Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Kakazana na Aya yake moja aloicopy anavyotaka yeye anadhani watu wote humu hawajui Qur-an na watadanganyika na unafiki wake

Angel Nylon

NGOJA NIKUONGEZEE NUINGINE MOJA TU.

ANGALIA HAPA JINSI QURAN INAVYOMSHUHUDIA MUNGU KUWA HAKUMTUMA MTUME ILA ALIKUWA SHAHIDI .

.QURAN 4:79 - Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

1. JE HAO WALIOMTUMA MWAMEDI NI AKINA NANI....????

2. JE MUNGU ANAWEZAJE KUWA UPANDE WA SHAHIDI WAKATI YEYE NDIYE AMEMTUMA??????

3. SHAHIDI ANAKUWA NI THIRD PARTY AU FIRST???


TUNAWAAMBIA HAYA ILI MUIJUE KWELI.
 
Kakazana na Aya yake moja aloicopy anavyotaka yeye anadhani watu wote humu hawajui Qur-an na watadanganyika na unafiki wake

TATIZO WAISLAMU HUWA HAWASOMI WANAKALILISHWA HAWAJUI KWAMBA WAO NA MAJINI NI KITU KIMOJA.

Allah anasema, " Nami sikuwaumba MAJINI na watu ila WANIABUDU Mimi."
Quran 51:56.


Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote"Qur'an 15:39

Quran 72:1

"Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!"
 
TATIZO WAISLAMU HUWA HAWASOMI WANAKALILISHWA HAWAJUI KWAMBA WAO NA MAJINI NI KITU KIMOJA.

Allah anasema, " Nami sikuwaumba MAJINI na watu ila WANIABUDU Mimi."
Quran 51:56.


Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote"Qur'an 15:39

Quran 72:1

"Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!"
Unaandika UKWELI MTUPU na kuquote maandiko

Hongera sana Mkuu
 
MAPADRI WA KANISA LA RUMI WALIVYOANDIKA QURAN NA KUMPA MOHAMED UTUME.

Hii inaweza kuwa kweli aisee, manake zipo fact kadhaa zinatakiwa kufanyiwa tafakuri jadilifu:
1. Huyo Padre aliyemtabiria Muhammad utume ni kweli kabisa, na waislam wanaijua hii stori.
2. Mariam(Bikira Maria) kupewa sura nzima katika quran inahitaji tafakari pia.
3. Jeshi la waislam katika vita ya Jihad walikatazwa kubomoa makanisa ni kweli kabisa na waislam wanalijua hili.
4. Jeshi la waislam kipindi hicho kuweza kushinda kwa kasi vile wakati hawakuwa na nguvu yoyote ilikuwaje? Wakati Rumi ndo ilikuwa ikitawala Dunia? Inawezekana kweli walisaidiwa na Warumi.
5. Waislam kuwa maadui zao ni wayahudi hili pia ni kweli imeandikwa katika vitabu vyao.



MUHAMMAD ALIKUWA ANAVALIA MAVAZI YA KIKATOLIKI WAKATI WA KUSALI : SWALI ANAYEVAA VAZI LA KIKATOLIKI ANAITWA MKATOLIKI AMA MWISLAMU?J

Ilisimuliwa Na 'Ubadah bin Samit alisema:

“Mtume Muhammad s.a.w (tulimuona) akitoka kwetu siku moja, akiwa amevaa vazi la Kirumi [kikatoliki] la sufu na mikono nyembamba. Na Alituongoza katika maombi akiwa amevaa hilo, na si kitu kingine chochote. ”

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ عُثْمَانَ بْنِ كَرَامَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، حَدَّثَنَا الأَحْوَصُ بْنُ حَكِيمٍ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ عُبَادَةَ بْنِ الصَّامِتِ، قَالَ خَرَجَ عَلَيْنَا رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ذَاتَ يَوْمٍ وَعَلَيْهِ جُبَّةٌ رُومِيَّةٌ مِنْ صُوفٍ ضَيِّقَةُ الْكُمَّيْنِ فَصَلَّى بِنَا فِيهَا لَيْسَ عَلَيْهِ شَىْءٌ غَيْرُهَا ‏.‏

Sunnah kitabu cha 32 Juzuu ya 4, Hadithi 35

MUHAMMAD ALIRUDI KWA BABA YAKE WA IMANI PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI KUENZI MAVAZI YA KATOLIKI AMBAYE ALIMWAMBIA JIBASHIRIE MWENYEWE KUWA WEWE NI MTUME WA UMMA HUU wakishirikiana na Mke Muhammad aitwaye Bibi Khadija

Huyu PADRI WARAQA BIN NAUFU NI MKRISTO KUTOKA ROMANI KATOLIKI USHAHIDI HUU CHINI SIKU WANAMPA UTUME MUHAMMAD MWENYEZI MUNGU ALIKUWA SHAHIDI TU KATIKA TUKIO HILO


Qur'an 4:79. Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

Qur'an 13:43. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.

Qur'an 36:3. Hakika wewe ni miongoni mwa walio tumwa.

HIZO JUU NDIYO KAULI ZA MKEWE MUHAMMAD AITWAYE KHADIJA NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI

USHAHIDI WA HADITHI HUU HAPA MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKRISITO MKATOLIKI NA MKEWE KHADIJA NA BIBI KHADIJA NDIYE MWANADAMU WA KWANZA ULIMWENGUNI KUSILIMU KUWA MWISLAMU KISHA AKAFUATA ALI BIN TALIB

Amesimuliw na Aisha:

(mke wa Mtume) Kuanza (kwa Uvuvio wa Kimungu) kwa Mtume wa Allah kulikuwa katika hali ya ndoto za kweli katika usingizi wake, kwani hakuwahi kuwa na ndoto lakini ikawa kweli na wazi kama mwangaza wa mchana. Halafu akaanza kupenda kujitenga, kwa hivyo alikuwa akijitenga kwenye pango la Hira ambapo alikuwa akimwabudu Mwenyezi Mungu mfululizo kwa usiku mwingi kabla ya kurudi kwa familia yake kuchukua chakula cha lazima kwa ajili ya kukaa.

Alirudi kwa (mkewe) Khadija tena kuchukua chakula chake (vile vile chakula) vivyo hivyo, mpaka siku moja alipokea Mwongozo wakati alikuwa katika pango la Hira. Mtu Mmoja alimjia na kumwambia asome. Mtume alijibu, "Sijui kusoma." Mtume akaongeza, "Kisha Mtu Yule alinishika (kwa nguvu) na akanibana sana hadi nikahisi shida. Kisha akaniachia na akaniuliza tena nisome, nami nikajibu," Sijui kusoma.
" Hapo alinishika tena na kunibonyeza kwa mara ya pili mpaka nikahisi kuzimia. Kisha akaniachia na kuniuliza nisome, lakini tena nikamjibu.'Sijui kusoma.' Hapo alinishika kwa mara ya tatu na kunibana mpaka nikafadhaika, kisha akaniachia na kusema, 'Soma, kwa Jina la Bwana wako Ambaye ameumba (vyote vilivyopo), . Amemuumba binaadamu kwa tone la damu Na Mola wako ni Mkarimu zaidi. Ambaye amefundisha maandishi kwa kalamu, na amemfundisha mwanadamu yale asiyokuwa akiyajua. (Qur'an 96.1-5).
Kisha Mtume akarudi na hali hiyo na misuli kati ya shingo yake na mabega ilikuwa ikitetemeka mpaka alipomjia Khadija (mkewe) na kusema, "Nifunike " Alimfunika, na hali ya hofu ilipoisha, akamwambia Khadija, "Ewe Khadija! Kuna shida gani kwangu Mimi Muhammad ? Niliogopa kwamba kitu kibaya kimenipata na Najihofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga! ."
Kisha akamwambia hadithi hiyo ilivyotokea pangoni. Khadija alisema, "Hapana! Bali pokea habari njema! Wallahi,Mimi Naona Umekwisha kuwa Mtume Wa Mwenyezi Mungu hatakufedhehesha kamwe, kwani kwa Mwenyezi Mungu unaweka uhusiano mzuri na jamaa na jamaa yako, unasema ukweli, unasaidia masikini na wanyonge, uwakaribishe wageni wako sana na uwasaidie wale waliopatwa na misiba. " Khadija kisha akampeleka kwa Waraqa bin Naufil, mtoto wa mjomba wa baba yake Khadija.


Huyu Padri Waraqa bin Naufal alikuwa amebadilisha Dini na kuingia katika Dini ya Kikristo kwa Muda Mrefu Sana katika Kipindi hicho cha Kabla ya Kuja Dini Mpya ya Uislamu na alikuwa akiandika Kiarabu na Alikuwa anaandika injili kwa Kiarabu vile vile Mwenyezi Mungu aliyotaka ayaandike. Alikuwa mzee na alikuwa amepoteza macho yake.


Khadija alisema (kwa Waraqa), "Ewe binamu yangu! Sikiliza nini mpwa wako Nini anataka kusema." Waraqa akasema, "Ewe mpwa wangu! Umeona nini?" Kisha Mtume akaelezea kila kitu alichokiona.

Waraqa alisema, "Huyu ndiye Malaika (Jibrili) yule aliyetumwa kwa Musa. Basi jibashirie Mwenyewe (Muhammad) Wewe Ni Mtume wa Umma huu.Laiti ningekuwa mchanga." Aliongeza taarifa nyingine. Mtume wa Mwenyezi Mungu aliuliza, "Je! Watu hawa watanifukuza?" Waraqa alisema, "Ndio, kwani hakuna mtu aliyeleta mfano kama huu ulioleta, lakini alitendewa kwa uadui. Ikiwa ningeendelea kuwa hai hadi siku yako unapoanza kuhubiri hii Dini yako Mpya ya Uislamu Basi ningekuunga mkono sana mpwa wangu.

" Lakini muda mfupi baadaye Padri Waraqa bin Naufal alikufa Ndipo Bibi Khadija Mke wa Mtume akawa ndiye Mtu wa Kwanza Ulimwenguni Kusilimu na hakutanguliwa na Mtu yeyote kisha Akafuata Ali bin Talib huyu alisilimu akiwa na Miaka kumi na Uvuvio wa Wahyi ulikatika(ulimamima) kwa muda baada ya Padri waraqa bin Naufal na Mtume wa Allah alihuzunika sana kwa Kufa Huyu padrie waraqa bin Naufal.

رواه عائشة: (زوجة الرسول) كانت بداية رسول الله صلى الله عليه وسلم أحلامًا حقيقية في نومه ، فلم يحلم قط بل صار حقيقيًا وواضحًا كالنهار. ثم بدأ في حب العزلة ، فكان ينعزل عن غار حراء حيث كان يعبد الله باستمرار لعدة ليال قبل أن يعود إلى أهله ليأخذ ما يلزمهم من طعام للإقامة. عاد إلى (زوجته) خديجة مرة أخرى ليأخذ طعامه (وكذلك طعامه) بنفس الطريقة ، حتى استلم ذات يوم المرشد وهو في غار حراء. جاءه شخص ما وقال له أن يقرأ. فأجاب الرسول: لا أعرف القراءة. وأضاف الرسول: ثم أمسكني الرجل (بعنف) وشدني حتى شعرت بالمتاعب ، ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة مرة أخرى ، فقلت: لا أعرف كيف أقرأ. "ثم أمسك بي مرة أخرى وضغط علي مرة ثانية حتى شعرت بالإغماء. ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة ، لكني أجبت مرة أخرى." لا أعرف كيف أقرأ ". هناك أمسك بي مرة ثالثة وأمسك بي حتى انزعجت ، ثم أطلقني وقال: اقرأ باسم ربك الذي خلق (كل ما هو) ، خلق الإنسان بقطعة قماش. اقرأ! والرب أكرم وقد علم الإنسان ما لم يعرفه (القرآن 96.1-5).
ثم عاد الرسول بالحالة واهتزت العضلات بين رقبته وكتفيه حتى جاء إلى خديجة (زوجته) وقال: غطني غطائها ، وعندما انتهت حالة الخوف ، قالت لخديجة. "يا خديجة! ما خطبتي يا محمد؟" كنت أخشى أن يحدث لي شيء سيء وكنت أخشى أن تتأخر روحي بسبب الشياطين وتدمر عقلي وتنام! ثم أخبرته قصة ما حدث في الكهف .. فقالت خديجة: لا! ولكن تلقي البشارة! والله أظنك صرت رسولا ولن يعلمك الله في الحال فالله يقيم علاقات طيبة مع أقاربك فتقول الحق وتساعد الفقراء والضعفاء وأنت مضياف جدا وتساعد الذين عانوا. المآسي. ثم أخذته خديجة إلى ورقة بن نوفيل ، ابن عم والد خديجة. كان هذا القس ورقة بن نوفل قد اعتنق المسيحية لفترة طويلة جدًا في عصر ما قبل الإسلام وكان يكتب باللغة العربية وكان يكتب الإنجيل باللغة العربية كما أراده الله أن يكتبها. كان قد تقدم في السن وفقد بصره. قالت خديجة (لورقة): "يا ابن عمي! اسمع ما يقول ابن أخيك ما يقول". قال ورقة: يا ابن أخي ما رأيت؟ ثم وصف النبي كل ما رآه.
قال ورقة: هذا هو الملاك (جبريل) الذي أرسل إلى موسى ، فتنبأ على نفسك (محمد). أنت رسول هذه الأمة ، لاني كنت طفلاً صغيراً. وأضاف بيانا آخر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل يبعدني هؤلاء؟ قال ورقة: "نعم ، لأن أحداً لم يضرب مثالاً كهذا ، لكنه تصرف بعدائية. لو بقيت على قيد الحياة حتى يومك تبدأ في الدعوة إلى هذا الدين الجديد للإسلام ، فسأكون داعماً جداً لابن أخي". لكن خديجة زوجة الرسول صارت أول إنسان في العالم يعتنق الإسلام ولم يسبقه أحد.

Sahih al-Bukhari 4953 Juzuu Ya 6,kitabu Cha 60, Hadith 478
Tatizo lako wewe lipo wapi?
Simamia kimoja ueleweshwe ukisha kuelewa uende jengine.
Usiwe una ruka ruka tu.
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
Ulaya ni Geographical location, na Kibra je? Ni wapi hapo wanapoitwa Kibra?
 
Azarel

WANACHONISHANGAZA HAWAJUI KUWA QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.

QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote


INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.

SHETANI AMESEMA ATAWAPOTEZA WAISLAMU WOTE.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI?

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Umeandika tafsiri potofu,uliyopewa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,wewe mvaa kamba ya mbuzi shingoni,kwa jina la tai:
Tafsiri sahihi:
Qur'an 2:97
'Sema "Anayemfanyia ushinde Jibril",hakika yeye ameiteremsha Qur'an moyoni mwako KWA IDHINI YA MWENYEZI MUNGU,:inayosadikisha yale yaliokuwa kabla yake ,na ni uongozi na habari njema kwa WANAOAMINI'.
Katika aya nzima ya kiarabu hakuna neno shetani,ndio maana Qur'an imebaki katika lugha yake ya asili ya kiarabu,tena ni standard Arabic,kiarabu cha kisomi.
 
Umeandika tafsiri potofu,uliyopewa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,wewe mvaa kamba ya mbuzi shingoni,kwa jina la tai:
Tafsiri sahihi:
Qur'an 2:97
'Sema "Anayemfanyia ushinde Jibril",hakika yeye ameiteremsha Qur'an moyoni mwako KWA IDHINI YA MWENYEZI MUNGU,:inayosadikisha yale yaliokuwa kabla yake ,na ni uongozi na habari njema kwa WANAOAMINI'.
Katika aya nzima ya kiarabu hakuna neno shetani,ndio maana Qur'an imebaki katika lugha yake ya asili ya kiarabu,tena ni standard Arabic,kiarabu cha kisomi.


Screenshot_20230507-102218.jpg
 
Umeandika tafsiri potofu,uliyopewa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,wewe mvaa kamba ya mbuzi shingoni,kwa jina la tai:
Tafsiri sahihi:
Qur'an 2:97
'Sema "Anayemfanyia ushinde Jibril",hakika yeye ameiteremsha Qur'an moyoni mwako KWA IDHINI YA MWENYEZI MUNGU,:inayosadikisha yale yaliokuwa kabla yake ,na ni uongozi na habari njema kwa WANAOAMINI'.
Katika aya nzima ya kiarabu hakuna neno shetani,ndio maana Qur'an imebaki katika lugha yake ya asili ya kiarabu,tena ni standard Arabic,kiarabu cha kisomi.


Nimeiscreen sho Quran NILIYO nayo.

Ahmad juzuu ya 1 ukurasa 416.

Hakika muumini wa KWELI hawi mwenye kutuhumi watu , Wala kuwalaani watu, Wala hawi na maneno MACHAFU.

Nimesoma hiyo DINI na kuifanyia UTAFITI kwa Miaka...

Usione labda tunajifrahisha.....
 
Unaandika UKWELI MTUPU na kuquote maandiko

Hongera sana Mkuu
Angalia hicho unachoshabikia.

QUR-AN. 72:1
1. Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!

2. Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi.

3. Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu Mlezi umetukuka kabisa; hana mke wala mwana.

4. Na kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi Mungu.

5. Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu.

Kundi moja la Majini, Waliisikia Quran, wakaiamini.
Ukisikia neno kundi moja jua kuna makundi zaidi ya moja.
Qur-an ni maneno ya Mungu sio ya nabii Muhammad S.A.W. kama anavyopotosha huyo kafiri unaempongeza.
Ibilisi alikataa kumsujudia Adam alipopewa amri hiyo na Mungu, hapa ndio Nabii Muhammad anasimuliwa na malaika Gabriel/Jibril kwa amri ya Mungu manbo yalikuaje.
huyo kafiri wako anabadili na kua ni Muhammad.


QUR-AN. 15
35. Na hakika juu yako ipo laana mpaka Siku ya Malipo.

36. Akasema (Iblisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watapo fufuliwa.

37. (Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula

38. Mpaka siku ya wakati maalumu.

39. Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,

40. Ila waja wako walio safika.

41. Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.

42. Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.

Ukisikia neno wapotofu ni atu walio potea ktk njia ya Mungu kama huyo kafiri anaebadili maneno ya Mungu kisha wewe unampongeza.
ila kwakua bado yupo hai ana nafasi ya kumrudia mungu wake.
 
WANACHONISHANGAZA HAWAJUI KUWA QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.

QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote


INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.
 
Umeandika tafsiri potofu,uliyopewa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,wewe mvaa kamba ya mbuzi shingoni,kwa jina la tai:
Tafsiri sahihi:
Qur'an 2:97
'Sema "Anayemfanyia ushinde Jibril",hakika yeye ameiteremsha Qur'an moyoni mwako KWA IDHINI YA MWENYEZI MUNGU,:inayosadikisha yale yaliokuwa kabla yake ,na ni uongozi na habari njema kwa WANAOAMINI'.
Katika aya nzima ya kiarabu hakuna neno shetani,ndio maana Qur'an imebaki katika lugha yake ya asili ya kiarabu,tena ni standard Arabic,kiarabu cha kisomi.
Huyu jamaa sio kwamba anapewa tafsiri kijiweni, hapana, huyu ni wa seminari aliepotoshwa, na sasa anapotosha wengine.
Na hata ukimuuliza swali kutoka ktk bibilia yake, hawezi kujibu maana yeye mwenyewe hana dini, ukimpa swali atarukia mambo mengine, hana uwezo wa kujibu hoja ya Muislamu/Mnyenyekevu.
 
Huyu jamaa sio kwamba anapewa tafsiri kijiweni, hapana, huyu ni wa seminari aliepotoshwa, na sasa anapotosha wengine.
Na hata ukimuuliza swali kutoka ktk bibilia yake, hawezi kujibu maana yeye mwenyewe hana dini, ukimpa swali atarukia mambo mengine, hana uwezo wa kujibu hoja ya Muislamu/Mnyenyekevu.


Screenshot_20230507-102218.jpg
 
WANACHONISHANGAZA HAWAJUI KUWA QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.

QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote


INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.
Anaemfuata Yesu ni yule anaeabudu na kumsujudia Mungu kama mafundisho ya Yesu alivyosema.
Wewe unasujudu?

4:10. MATHAYO.
10 Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.

Yesu alipindua viti na meza ktk nyumba ya ibada ili watu wasujudu.
 
Hakuna tafsiri hiyo uliyopewa katika vijiwe vya pombe za kienyeji.Qur'an inaangaliwa kwenye lugha ya kiarabu,ndio Qur'an,hiyo uliyoandika ni tafsiri ya Qur'an sio Qur'an,tafsiri ni tofauti na Qur'an yenyewe.Mwenyezi Mungu alishajua mapema kuwa mtakuja wapotoshaji,kwa hiyo akaweka ulinzi wa kuwa,tafsiri ya Qur'an SIO Qur'an,itabaki kuwa ni tafsiri.Na Qur'an ni Ile ya lugha ya kiarabu.
Ukianza kusoma Qur'an,:Qur'an unasoma kwa kumlani shetani,ni nani atakaye andika kitabu,halafu ajilani.
Ndani ya Qur'an kuna aya nyingi za kumlani shetani,na kuitwa ni adui wa binadamu,vipi shetani atunge kitabu halafu awaambie binadamu kuwa yeye ni adui yao:
Qur'an 23:60
"Je,sikukuusieni enyi wanadamu kuwa MSIMUABUDU SHETANI ?Hakika yeye ni adui aliye dhahiri kwenu".
Ikiwa shetani ndio ameandika Qur'an,kwa nini ajipinge mwenyewe aseme yeye ni adui wa binadamu,na asiabudiwe.
Q.23:62 "Na bila shaka aliwapoteza viumbe wengi miongoni mwenu :je hamkuwa wenye kufikiri?"
23:63 "Basi hii ndio Jahanamu mliokuwa mkiahidiwa."
23:64 "Ingieni leo kwasababu ya ukafiri wenu."
 
Back
Top Bottom