Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

AMA KWELI KICHAA SI LAZIMA AOKOTE MAKOPO.

UKISOMA Aya ya pili KINAITWA UNABII.
UNABII ni Habari ya mambo yajayo.


1 Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;
Ufunuo wa Yohana 1:1


FICHA UJINGA
Siku utakayokuja kugunduwa Mungu hajaandika kitabu chochote kile, hapo ndio utapata akili.
 
UJINGA NI KIPAJI.
Na unakiishi.
NI KITABU GANI KILICHO TANGULIA????....
Sio kitabu tu, ni vitabu.
1) ZABURI:- Aliyofunuliwa Daudi.
2) TORATI:- Aliyofunuliwa Mussa.
3) INJILI:- Aliyofunuliwa Yesu/Issa.

Bibilia haijafunuliwa kwa nabii yeyote, na ukitaka kujua hili Uliza kwa wanaujua kuwa Bibilia ni nini.
 
Na unakiishi.

Sio kitabu tu, ni vitabu.
1) ZABURI:- Aliyofunuliwa Daudi.
2) TORATI:- Aliyofunuliwa Mussa.
3) INJILI:- Aliyofunuliwa Yesu/Issa.

Bibilia haijafunuliwa kwa nabii yeyote, na ukitaka kujua hili Uliza kwa wanaujua kuwa Bibilia ni nini.

NYIE AKILI ZENU NDIO HAPA HUWA ZINANICHEKESHA SANA .

HIZO TORATI INJILI NK VIPO WAPI???????? 3?
?
 
Watu mnajua kupika chai sana, tena hii ya rangi, tatizo imewekewa sukari guru.

Siku nyingine unakuja na Uthibitisho kama mwanaume.
UNAPROVE UONGO AMA UKWELI .


UKIANZA kusema mambo ya Sukari mwanaume inakuwa ni USHAMBA MKUBWA

Leta hoja na uthibitishe sio unaimba chai, chai, sukari?????

UMEKUWA ZUCHU?????
 
SASA mnapoleta hoja kwamba YESU alikua ni muislamu kisa alikua anaingia kwenye masinagogi, ambayo ni misikiti ya wayahudi, wakati masinagogi Qibla huelekea Jerusalem na Siyo Mecca?
Kisa sio kuingia ktk masinagogi.
Uislamu ni neno la kiarabu ambalo kiswahili chake ni Unyenyekevu.
Bibilia imeandika kiswahili, hivyo huwezi kuta neno Uislamu, badala yake utakuta neno Unyenyekevu.
Yesu mwenyewe anasema nini kuhusu hili?

11:29. MATHAYO.
29 Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
 
NYIE AKILI ZENU NDIO HAPA HUWA ZINANICHEKESHA SANA .

HIZO TORATI INJILI NK VIPO WAPI???????? 3?
?
Itanilazimu sasa nikujibu kwa mujibu wa unavyotaka wewe.
Uliuliza swali na nikakupatia majibu, si kwa ulazima ila ni muhimu kusema nimeelewa majibu au sijaelewa ili upate uwelewa.
Imani usiishabikie bali soma uielewe.
 
Mkuu uwe unatumia akili na logic wakati mwingine....sasa Watanzania wa bara wajue Kibla iko wapi inawasaidia nini maishani? Kwani ukisali hivi hivi Mungu akusikii mpaka msikiti uwe unaangalia Kibla? Hivi vitu vingine mnavyokariri ni ujinga mtupu tu. Rudini shule jamani muondoe ujinga.
Ahaa Gaya huko kanisani kwenu kuna utaratibu Fulani mlijiwekea ukienda kinyume inazua hoja,
 
ukute wewe una tatizo la ujuaji yaan unahisi waislam wote wa hapo ni wajinga kasoro wewe tu ?
Mimi nilikuwa na compass kabisa inaonyesha direction,ni mara chache kukuta Hilo kosa wala sio ujuaji Bali udadisi
 
SIPENDI KUWEKA HIVI. LAKINI ACHA NI KIWEKE KWASABABU ALIYEKUWA AKIHOJIWA AMEZUNGUMZA LEO LEO.


Screenshot_20230506-150543.jpg
 
IVI KUNA WATU NA AKILI TIMAMU BADO WANAAMINI HII DINI?????
Ndiyo, wapo watu wenye akili timamu wanaamini hii Dini kuwa ndio Dini ya Mungu, na hao ndio wanaitwa kwa kiswahili ni WANYENYEKEVU, kiarabu WAISLAMU.
Kwani wewe huwajui watu hao?

3:19 QUR-AN.
19. "Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu."

Hiki ni ushahidi wa waislamu ktk kuamini kwao.

Wewe lete andiko lisemalo UKRISTO NI DINI, kuanzia mwanzo hadi ufunuo.

Nipo pale nasubiri mkuu.
 
ANGALIA HAPA JINSI QURAN ILIYOANDIKWA NA MASHETANI NA MUNGU AKIWA ANAWASHUHUDI.

2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini....

AYA HII MUNGU AKISHUHUDIA ADUI IBILISI.

.QURAN 4:79 - Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

1. JE HAO WALIOMTUMA MWAMEDI NI AKINA NANI....????

2. JE MUNGU ANAWEZAJE KUWA UPANDE WA SHAHIDI WAKATI YEYE NDIYE AMEMTUMA??????

3. SHAHIDI ANAKUWA NI THIRD PARTY AU FIRST???


TUNAWAAMBIA HAYA ILI MUIJUE KWELI.
 
Ndiyo, wapo watu wenye akili timamu wanaamini hii Dini kuwa ndio Dini ya Mungu, na hao ndio wanaitwa kwa kiswahili ni WANYENYEKEVU, kiarabu WAISLAMU.
Kwani wewe huwajui watu hao?

3:19 QUR-AN.
19. "Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu."

Hiki ni ushahidi wa waislamu ktk kuamini kwao.

Wewe lete andiko lisemalo UKRISTO NI DINI, kuanzia mwanzo hadi ufunuo.

Nipo pale nasubiri mkuu.

UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

WUKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTEA.
 
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

WUKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTEA.

Vitabu vilivyotangulia si biblia
 
Back
Top Bottom