Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

JAMANI HIVI VITU KUVISOMA NA KUVIELEWA INATAKIWA MTU UWE TIMAMU KIDOGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.


Mkuu hebu tuliza akili kidogo halafu ondoa hiyo roho ya upotoshaji then soma vizuri hiyo aya na uyaelewe maneno niliyo bold hapo. Kama utakua bado hujaelewa nipo hapa kukufafanulia.
Assalaam alaykum.

ANGALIA HAPA JINSI QURAN INAVYOMSHUHUDIA MUNGU KUWA HAKUMTUMA MTUME ILA ALIKUWA SHAHIDI .

.QURAN 4:79 - Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

1. JE HAO WALIOMTUMA MWAMEDI NI AKINA NANI....????

2. JE MUNGU ANAWEZAJE KUWA UPANDE WA SHAHIDI WAKATI YEYE NDIYE AMEMTUMA??????

3. SHAHIDI ANAKUWA NI THIRD PARTY AU FIRST???


TUNAWAAMBIA HAYA ILI MUIJUE KWELI.
 
ANGALIA HAPA JINSI QURAN INAVYOMSHUHUDIA MUNGU KUWA HAKUMTUMA MTUME ILA ALIKUWA SHAHIDI .

.QURAN 4:79 - Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

1. JE HAO WALIOMTUMA MWAMEDI NI AKINA NANI....????

2. JE MUNGU ANAWEZAJE KUWA UPANDE WA SHAHIDI WAKATI YEYE NDIYE AMEMTUMA??????

3. SHAHIDI ANAKUWA NI THIRD PARTY AU FIRST???


TUNAWAAMBIA HAYA ILI MUIJUE KWELI.
Kuna sehemu nimekuambia ukagoogle maana ya majestic we naona unaendekeza uvivu
naomba hii tafsiri kutoka wikipedia angalau ikifungue akili kidogo
The royal we, majestic plural (pluralis majestatis), or royal plural, is the use of a plural pronoun (or corresponding plural-inflected verb forms) used by a single person who is a monarch or holds a high office to refer to themselves. A more general term for the use of a we, us, or our to refer to oneself is nosism.
 
Hii naweka Aya ya mwisho.


JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
 
Hii naweka Aya ya mwisho.


JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
Surah Al-Hijri 15:39
[Iblees] said, “My Lord, because You have put me in error, I will surely make [disobedience] attractive to them on earth, and I will mislead them all

Again soma hapo vizuri kama bado huelewi basi ndugu yangu una tatizo mahali.
 
Kuna sehemu nimekuambia ukagoogle maana ya majestic we naona unaendekeza uvivu
naomba hii tafsiri kutoka wikipedia angalau ikifungue akili kidogo
The royal we, majestic plural (pluralis majestatis), or royal plural, is the use of a plural pronoun (or corresponding plural-inflected verb forms) used by a single person who is a monarch or holds a high office to refer to themselves. A more general term for the use of a we, us, or our to refer to oneself is nosism.
Kuna sehemu nimekuambia ukagoogle maana ya majestic we naona unaendekeza uvivu
naomba hii tafsiri kutoka wikipedia angalau ikifungue akili kidogo
The royal we, majestic plural (pluralis majestatis), or royal plural, is the use of a plural pronoun (or corresponding plural-inflected verb forms) used by a single person who is a monarch or holds a high office to refer to themselves. A more general term for the use of a we, us, or our to refer to oneself is nosism.
Kuna sehemu nimekuambia ukagoogle maana ya majestic we naona unaendekeza uvivu
naomba hii tafsiri kutoka wikipedia angalau ikifungue akili kidogo
The royal we, majestic plural (pluralis majestatis), or royal plural, is the use of a plural pronoun (or corresponding plural-inflected verb forms) used by a single person who is a monarch or holds a high office to refer to themselves. A more general term for the use of a we, us, or our to refer to oneself is nosism.

Asante kwa majibu lakini sijaridhika kabisa.

1. Yani nisome Quran alafu nika gogle Tena.

2. KWAHIYO Quran HAIWEZI kujitetea yenyewe Hadi tuanze ku gogle???????

3. Vipi nafasi ya ISHAHIDI??
KWAHIYO MTU ANAWEZA akajishuhidia mwenyewe kwa kesi tu ya kawaida mahakamani???

ISHAHIDI haipo hivyo.

Msizidi kuudhalilisha UISLAMU kama HAMJUI kaeni kimya.

ACHA QURAN IJITETEE YENYEWE.
 
375
WAISLAMU WENGI NDIO MAANA MNAONEKANA WA HOVYO KWA SABABU YA UJINGA NA KUTOKUSOMA.

MASWALI HAYA YAMEULIZWA HAKUNA HATA MMOJA ALIYE JIBU KWA UFASAHA.

HAKUNA MUISLAMU ANAYE JIWEZA AKATUSAIDIA??????

1. Nani Alikuwa muislamu wa KWANZA KUSLIMkimya???

2. Wapi Mohamed ALIPO slimu kimya KWA AYA??..

3. Quran Imeandikwa na shetani kwa mujibu wa Aya 2:96 mnaeshindwa kujibu

4.Kwanini SHETANI anasema atawazaa na kuwafyekelea KUZIMU kimya.....

5. DINI ni Nini kimya.

6. JE waliompa MTUME UTUME ni akina nani kwa mujibu wa Quran 4.79.

7. JE VITABU alivyotuamlisha MTUME tuvisome vipo WAPI??????
Injili, ZABURI na Torati

8 watu wa VITABU ni WA kina nani??????.

9.kibra IPO wapi????
Inasaidia nini???
Na mtu aliyepo huko msikiti unageukia wapi?????
MUNGU anaabudiwa kwa Kibra au kwa Ukuu wake????

10. HIZO DINI zilizotangulia za watu wa VITABU zilifia wapi????????
Nani aliyeharibu VITABU....
JE mna original ya VITABU Ili Feki tukione kimya.........


MSITETEE SANA KWA USHABIKI JIBU SWALI UKIELEWEKA UTAKUWA MSAADA KWA WENGINE.

KAMA MNARUKARUKA UISLAMU WENU UNAKUWA NI WA BURE.......
 
Asante kwa majibu lakini sijaridhika kabisa.

1. Yani nisome Quran alafu nika gogle Tena.

2. KWAHIYO Quran HAIWEZI kujitetea yenyewe Hadi tuanze ku gogle???????

3. Vipi nafasi ya ISHAHIDI??
KWAHIYO MTU ANAWEZA akajishuhidia mwenyewe kwa kesi tu ya kawaida mahakamani???

ISHAHIDI haipo hivyo.

Msizidi kuudhalilisha UISLAMU kama HAMJUI kaeni kimya.

ACHA QURAN IJITETEE YENYEWE.
Aisee ndugu yangu unalo tatizo kubwa sana. Kama unashindwa kuacha akili yako iwe huru kutafakari mambo basi huna tofauti na mnyama.
 
Surah Al-Hijri 15:39
[Iblees] said, “My Lord, because You have put me in error, I will surely make [disobedience] attractive to them on earth, and I will mislead them all

Again soma hapo vizuri kama bado huelewi basi ndugu yangu una tatizo mahali.

JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


1. HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????

2.Lugha ni tofauti lakini maana ni Ile Ile.
Sasa ukinipa nisome tlanslation ya kingeeeza kwa kiswahili ni UTOTO.

3. Usichanganye kati ya Tlanslation na interpretation.


HUWAAMIMI WANAOSEMA WALITAFSIRI LUGHA??????

MAANA WAMETAFSIRI LUGHA NA SI INTERPETATION.

MAANA NI ILE ILE

FICHA UJINGA
 
HAKIKA HAYA HIZI ZINATUAMBIA KUWA TUTAUONA MOTO.

102:1 - Kumekushughulisheni kutafuta wingi,
102:2 - Mpaka mje makaburini!
102:3
- Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
102:4 - Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
102:5 - Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
102:6 - Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
102:7 - Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.
102:8 - Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema
 
WAISLAMU WENGI NDIO MAANA MNAONEKANA WA HOVYO KWA SABABU YA UJINGA NA KUTOKUSOMA.

MASWALI HAYA YAMEULIZWA HAKUNA HATA MMOJA ALIYE JIBU KWA UFASAHA.

HAKUNA MUISLAMU ANAYE JIWEZA AKATUSAIDIA??????

1. Nani Alikuwa muislamu wa KWANZA KUSLIMkimya???

2. Wapi Mohamed ALIPO slimu kimya KWA AYA??..

3. Quran Imeandikwa na shetani kwa mujibu wa Aya 2:96 mnaeshindwa kujibu

4.Kwanini SHETANI anasema atawazaa na kuwafyekelea KUZIMU kimya.....

5. DINI ni Nini kimya.

6. JE waliompa MTUME UTUME ni akina nani kwa mujibu wa Quran 4.79.

7. JE VITABU alivyotuamlisha MTUME tuvisome vipo WAPI??????
Injili, ZABURI na Torati

8 watu wa VITABU ni WA kina nani??????.

9.kibra IPO wapi????
Inasaidia nini???
Na mtu aliyepo huko msikiti unageukia wapi?????
MUNGU anaabudiwa kwa Kibra au kwa Ukuu wake????

10. HIZO DINI zilizotangulia za watu wa VITABU zilifia wapi????????
Nani aliyeharibu VITABU....
JE mna original ya VITABU Ili Feki tukione kimya.........


MSITETEE SANA KWA USHABIKI JIBU SWALI UKIELEWEKA UTAKUWA MSAADA KWA WENGINE.

KAMA MNARUKARUKA UISLAMU WENU UNAKUWA NI WA BURE.......
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Screenshot_20230507-102218.jpg



MIMI NIMEMALIZA MWENYE KUSIKIA NA ASIKIE
 
375
WAISLAMU WENGI NDIO MAANA MNAONEKANA WA HOVYO KWA SABABU YA UJINGA NA KUTOKUSOMA.

MASWALI HAYA YAMEULIZWA HAKUNA HATA MMOJA ALIYE JIBU KWA UFASAHA.

HAKUNA MUISLAMU ANAYE JIWEZA AKATUSAIDIA??????

1. Nani Alikuwa muislamu wa KWANZA KUSLIMkimya???

2. Wapi Mohamed ALIPO slimu kimya KWA AYA??..

3. Quran Imeandikwa na shetani kwa mujibu wa Aya 2:96 mnaeshindwa kujibu

4.Kwanini SHETANI anasema atawazaa na kuwafyekelea KUZIMU kimya.....

5. DINI ni Nini kimya.

6. JE waliompa MTUME UTUME ni akina nani kwa mujibu wa Quran 4.79.

7. JE VITABU alivyotuamlisha MTUME tuvisome vipo WAPI??????
Injili, ZABURI na Torati

8 watu wa VITABU ni WA kina nani??????.

9.kibra IPO wapi????
Inasaidia nini???
Na mtu aliyepo huko msikiti unageukia wapi?????
MUNGU anaabudiwa kwa Kibra au kwa Ukuu wake????

10. HIZO DINI zilizotangulia za watu wa VITABU zilifia wapi????????
Nani aliyeharibu VITABU....
JE mna original ya VITABU Ili Feki tukione kimya.........


MSITETEE SANA KWA USHABIKI JIBU SWALI UKIELEWEKA UTAKUWA MSAADA KWA WENGINE.

KAMA MNARUKARUKA UISLAMU WENU UNAKUWA NI WA BURE.......
Wewe tatizo lako ni mnafiki, hakuma swali hata moja ambalo uliuliza na likakosa majibu, na kila ukijibiwa unaambiwa ambacho hujakielewa sema wapi hujaelewa, husemi badala yake unarukia kitu kingine, na wewe ukatoa aya za ktk Qur-ani na kuzibadilisha kwa Ukafiri na unafiko wako.
Sasahivi unasema hujajibiwa kwa ufasaha. KWA KUA WEWE HUNA DINI, CHUKI ZA NINI KWA WAISLAMU WENYE DINI YAO?
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.View attachment 2614436


MIMI NIMEMALIZA MWENYE KUSIKIA NA ASIKIE
Ukiuliza swali kwa wenye dini Yetu, lazima tutakujibu, kwa mujibu wa dini yetu isio na shaka.
Ila ukiuliza na kijijibu wewe mwenyewe kwa ukafiri wako. Sisi wanyenyekevu wala hatuna shida.
 
Hii naweka Aya ya mwisho.


JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
Ibilisi
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.View attachment 2614436


MIMI NIMEMALIZA MWENYE KUSIKIA NA ASIKIE
Umetafuta wee Cha kupingia uislam umekosa,umeng'ang'ana na hizo Aya na tafsiri zako,hukuanza wewe na Wala hutokua wa mwisho,Ila mabwana zako ulaya wanazidi kusilimu kila uchao
 
Asante kwa majibu lakini sijaridhika kabisa.

1. Yani nisome Quran alafu nika gogle Tena.

2. KWAHIYO Quran HAIWEZI kujitetea yenyewe Hadi tuanze ku gogle???????

3. Vipi nafasi ya ISHAHIDI??
KWAHIYO MTU ANAWEZA akajishuhidia mwenyewe kwa kesi tu ya kawaida mahakamani???
Ndio mtu anaweza kujishuhidia mwenyewe na hukumu ikatolewa mahakamani.
Kwa upande wa kesi huhitaji watu watatu, kutegemeana na kesi. Eg wizi
Wa kwanza Mlalamikaji.
Wa pili ni Mtuhumiwa.
Wa tatu ni Shahidi.
Endapo huyo wa pili, akikubali kosa na kukiri kuwa amefanya kosa la wizi, hapo inakua amejishuhudia kosa lake mwenyewe, na mahakama itatoa hukumu bila ya huyo wa tatu kuhusika kutoa ushuhuda wa kosa lililo fanyika.
ISHAHIDI haipo hivyo.

Msizidi kuudhalilisha UISLAMU kama HAMJUI kaeni kimya.

ACHA QURAN IJITETEE YENYEWE.
 
Nataka NIJUE maana ya DINI????

DINI ni Nini.
DINI ni kitu Gani?

Unipe maana ya Neno DINI kama dini


Katika KUNIPA maana ya DINI usiweke Neno Imani.
Dini ni muongozo ambao wafuasi wanaufuata na mtume wao
Umeelewa
 
AGANO JIPYA.

UFUNUO WA YOHANA 9.
UNABII unaonyeaha kuzuk Kwa Hao WATU kutoka uarabuni.

Ukihitaji kusoma zaidi na kuelewa ni PM.
Agano jipya limelekebishwa Sana baadhi ya sehem linapotosha waumini wke na kuwachanganya
 
Back
Top Bottom