mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Usimsingizie Mungu kwa kila kitu na ndiyo maana nilisema tumia akili. Mungu alikukataza wapi kula nguruwe? Qur'an si kitabu cha Mungu, Mohammed alipewa na shetani, ulikuwa hujuwi hili?Kwa kuwa anatumia akili ndio maana akafuata kile akitakacha huyo Mungu.
Wewe ushawahi kupanda basi ya Mwanza kisha tiketi ukakata Dodoma kwa 7bu inapita hapo hapo?
[emoji2956]Sijajua kwa upande wako unaposema kusali unamaanisha nini ila, kama unamaanisha kuomba/kumuomba MUNGU na kuskia maombi yako haijalishi umeangalia wapi hata ukiangalia uvungu wa kitanda unaweza ukamuomba tu haina shida.
Ila kwa utaratibu wa KUSALI/KUSWALI ambao ameuweka MUNGU kwa DINI ya KIISLAM amesema unaposwali (SIO KUOMBA) unaposwali unatakiwa kuangalia QIBLA.
KARIBU SANA.
Huna ujualo.....ujinga mwingi umekujaa [emoji1787][emoji1787]Hapo si ndipo Kuna Lile jiwe wanaloamini ni Shetani.
KWAHIYO inamaana wanaswali kwa kumuangalia shetani??????
Wewe unataka uwawekee utaratibu wa ibada zao?!!![emoji1787]Ina maana Mungu anapatikana huko Maka tu au?
Utanyooka tu.
Kwa hiyo jana zile tafsiri na maandikonuliotoa hauna uhakika nayo?
Sema tu kama huna uhakika na ulichokisema ueleweshwe.
TITO.3:9-11Mithali 18:1-2
Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.
2 Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.
NIMEKUULIZA DINI NI NINI?.??
KUMBUΒ² LA TORATI. 14:8.Usimsingizie Mungu kwa kila kitu na ndiyo maana nilisema tumia akili. Mungu alikukataza wapi kula nguruwe? Qur'an si kitabu cha Mungu, Mohammed alipewa na shetani, ulikuwa hujuwi hili?
βπΎJibu hapo, kule ilikuwa wrong.QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI?
JIBU NI SHETANI.
SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Kama shida yako mtoa mada, basi majibu ni haya hapa:-
Kwa mujibu wa Uislamu, msikiti sio jengo la mtu binafsi, bali ni nyumba ya Mungu kwa ajili ya ibada. Hivyo ni lazima jengo hilo lijengwe kwa mujibu wa Mungu anavyotaka.
Lengo sio ulaya, inawezekana pia kwa bujibu wa jografia ya eneo fulani, ukajikuta huko maqa/kaskazini ndio ulaya pia, ikatofautiana uelewa tu, huyu kaelekea kaskazini kiuelewa na yule akaona kaelekea ulaya.
Kama kuna jengine sema.
Hii ndiyo ππΎ ilikuwa hoja sheikh.
βπΎJibu hapo, kule ilikuwa wrong.
Unegoma kabisa kurudi nyuma mkuu, ila hakuna tabu. Majibu ni haya...Hii ndiyo ππΎ ilikuwa hoja sheikh.
βπΎJibu hapo, kule ilikuwa wrong.
Na sisi tunakuuliza wewe Tafsiri yako ulioitoa Hauna uhakika nayo?TUNAWAULIZA WAISLAMU.
DINI NI NINI???
DINI NI KITU GANI??????
Mjadara wa Quran we unaleta Bibilia, mbona upuuzi huo.Unegoma kabisa kurudi nyuma mkuu, ila hakuna tabu. Majibu ni haya...
Kama hakuna hilo andiko lisemalo UKRITO NI DINI SI USEME TU KUWA HAKUNA, unarukaruka nini wewe kafiri.
2:97 usioielewa nakuelewesha na hapo soma vizuri, maadui wa Jibril wametajwa hapo, ukiwemo na wewe.
Maadui wa jibril ni wale wote wenye uadui dhidi ya nabii Muhammad kwa kupewa Utume, kwa kuwa Jibril ndie alietumwa na Mungu, ukimchikia nabii Muhammad ndio unakua adui wa Jibril alietumwa, Mikaili, Malaika wote na adui wa Mungu pia kwa kuwa yeye ndie aliemtuma huyo Jibri. Andiko hilo halitaji hata neno kristo.
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI?
JIBU NI SHETANI.
Mkuu soma uelewe.Mjadara wa Quran we unaleta Bibilia, mbona upuuzi huo.
Jibu hiyo ππΎ.
2:97. IkoMjadara wa Quran we unaleta Bibilia, mbona upuuzi huo.
Jibu hiyo ππΎ.
Hii posti yako nilishaijibu mara zaidi ya moja. Wewe huwezi kujibu hoja. Ukijibiwa basi sema pale ambapo hujaelewa ili ueleweshwe.WANACHONISHANGAZA HAWAJUI KUWA QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.
QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote
INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.
Usikwepe swali. Nilichokuuliza mimi ni hiki.Kweli tu
NAOMBA UNISAIDIE MAANA YA DINI MKUU.
INAWEZEKANA MIMI NI MJINGA SANA KUMPOKEA IMANI YA UKRISTO MOYONI MWANGU NA SIO DINI?.
NAOMBA UNIELEWESHE.
1. DINI NI NINI.??
2. DINI NI NINI NI KITU GANI????
3. DINI INAKUSAIDIA NINI??????
Naomba MSAADA wako ujinga upate kuniondoka.
INAWEZEKANA tunatofautiana sehemu ndogo sana.
NB. Mimi naamini IMANI YA KIKRISTO. UKRISTO.
usichanganye kati ya Imani na DINI.
Usikwepe swali. Nilichokuuliza mimi ni hiki.
Tafsiri ulioitowa wewe mwenyewe kuhusu dini, ukatoa na maandiko na kujinadi kuwa huna dini, Hauna uhakika nayo?
Nikuulizapo na ukinijibu, ndio napata wepesi wa kukuelewesha kile usicho kielewa.