Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji,Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibra kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
mnamwabudu mohamed au. Kabla ya mohamad kulikuwa hakuna uislam? hakukuwa na dini?
Hiyo ni dini bandia
 
Sijajua kwa upande wako unaposema kusali unamaanisha nini ila, kama unamaanisha kuomba/kumuomba MUNGU na kuskia maombi yako haijalishi umeangalia wapi hata ukiangalia uvungu wa kitanda unaweza ukamuomba tu haina shida.

Ila kwa utaratibu wa KUSALI/KUSWALI ambao ameuweka MUNGU kwa DINI ya KIISLAM amesema unaposwali (SIO KUOMBA) unaposwali unatakiwa kuangalia QIBLA.

KARIBU SANA.
Huko Qibla ndiko alipo Mungu?

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
UFUNUO 9 11

Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni.
Ufunuo wa Yohana


NGOJA WAAMKE WAO NI HASIRA NA HAWAJUI KUJENGA HOJA, UFUNUO 9 IMEANDIKA.

NINACHOIPENDA BIBLE ILIANDIKWA YOOTE KWAMBA HII DINI ITAKUJA DUNIANI.
Wakristo wengi hawajui kitabu cha ufunuo kinaongea nini.

Kitabu cha ufunuo hakiwaongelei waislamu wala hapakuwepo na dini ya kiislamu wakati huo.

Ufunuo wa Yohana aliopata akiwa katika kisiwa cha Patmo ni kipindi Wakristo walikuwa kwenye mate so makali ya Kaizari Dimitio........

Nina issue anafanya nitarudi nikupe elimu kuhusu kitabu cha ufunuo, ni mambo ambayo yameshatokea na siyo mambo yajayo.

Amka.
 
UKITAKA KUJIBIZANA NA MJINGA...ITABIDI NA WEWE UWE MJINGA...
NA UKIWA MJINGA...HUTOWEZA MSHINDA MJINGA...KWA SABABU KWENYE UJINGA NDIPO NYUMBANI KWA MJINGA.

Uislaam haujulikani kwa viswali vya kijinga...tafuta wataalam wa kiislaam karibu akuelekeze kwa upogo...usipoelewa nenda kwa mwingine mpaka uelewe.
 
Well, ni Qibla na sio Kibra. Ni uelekeo ambao Waislam wote wanaposwali wanaelekea hapo. Mfano wa mpira ulivyo round, pale katikati ndio pawe Qibla, kama umewahi kuona Waislam wakiswali wanapoenda Kuhiji Makkah, ule mskkiti wanaotumia kuswali pale katikati ndio Qibla (KA'ABA) i.e watu wote wanaangalia pale katikati. Uwe America, Urusi, India, South Africa wote mtakaposwali mtatakiwa kuangalia Qibla.

View attachment 2610437

Niliwahi kuskia pia, Waislam wanaposwali wanatakiwa kuangalia katikati ya Dunia...!

View attachment 2610438

WELCOME...!
kabla ya kujengwa kwa ile ka'aba uelekeo wa kuswali ulikua wapi?

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Kweli nimeamini uislam uko Zanzibar, Pwani na Ujiji. Niko mkoa Fulani huku Bara kuna msikiti unaelekezwa ulaya na si Kibla kama ilivyozoeleka.

Ni nadra Sana kukuta kosa kama Hili huko Pwani
What if kibla na ulaya vyote viko uelekeo moja?
 
kabla ya kujengwa kwa ile ka'aba uelekeo wa kuswali ulikua wapi?

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app

Hiyo sehemu muanzilishi ni Nabii Ibrahim na suala la kuswali swala 5 za Kiislam alipewa Nabii Muhammad (S.A.W), sasa kama swala za Waislam alianzisha Nabii Muhammad (S.A.W) unaweza kuona kuwa hiyo sehemu tayari ilikuwepo kabla ya Nabii Muhammad (S.A.W).

Karibu sana...!
 
Hiyo sehemu muanzilishi ni Nabii Ibrahim na suala la kuswali swala 5 za Kiislam alipewa Nabii Muhammad (S.A.W), sasa kama swala za Waislam alianzisha Nabii Muhammad (S.A.W) unaweza kuona kuwa hiyo sehemu tayari ilikuwepo kabla ya Nabii Muhammad (S.A.W).

Karibu sana...!
Kama Dunia ni kama tufe , unawezaje kuligeukia jiwe na kusujudia
 
Hiyo sehemu muanzilishi ni Nabii Ibrahim na suala la kuswali swala 5 za Kiislam alipewa Nabii Muhammad (S.A.W), sasa kama swala za Waislam alianzisha Nabii Muhammad (S.A.W) unaweza kuona kuwa hiyo sehemu tayari ilikuwepo kabla ya Nabii Muhammad (S.A.W).

Karibu sana...!
asante kwa majibu ya kiungwana kaka, naongezea swali, je nabii Adamu aliswali kuelekea wapi?

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
asante kwa majibu ya kiungwana kaka, naongezea swali, je nabii Adamu aliswali kuelekea wapi?

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app

Kila Mtume/Nabii alikuja na utaratibu wake aliopewa kutoka kwa MUNGU kuhusiana na suala zima la kuabudu, sasa nilishasema kuwa hizi swala za Waislam alikabidhiwa Nabii Muhammad (S.A.W) na huo ndio utaratibu aliopewa kuhusu kuswali swala hizo.

Kuhusu Nabii Adam kuswali kuelekea wapi sidhani kama nae alifanya hivyo ama laa. Labda wadau watasaidia kukujibu ndugu.
 
Back
Top Bottom