Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Mimi sio DC, TISS, Polisi, wala Mkazi wa kisarawe...nikuletee aushahidi kama nani kutoka wapi?

Wewe umeweka Ushahidi kuwa wale wote sio watoto na wamezidi miaka 18 ili wajitegemee?

Jibu kinagaubaga
Waislam tunawasomesha watoto wetu elimu ya dini wangali wadogo tu...mtoto wa miaka 3 anakwenda madrasa/markaz kusoma dini ili amjue mola wake na dini yake kwa ujumla.
 
Acha ujinga, dharura gani inawafanya watoto wakalale msikitini wasilale makwao??
Watoto wako pale kuhifadhi Quran. Maneno ya Mungu ili uyahifadhi huwa hayataki distractions za kidunia. Ndio maana hata nyinyi mna seminaries na vyuo vya biblia ambapo wachungaji,mapadri na masista huenda kukaa kulisoma neno la mungu wenu.
 
Utamwelewa DC ikiwa tu utaweka udini pembeni na kuangalia fact. Wale ni watoto wanastahili kusoma na kukaa kwenye mazingira mazuri . Labda kama utalaumu kwa yeye kwenda na wanahabari na macamera kwamba anedeal nalo kimyakimya of which pia inafanyika hivyo ili wengine waone na wajifunze na kujirekebisa. Ni suala la wahusika kuchukua hatua kutengeneza mazingira watoto warudi huko
Nani kakwambia mkuu wa wilaya anatunga sera za elimu nchini?
Kanukuu kifungu gani cha sheria katika agizo lake hilo?
Sera za elimu? Kwahiyo hiyo elimu ya dini nayo ipo kwenye sera?
 
Mbona wayahudi na lugha yao ya Hebrew huandika kutoka kulia kwenda kushoto na hatukuoni ukiwabeza we kichwa maji?
 
Waislam tunawasomesha watoto wetu elimu ya dini wangali wadogo tu...mtoto wa miaka 3 anakwenda madrasa/markaz kusoma dini ili amjue mola wake na dini yake kwa ujumla.
Sio Waislam tu, Wakristo tunaanza kuwafundisha na kuwapeleka Sunday School hata wakiwa na mwaka mmoja

Hilo sio tatizo, lakini je wanapata malezi wa Wazazi? Wanapata elimu ya awali ya kutoka kwa mama na Baba? Wanapikiwa chakula kinachowastahili? Au ndio kujipikia na kutopata joto la wazazi
 

Hujui kuwa kuna mkono wa serikali kwenye kila kitu?

Ukitaka kujua kuwa serikali ina miongozo yake hadi kwenye sita kwa sita mkeo akupeleke kwenye mamlaka kuwa unamuomba tigo ndo utajua kuwa hata hilo kumbe serikali ina sheria zake!
 
Mnapoeapeleka watoto boarding schools huwa wanapata malezo yenu saa ngapi? Je huko boarding wanapata joto lenu?

Hapo wapo msikitini , ni safest place on earth. Msikitini hakuna masuala yoyote ya kipuuzi unayoyajua wewe. Wanalelewa katika tabia njema ya Uislam.
 
Hujui kuwa kuna mkono wa serikali kwenye kila kitu?

Ukitaka kujua kuwa serikali ina miongozo yake hadi kwenye sita kwa sita mkeo akupeleke kwenye mamlaka kuwa unamuomba tigo ndo utajua kuwa hata hilo kumbe serikali ina sheria zake!
Sawa sasa kama ndivyo shida iko wapi? Wanaangalia palipo na shida wanataka kurekebisa
 
Eneo la ujenzi ndio hatari zaidi kwa hao watoto, unajengaje mahali huku umezungukwa na watoto wa darasa la nne??
 
Kwamba hizi taasisi zenu hazipati misaada kutoka USA, Vatican na Rome?
 
Hakuna Mtu aliyesema Msikitini hakufai au kuna mambo ya kipuuzi...naona unaanza kujaa jazba badala ya kujibu kwa hoja.

Boarding hapelekwi mtoto wa miaka mitatu, na hao waliowapeleka wengi wanajutia.

Aidha, Mazingira hayo ya International School, Daycare n.k yapo bayana...yanajulikana na wanayapost kupitia Brochures n.k tofauti na Masjid
 
Kwani wanafunzi wanaosomea ualimu pale UDSM main campus na DUCE huwa wanafundishwa fani gani za ufundi? Ulishawahi kuwaona wakifundishwa welding,kushika majembe, uashi n.k?

Markaz wanafunzi wanasoma kwa muda fulani wakishahitimu hurudi makwao kuendelea na maisha yao mengine kama kawaida.
 
Hiyo ni definition yako ya kanisa ila kwa waislam msikiti ni taasisi kubwa ndio sehemu waislam wanapata elimu yao ya kiroho n.k
 
Hili andiko ni ishara ya hasira ya kuzuia mafunzo ya kigaidi yaliyokuwa yakitolewa.
Tena usijaribu kutumia neno uslamu na waislamu kama namna ya kupata kuungwa mkono na wenzio wengi.

kaa ukijua zama zimebadilika,
ukibeba jambia sitakimbia, nitabeba panga.
ukibeba mawe nitabeba mawe
ukibeba bomu, nitavaa mabomu.
ukibeba bunduki, nitakuja nazo
ukituma majini nitakutumia mapepo (au unabisha?)

ZAMA ZA KUOGOA UISLAMU NA WAISLAMU ZIMEKWISHA!
 
Unaweza kuuona uongozi wa msikiti wa salafi kiluvya wakakupa taratibu za kuwasilisha michango yako.

Shukrani
 
Hiyo ni definition yako ya kanisa ila kwa waislam msikiti ni taasisi kubwa ndio sehemu waislam wanapata elimu yao ya kiroho n.k
Msikiti unasajiriwa kwa mujibu wa Sheria za Tanzania siyo kwa mujubu wa Sheria za Yemen wala Oman.
Msikiti ukitaka kutoa huduma za afya huo ni utarayibu mwingine chini ya sheria na mamlaka nyingine, na haitaitwa Msikiti tena, ndivyo ilivyo kama Msikiti utataka kutoa huduma za malazi, n.k
Mbina mnakuwa wazito sana kuelewa
 
mimi kilichonikera ni pale anasema, kama isingekuwa nyumba ya ibada ningekuweka ndani leo. who is he? mkuu wa wilaya mbona mtu mdogo sana, anatishia watu kuwaweka ndani?
Kwani hana mamlaka hayo?
 
Kuna muislam alishakuja kukulilia umpe pesa ya kula? Unajuaje kuwa mbele maisha yao yatakuwa magumu? Unaijua kesho yako utaamkaje?
 
Kisaikolojia tu kwa alivyo huyo DC hawezi kuwa sawa sawa hivyo labda ungeanza Kwanza kumuombe akatibiwe vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…