa Kiluvya alionekana akimueleza Mkuu huyo wa wilaya kuwa wanafunzi wanaishi katika hali hiyo kwa dharura tu huku jitihada mbalimbali za kuanzisha ujenzi wa mabweni zikiendelea. Nondo, mchanga, cement na matofali tayari vimeshakusanywa na jitihada za kuomba vibali vya ujenzi zikiendelea kufanyika ili kuhakikisha wanafunzi wanaishi katika mazingira rafiki.
Hapo nilipo bold mkuu hiyo statement ilitakiwa itumike kama hapo awali walikuwa na mazingira rafiki lakini wakapatwa na majanga.
Kulikuwa na ulazima gani wa kukusanya watoto wadogo bila kuwa na mazingira rafiki!!??
 
Watangulizi wa Petro Magoti mbona hawakuleta taharuki hizi.

Wamepita ma DC, Mh Jokate mwegelo na Nikki wa pili wameishi vizuri tu na wana Kisarawe ila yeye toka aje Kisarawe amekuwa ni mtu wa kuzua taharuki.

Kwanza kaanza kwa kutoa matamko kuwa mabinti wa kizaramo wasichezwe, pikipiki zisitumike kubeba mkaa pikipiki ikikamatwa anaitaifisha , hajakaa vizuri kaja na haya
Walikuwa wazembe au waoga kutekekeza majukumu halali
 
Back
Top Bottom