Ewe kijana umejaribu kuelezea jambo kwa hoja ila embu rudi kwanza nyuma hili jambo lilipo anza na mpaka lilipofika umewasikia BAKWATA wakitoa neno lao au kuchangia
JE,umemsikia mufti Zuber au Balaza la ulamaa likitia neno
Unasema wew ni muislam sikatai,unaweza ukawa n kwel muslim ila wajina n sio vitendo
Naomba nikukumbushe kitu viongoz wa Dini waliungna na kutoa mapendokezo yao na wakapewa Ahad ya kuwa yatafanyiwa kaz
Je, TEC wao walishindwa nin kuwa na subra mpak hapo muda waliopewa
Je TEC kutoa walak na kusema kuwa watanzania hawautaki mkataba wa bandar ni haki kuwasemea wtz wote
Kama kwel TEC,walikuwa wanawasemea wtz ni kwel sisi sote ni wakatolik kwa maaan walaka umeenda kusomwa katika makanisa yao na sio kwa wasiokuwa wao
Tafuta nukuu za mwambusi,mbowe na yule mtumish wao na zunguka huko mitandaoni uone kila pande inapotoa hisia zao badala za hoja zen rudi hap unipe nukuu japo moja wa shekh wakat kuhusu bandar
Natoa rai kuwa sio muumini wa BAKWATA ila kweny hil naona wametumia hekima na busara kwa kukaa kimyaa mpka muda utakapo fika
Mwisho kabisa kwako wew mwandish Rudi kasome tena QURAN maana inaweza kuwa sio kwa ajili yako na hao walio tanguliza hisia zao,
Baadhi ya vipengele katik IGA kwa upande wa bandar vina matatizo na vimejadiliwa na mawaziri pamoja na wabunge ambao 95% sio waislamu na kuvipittisha kam ambavyo vilipitishwa huko nyuma na wasomi weny PhD
..kwenye suala mkataba na Dpw huenda Mama Abduli na genge lake wanataka kupiga danadana kama walivyofanya kwenye maridhiano na Chadema au suala la katiba mpya.
..nawaunga mkono Tec kujitokeza na kueleza madukuduku yao kuhusiana na mkataba wa Dp ili Mama Abduli apate pressure na kuchukua hatua za haraka kurekebisha kasoro.