Kweli tu
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 397
- 448
Ungelikua unasoma coment za nyuma, usinge uliza huli swali, maana lilishatolewa majibu zaidi ya × 2.Kama misikiti inatakiwa ielekee kibla ambayo ni Maka , sasa misikiti iliyoko hapo Maka yenyewe inaelekea wapi?!
Tofautisha kati ya KIBLA na ALKAABA.