Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili


..kwenye suala mkataba na Dpw huenda Mama Abduli na genge lake wanataka kupiga danadana kama walivyofanya kwenye maridhiano na Chadema au suala la katiba mpya.

..nawaunga mkono Tec kujitokeza na kueleza madukuduku yao kuhusiana na mkataba wa Dp ili Mama Abduli apate pressure na kuchukua hatua za haraka kurekebisha kasoro.
 
Elimu,elimu,elimu
 
Sioni mahusiano yoyote ya haya uyasemayo na dini. Kwenye huo mfano wako hapo tatizo ni kutokushika dini ama kutojua kuna kifo? Sioni mahusiano yoyote kati ya kifo na dini.
Unasau sana kunasehemu umesema mwenyedini anaishi kwa tabu kuliko mwenye pesa kukiwa namaana masikini ni mwenyedini ndio nikakujibu mtu aishi kwa mkate............
 
Unasau sana kunasehemu umesema mwenyedini anaishi kwa tabu kuliko mwenye pesa kukiwa namaana masikini ni mwenyedini ndio nikakujibu mtu aishi kwa mkate............
Sio lazima aishi kwa shida, bali mwenye pesa kwa vyovyote mambo yake yatakuwa mazuri lazima.
 
Rais mstaafu Mwinyi alipowaambia pelekeni watoto shule wakamlamba kibao cha uso hadharani. Sidhani kama ndugu katika imani watakuelewa mtoa mada
 
mama abdul kashachukua mahari๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Kwa ufupi unataka tuwe murtad ..maana uislamu ni Dini so tuachane na uislam
 
Ahsante sana kwa hii elimu.
 
Imani haina evidence.
Kwako wewe hautoamini .tunajuwa ushahidi upo mfano kilakilicho gunduliwa kimeandikwa katika vitabu vyadini yesu aliishi duniani lakini vitabu vyote vinatambua alipaa unaweza kubisha lakini hakuna kitu kipo tu mfano wewe apo umevaa hiyo nguo yupo aliotengeneza hapo najuwa utaamini japo hukumuona kwanini ukatae hakuna alioanzisha mwili wako japohukumuona?
 
Elimu,elimu,elimu
FM Tantawi hujakosea, sisi tumesomeshwa kuwa elimu ina shibri 3, mtu akifikia shibri ya kwanza anakuwa na kiburi, na akifikia shibri ya pili anakuwa mnyenyekevu, na akifikia shibri ya tatu anasema yeye hajui kitu.
Angalizo.
Shibri ni upimaji wa zamani mtu anapima kutoka kwenye ncha ya kidole gumba mpaka mwisho wa ncha ya kidole kidogo wakati vidole vyako umevitanua.
 
yani unakuta mtu anapinga tu wakati hata shughuli za Bandari hazielewi.Mnakali uislamu na ukristo wenu wakati hakuna mnacho kipata, Hii nchi sijui imelogwa na nani
Kwa wanao jishughulisha na Bandari ndio wanaelewa ubovu uko wapi, jinsi mali zinaingizwa utasema bandari ni mali binafsi, mitambo ya kupima mafuta kila siku mibovu, wizi bandarini na Lazima uwalipe baadhi ya watu ndio mizigo itoke haraka. Ni usumbufu ambao wafanya biashara ndio wanao upata. Halafu anakuja fala asie hata na kibanda cha kuuza sigara anapinga Mkataba humu.
 
Mengi yao yangekuwa na elimu kama wewe TANZANIA yetu ingekuwa salama.
Ogopa sana kushindana ama kubishana na mtu mtumia mihemko badala ya akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ