Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mgonjwa WA akili Kila sehemu yupoQURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????
JIBU NI SHETANI.
SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Warekebishe tena, sio kibra, ni qiblah 🤣Moderator rekebisha heading ni Kibra sio Libra
Out of topic..na umeandika pumba.QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????
JIBU NI SHETANI.
SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Mwambie, muhudu akupe balimi tano baridiKwahiyo msikiti ukielekezwa Ulaya, Mungu hasikilizi sala za waumini?
Kwa lugha nyepesi idhini ilitolewa kama ilivyotolewa kwa nabii Ayubu?QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????
JIBU NI SHETANI.
SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
Na lina pigwa mawe kama sehemu ya ibada ya hijaHapo si ndipo Kuna Lile jiwe wanaloamini ni Shetani.
KWAHIYO inamaana wanaswali kwa kumuangalia shetani??????
Lipa kwanza tafadhaliMwambie, muhudu akupe balimi tano baridi
Muamala nautiririshia wapi?Lipa kwanza tafadhali
Mbona tafsiri zipo ndg....usichokijua usipende kukitolea maelezo.Ndio maana hawaifasiri kwa lugha nyingine zaidi ya kiarabu.
Hii inautofauti gani na wanaotumia msalaba????? Mungu yuko hapo qibla??? Pasipo angaliwa maombi hayafiki kwa Mungu???Well, ni Qibla na sio Kibra. Ni uelekeo ambao Waislam wote wanaposwali wanaelekea hapo. Mfano wa mpira ulivyo round, pale katikati ndio pawe Qibla, kama umewahi kuona Waislam wakiswali wanapoenda Kuhiji Makkah, ule mskkiti wanaotumia kuswali pale katikati ndio Qibla (KA'ABA) i.e watu wote wanaangalia pale katikati. Uwe America, Urusi, India, South Africa wote mtakaposwali mtatakiwa kuangalia Qibla.
View attachment 2610437
Niliwahi kuskia pia, Waislam wanaposwali wanatakiwa kuangalia katikati ya Dunia...!
View attachment 2610438
WELCOME...!
Uko wilaya gani kijiji tafadhari tuelezeKweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji,Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibra kama ilivyozoeleka.
Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
Nenda kaoge hukoKwahiyo msikiti ukielekezwa Ulaya, Mungu hasikilizi sala za waumini?