Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Achana na mafia.
Huko kote na kwengine at least wote hao wanafahamu kuwa kumlala mwanamme mwenzako no kosa kubwa sana

Nataka wewe ujibu kuhusu PAPA KUBARIKI WANAMME KUFI.RANA.
Hapa ukwepi.

unasemaje kuhusu papa KUBARIKI Ufiraji?
Nimeeleza nadhani hujasoma post yangu.

Ni ipi sera hiyo mpya ya Vatican?

Papa Francis aliifanyia mabadiliko ya kihistoria sera ya Vatican kwa kuruhusu makasisi kuwabariki wapenzi wa jinsia moja wanaotafuta neema ya Mungu katika maisha yao.
Lakini sera hiyo inasisitiza kuwa Maaskofu wanaweza wasibariki mahusiano ya watu wa jinsia moja.

Lakini sera hiyo imesisitiza kuhusu uamuzi usiobadilika wa"sakramenti ya ndoa" ambayo ni lazima iwe kati ya mwanaume na mwanamke na kwamba baraka za wapenzi wa jinsia moja zisilinganshwe hata kidogo na taratibu za ndoa.

My take ni kuwa hawa watu WASITENGWE, mfano kuwakataza kwenda kanisani, kuwafukuza katika huduma za kanisa tc etc
 
Kubariki maana yake nini? tupate tafsiri kwanza hiyo
 
Dini yetu inahubiri amani na upendo na kuwalingania wale ambao hawamjui Mungu waweze kumjua Mungu. Hatuhubiri kuua nafsi za watu bila ya haki.
Unajua miungu wako wengi?
unaweza kukuta mungu wako wewe ndio shetani wangu mimi.
Mungu aliyehai haitaji kupiganiwa na wanadamu
 
Rais hawezi kumshauri mkuu wa Wilaya. Halafu Mkuu wa wa Wilaya anatekeleza mambo kwa niaba ya Rais. Swala la usalama wa watoto ni la muhimu sana
 
Hakuna kitu kama hiko, huwezi kuendelea kuhatarisha uhai wa watu kama kuna hatua zinachukuliwa je kuna tatizo gani watoto wakiruhusiwa ujenzi ukikamilika warudi??
 
Mnabishana ujinga hizi dini zote za kijinga tuuu
 
kahtaan ya mafia uliyasikia? Mwenzenu anakiri nimekuwekea. all in all, siyo wote ni wachache ingawa waarabu ni jadi yao

Kichwa cha huyu kahtaan ni kigumu sana. Na ukitaka kuona akili yake mbovu endelea kuwasema waarabu. Yeye ni muumini wa mila na desturi za kiarabu, ambayo yeye kwa akili yake fupi anaita uislam.
 
Kwa hiyo papa akihalalisha ndiyo maustaz mnaendeleza kwa kwenda mbele.
Hujajibu kuhusu PAPA
MTAKATIFU KUBARIKI WAFIRAJI.
Kichwa cha huyu kahtaan ni kigumu sana. Na ukitaka kuona akili yake mbovu endelea kuwasema waarabu. Yeye ni muumini wa mila na desturi za kiarabu, ambayo yeye kwa akili yake fupi anaita uislam.
Mimi nina akili mbaya. Mwehu sina elimu lkn nashangaa wewe msomi mwenye PHD ya Kigalati unashindwa kujibu swali dogo tu.

Hao unaowaita maostazi wanatambua kwa asilimia 100 kuwa kubaka kulawiti kufira.na au hata kufanya ngono tu nje ya ndoa ni kosa kubwa sana na hukumu yake ni kifo ktk Nchi ya Kiislamu.
Wanafanya kwa sababu kila jamii ina kondoo waliopotea.

Narudi kwa WAKRISTO SASA.
KIONGOZI MKUU WA WAKRISTO DUNIANI AITWAE PAPA FRANCIS amesema kuwa wanamme wote wanaotaka KUFIRANA wafanye Ndoa kabisa na YEYE AMEZIKUBALI na KUZIBARIKI kwa Moyo wote.
Na Kaamrisha VIONGOZI WOTE walioko Chini yake DUNIA NZIMA wasije kukataa kuhalalisha UFIRAJI .
PAULO akija na JOSEPH wakataka kufunga NDOA KANISANI LAZIMA WAPOKELEWE NA NDOA IFANYIKE kwa BARAKA ZOTE ZA KANISA.

Nakuuliza Tena. Je yule mwenye kufirana kwa kujifucha na YULE ANAEHALALISHA WANAMME WAPAKUANE na AKAWAPA BARAKA ZAKE nani mbaya zaidi na anaestahiki kunyongwa hadharani?

Nipe jibu we MKATOLIKI acha kukimbia swali dogo namna hii . AU unamuogopa MUMEO
 
Kubariki maana yake nini? tupate tafsiri kwanza hiyo
Hilo swali muulize PAPA au BBC waliomkariri PAPA akitoa RUKSA Wanamme wafirane

Sisi layman's tumemsikia PAPA live akisema "NDOA ZA MASHOGA zisiwekewe kipingamizi chochote.
Wanamme wanaokuja KANISANI kutaka Kufunga Ndoa ili wakafirane mpk mwisho KANISA LAZIMA LIWAPOKEE NA NDOA YAO IFUNGWE .

We kataa kubali lkn MKRISTO YYT ANAETAKA KUOA MWANAMME MWENZAKE PAPA KASEMA NI SAWA NA AMEWAPA BARAKA ZAKE.

Km wewe umemchunuku eliakeem Nenda Kanisani pale kwa KADINALI PENGO UKAPATE BARAKA ZAKE.
Mfunge ndoa yenu mkapakuane kwa Raha zenu
 
mnawalaza watoto sehemu ambayo hata mbuzi halali alafu mnasema chokochoko acheni ujinga msiwe wapumbavu ndugu zetu katika imani
 
kataka wananchi waone uchafu mnaowafanyia watoto kwa mgongo wa dini Muwafundishe ugaidi na bado muachiwe huo ni upumbavu
 
Na ushukuru Magoti katumia maneno ya kistaarabu ety hakuna malazi mazuri 😂 pale ilikuwa ni mafunzo ya ugaidi.
Kafiri hata akiona muislamu anachoma mishkaki lzm aseme anatengeneza mabomu.
Mmeshatiwa uoga na waume zetu wa kizungu ambao mpk leo mmeweka Picha zao na kuzipigia goti na kuziita Mungu. Mmeathirika kisaikolojia vibaya sana kiasi kwamba ukimuona Muislamu na ndevu zake anakatiza na mfuko wa vitunguu mnajamba na kuhara ovyo mkidhani ni miripuko. 🤣🤣

Manina . Makafiri acheni uoga.
Sisi waislamu wote tungekuwa magaidi hakuna kafiri hata mmoja angekuwa hai.
We endelea kutukana waislamu huku umejificha nyuma ya keyboard.
Kama kweli wewe ni kafiri unaejiamini njoo utamke maneno haya hadharani uone vipi mtu anaweza kutairiwa bila Ganzi 😀
 
Si Rahisi mtu aliyetoka jumba kuu, kuzoea mazingira ya uraiani kirahisi.

Muda ni mwalimu.
 
Mbona mkuu wa Wilaya alikuwa sahihi. Alimwambia shehe ya kwamba Jenga majengo yakikamilika leta wanafunzi. Shida ipo wapi? Watoto wanaishi Kama wanyama.
Hapana ametaka msikiti litumike kama kanisana wanvyoenda na kutoka
 
mnawalaza watoto sehemu ambayo hata mbuzi halali alafu mnasema chokochoko acheni ujinga msiwe wapumbavu ndugu zetu katika imani
We punga unaijua sehemu anayolala mbuzi ilivyo? Huko kwenu mbuzi mnawalaza kwenye magodoro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…