Waislam wa mwaka huu wamekuwa wachoyo sana

Waislam wa mwaka huu wamekuwa wachoyo sana

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Mwaka jana muda kama huu nilikua nachagua sehem ya kwenda kuiftar mana kwa siku nilikua napata mualiko kama 3 hivi.

Mwaka huu toka ramazan ianze sijapata mualiko, waislam wameanza kua wachoyo. Sijapenda kabisa hii tabia yao. Wiki hii ramazan inaisha ata mualiko wa uongo uongo hakuna. Kama ramazan tu hakuna mualiko eid ya mwaka huu nimeifuta kabisa mana sidhani kama nitapata mualiko wa eid. Mnavofanya sio vizuri binadamu hatuendi ivi huu mwezi mtukufu mwezi wa tobaa tualikane iftar 👀
 
Mwaka jana mda kama huu nilikua nachagua sehem ya kwenda kuiftar mana kwa siku nilikua napata mualiko kama 3 hivi.

Mwaka huu toka ramazan ianze sijapata mualiko, waislam wameanza kua wachoyo. Sijapenda kabisa hii tabia yao. Wiki hii ramazan inaisha ata mualiko wa uongo uongo hakuna. Kama ramazan tu hakuna mualiko eid ya mwaka huu nimeifuta kabisa mana sidhani kama nitapata mualiko wa eid. Mnavofanya sio vizuri binadamu hatuendi ivi huu mwezi mtukufu mwezi wa tobaa tualikane iftar 👀

Haaaa muda wa kufuturu ukikaribia hawapendi ukaribu kabisa.
 
Waislam wamekuwa wakarimu kwa muda mrefu. Lakini upande wa pili wamekuwa tofauti.

Naona nao wameamua kuwa tofauti. Pasaka imepita yaani workmates wangu wengi ni wakristo na tunaishi 'kota' lakini sikupata hata mwaliko! Alafu wananiulizia Eid nitachinja nini!?....Nawaona tu...kama walivyo.
 
Mwaka jana mda kama huu nilikua nachagua sehem ya kwenda kuiftar mana kwa siku nilikua napata mualiko kama 3 hivi.

Mwaka huu toka ramazan ianze sijapata mualiko, waislam wameanza kua wachoyo. Sijapenda kabisa hii tabia yao. Wiki hii ramazan inaisha ata mualiko wa uongo uongo hakuna. Kama ramazan tu hakuna mualiko eid ya mwaka huu nimeifuta kabisa mana sidhani kama nitapata mualiko wa eid. Mnavofanya sio vizuri binadamu hatuendi ivi huu mwezi mtukufu mwezi wa tobaa tualikane iftar [emoji102]


Mwaka huu Mihogo,Mchele ,Unga,Magimbi,Viazi na Mafuta vimepanda bei, Hivo hatutakuwa na mialiko.Subiria mialiko mwakani vitu vikishuka bei
 
Waislam wamekuwa wakarimu kwa muda mrefu. Lakini upande wa pili wamekuwa tofauti.

Naona nao wameamua kuwa tofauti. Pasaka imepita yaani workmates wangu wengi ni wakristo na tunaishi 'kota' lakini sikupata hata mwaliko! Alafu wananiulizia Eid nitachinja nini!?....Nawaona tu...kama walivyo.
Sasa ww upo kwenye mfungo halafu unataka mwaliko
 
Waislam wamekuwa wakarimu kwa muda mrefu. Lakini upande wa pili wamekuwa tofauti.

Naona nao wameamua kuwa tofauti. Pasaka imepita yaani workmates wangu wengi ni wakristo na tunaishi 'kota' lakini sikupata hata mwaliko! Alafu wananiulizia Eid nitachinja nini!?....Nawaona tu...kama walivyo.
Umeona eeh,nishaanza kupokea sms za maswali Idd lini??

Mara idd ni tarehe 2 au 3? Wanajiuliza wenyewe na wanajijibu wenyewe.

Wameshazoea kila Idd tunafunga mtaa tunapika vyakula vya kutosha watoto wa kitaa washazoe ,safari hii hapana kwakweli,,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom