Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

SASA mnapoleta hoja kwamba YESU alikua ni muislamu kisa alikua anaingia kwenye masinagogi, ambayo ni misikiti ya wayahudi, wakati masinagogi Qibla huelekea Jerusalem na Siyo Mecca?
 

Hulaumiki

 
ninachojua dunia ni duara sio flat kwahiyo upande wowote utakapoeleka utakua unaangalia huko makka
Sio sahihi ulichoandika fikiria tena utagundua umekosea. Hata kama dunia duara huwezi sema kila upande utaolekea basi itakua unaangalia Mecca.
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
...Ulaya Kuna Upande Maalumu ? Mimi najua Kuna Kusini, Kaskazini, Mshariki, Magharibi, baasi ! Ulaya ni Upande Gani ??
 
Sasa mbona umeuliza swali kajibu vingine? Umeuliza swala zinakuwa hazisikiki au kupokelewa yeye katoa maelezo, embu nieleweshe mimi
Amejibiwa sahihi ameuliza qibla ni sehemu gani akajibiwa.

Nikijibu swali lako kwa lugha nyepesi. Kwanza inabidi ujue kutofautisha kati ya (du'a na swala). Haya yote ni maombi.

Du'a ni maombi yanayofanywa na mwanadamu kumuomba Mungu yanafanywa muda wowote na mahali popote pale, kwa kutumia lugha yoyote ile bila masharti yoyote na inapokelewa Mwenyezi Mungu.

Swalat ni ibada ambayo inafanywa na binadamu kwa kufuata utaratibu maalumu uliowekwa na Mwenyezi Mungu na ina nguzo zake. Ikitokea maelekezo na nguzo hayafuatwa wakati swala inatekelezwa basi swala hiyo inakua ni batili.
 
Sawa sawa mkuu nilijua labda usipoelekea qibra maombi ayapokelewi kumbe ni kanuni tu ambazo zipo, hapo meelewa
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
Mkuu uwe unatumia akili na logic wakati mwingine....sasa Watanzania wa bara wajue Kibla iko wapi inawasaidia nini maishani? Kwani ukisali hivi hivi Mungu akusikii mpaka msikiti uwe unaangalia Kibla? Hivi vitu vingine mnavyokariri ni ujinga mtupu tu. Rudini shule jamani muondoe ujinga.
 
Umewaponda Bara,lakini kosa hilo hilo umesema Pwani ni nadra kutokea,hivyo nako hutokea jambo hilo.

Msingi haswa wa tatizo lako naona ni Ubara vs Upwani na sio uislam.
Unajua waislamu wa Zanzibar hasa wapemba wanawaona waislamu wa bara kama sio waislamu Safi flan hiv.
 

USIPOTOSHE MAANDIKO.
MINGU AKUKEMEE.

3 Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
Mathayo 19:3

4 Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
Mathayo 19:4

5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
Mathayo 19:5

6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
Mathayo 19:6

7 Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
Mathayo 19:7

8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
Mathayo 19:8

9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Mathayo 19:9

10 Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
Mathayo 19:10

11 Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
Mathayo 19:11

12 Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.
Mathayo 19:12
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
"Kibra" na si "kibla" mjuaji!
 
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

TUNAWAOKOA WITO WA UKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTE.
UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
 


HIVI HUJUI MAMBO YA USHOGA YALIANZISHWA NA ... MWAMEDI?????.

NENDA ZANZIBAR, MOMBASA, LAMU NK.
HAWA WASHENZI NDIO WAASISI WA USHOGA.

SISI WA KRISTO MIAKA 3000 KABLA HAIJAJA DINI YA SHETANI NA NABII WA UONGO MWAMEDI.

MUNGU ALIIANGAMIZA SODOMA NA GOMOLA KWA MOTO. BAADA YA MAASI YAO KUWA MENGI. USHOGA.

Vijana wengi wenye majina ya.

Othman Anti Asu.
Juma Loko.....
Rashid.... Nk

Hawa vijana WA uswahilimi ndio mashoga
 
JINSI WALIVUOKUWA WA AJABU
HAWA WATU WANAENDA KWA SHETANI KUMUOMBA ALLA WAO. SHETANI ALAFU WANADANGANYWA ALLA NI MUNGU.

UNAMUABUDUJE MUNGU HAPA KWA SHETANI?????

HAPA MNAMUABIDU MUNGU AMA SHETANI????????


 
WALA SISHANGAI HAYA NDIO MAFUNDISHO YA CHUKI WANAYOFUNNDISHWA KANISANI
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
ukute wewe una tatizo la ujuaji yaan unahisi waislam wote wa hapo ni wajinga kasoro wewe tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…