Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Pamoja na kwamba mimi sio Islamic, lakini niliwahi kujifunza kwamba.... Ikiwa upo Afrika Mashariki, kawaida Qiblah ni kaskazini. Hivyo mkono wako wa kuume ukielekea kunapochomoza jua na mkono wa kushoto kunapotua jua basi uso wako utakuwa umeelekea Makkah.
Sahih
 
Kila Mtume/Nabii alikuja na utaratibu wake aliopewa kutoka kwa MUNGU kuhusiana na suala zima la kuabudu, sasa nilishasema kuwa hizi swala za Waislam alikabidhiwa Nabii Muhammad (S.A.W) na huo ndio utaratibu aliopewa kuhusu kuswali swala hizo.

Kuhusu Nabii Adam kuswali kuelekea wapi sidhani kama nae alifanya hivyo ama laa. Labda wadau watasaidia kukujibu ndugu.
ubarikiwe mkuu, proud of your uungwana [emoji120]

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Well, ni Qibla na sio Kibra. Ni uelekeo ambao Waislam wote wanaposwali wanaelekea hapo. Mfano wa mpira ulivyo round, pale katikati ndio pawe Qibla, kama umewahi kuona Waislam wakiswali wanapoenda Kuhiji Makkah, ule mskkiti wanaotumia kuswali pale katikati ndio Qibla (KA'ABA) i.e watu wote wanaangalia pale katikati. Uwe America, Urusi, India, South Africa wote mtakaposwali mtatakiwa kuangalia Qibla.

View attachment 2610437

Niliwahi kuskia pia, Waislam wanaposwali wanatakiwa kuangalia katikati ya Dunia...!

View attachment 2610438

WELCOME...!
Mle KA'ABA ndani ya lile Jiwe jeusi si ndiyo wanasema kuna viatu vya Ibrahim sijui Mussa ndiyo wanakua wanazunguka kuviabudu?
 
Hii dini ya kuunga unga Sana. Kumbe hata ibada ya kufunga Mohamedi aliiga kwa Wayahudi, halafu Kuna limtu hapa bongo kucha kutwa linamtukana myahudi , hajawahi kujua kuwa SAHIHI MUSLIM YA BUHARI hadithi namba 1130(a) jamaa alistaajabu kuona waizraeli wanafunga siku Moja kuonyesha Musa alivyowakomboa waizraeli jamaa naye akarukia kwa kusema na sisi Musa anatuhusu inabidi tuanze kufunga
 
Wakristo wengi hawajui kitabu cha ufunuo kinaongea nini.

Kitabu cha ufunuo hakiwaongelei waislamu wala hapakuwepo na dini ya kiislamu wakati huo.

Ufunuo wa Yohana aliopata akiwa katika kisiwa cha Patmo ni kipindi Wakristo walikuwa kwenye mate so makali ya Kaizari Dimitio........

Nina issue anafanya nitarudi nikupe elimu kuhusu kitabu cha ufunuo, ni mambo ambayo yameshatokea na siyo mambo yajayo.

Amka.
Ulikuwe tangu zama na zama
 
Huko ndiko iliko jengwa nyumba ya kwanza duniani kumuabudia mungu alijege nabii iburahimu
Na jiwe mnalolisujudia
images.jpeg
 
ninachojua dunia ni duara sio flat kwahiyo upande wowote utakapoeleka utakua unaangalia huko makka
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
Unguja imejaa Masufi,
Kisha anatoka mtu anafanikiwa kutembelea Makete sehem ambayo population yake ni Christians, then anakuja na Conclusion ya Waislam wa Bara.

Umechukua Sampling ya mikoa mingapi?
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI?

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.

IMG_1036.png
 
Back
Top Bottom