Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Pamoja na kwamba mimi sio Islamic, lakini niliwahi kujifunza kwamba.... Ikiwa upo Afrika Mashariki, kawaida Qiblah ni kaskazini. Hivyo mkono wako wa kuume ukielekea kunapochomoza jua na mkono wa kushoto kunapotua jua basi uso wako utakuwa umeelekea Makkah.
vp kwa wakazi wa mashariki ya mbali na kaskazin mwa dunia , hii nadharia ipo valid?
 
Sijajua kwa upande wako unaposema kusali unamaanisha nini ila, kama unamaanisha kuomba/kumuomba MUNGU na kuskia maombi yako haijalishi umeangalia wapi hata ukiangalia uvungu wa kitanda unaweza ukamuomba tu haina shida.

Ila kwa utaratibu wa KUSALI/KUSWALI ambao ameuweka MUNGU kwa DINI ya KIISLAM amesema unaposwali (SIO KUOMBA) unaposwali unatakiwa kuangalia QIBLA.

KARIBU SANA.
kwanini ?mungu aone qibra ndo sahihi na sio china au brazili ?
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
Sio kweli...
 
Out of topic..na umeandika pumba.

Fuata imani yako....acha wivu kwa waislamu.

Hapo unahisi imani yako ndiyo sahihi ulivyo juha.

Warabu na wazungu walituweza, wametuweza na wanaendelea kutuweza, yaani wametugeuza matahira kwa kupitia dini.
sijaona hoja ya kumpinga mbali na kumshambulia mwandishi badala ya kuishambulia hoja yake
 
AMA KWELI KICHAA SI LAZIMA AOKOTE MAKOPO.

UKISOMA Aya ya pili KINAITWA UNABII.
UNABII ni Habari ya mambo yajayo.


1 Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;
Ufunuo wa Yohana 1:1


FICHA UJINGA
USIPOTOSHE MAANDIKO.
MINGU AKUKEMEE.

3 Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
Mathayo 19:3

4 Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
Mathayo 19:4

5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
Mathayo 19:5

6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
Mathayo 19:6

7 Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
Mathayo 19:7

8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
Mathayo 19:8

9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Mathayo 19:9

10 Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
Mathayo 19:10

11 Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
Mathayo 19:11

12 Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.
Mathayo 19:12

Usipotoshe Nani alifanywa towashi kanisani kwenu? Labda wewe Ndiye wa kwanza
 
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

TUNAWAOKOA WITO WA UKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTE.
UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
Vitabu vilivyotangulia si biblia . Biblia ziko zaidi ya 10000 na zote ni tofauti
 
Kwahiyo msikiti ukielekezwa Ulaya, Mungu hasikilizi sala za waumini?
Anasikiliza. Kwani hakimu hasikilizi utetezi wa mshitakiwa wake na anamuhukumu kwenda jela?

Kwa mujibu wa Uislamu, msikiti sio jengo la mtu biafsi, bali ni nyumba ya Mungu kwa ajili ya ibada. Hivyo ni lazima jengo hilo lijengwe kwa mujibu wa Mungu anavyotaka.

Lengo sio ulaya, inawwzekana pia kwa bujibu wa jografia ya eneo fulani, ukajikuta huko maaqa/kaskazini ndio ulaya pia, ikatofautiana uelewa tu, huyu kaelekea kaskazini kiuelewa na yule akaona kaelekea ulaya.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI?

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Kuna mtu aliniambia jamaa wanaabudu shetani.

Kwa andiko hilo nimethibitisha nilichokisikia.
 
Back
Top Bottom