my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
- Thread starter
- #21
Pole tupu hata haipendezi mwezi huu ππ π π π π π π π Pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole tupu hata haipendezi mwezi huu ππ π π π π π π π Pole
Hawamtaki kabisa urafiki ata ukiwasalimia wanaitikia kinyonge πHaaaa muda wa kufuturu ukikaribia hawapendi ukaribu kabisa.
Mkialikwagwa hamji nyie ndo mana tunauchunaWaislam wamekuwa wakarimu kwa muda mrefu. Lakini upande wa pili wamekuwa tofauti.
Naona nao wameamua kuwa tofauti. Pasaka imepita yaani workmates wangu wengi ni wakristo na tunaishi 'kota' lakini sikupata hata mwaliko! Alafu wananiulizia Eid nitachinja nini!?....Nawaona tu...kama walivyo.
Mwakani vitu vitakua bei mbaya kuliko sasaMwaka huu Mihogo,Mchele ,Unga,Magimbi,Viazi na Mafuta vimepanda bei, Hivo hatutakuwa na mialiko.Subiria mialiko mwakani vitu vikishuka bei
Itakuwa upo Dar weweee, Karibu huku mkuu iftar bwelele ukitaka gimbi,mung'unya,kiazi mviringo mbogamboga,tambi,ndizi,njugumawe,andazi,chapati, n.kMwaka jana mda kama huu nilikua nachagua sehem ya kwenda kuiftar mana kwa siku nilikua napata mualiko kama 3 hivi.
Mwaka huu toka ramazan ianze sijapata mualiko, waislam wameanza kua wachoyo. Sijapenda kabisa hii tabia yao. Wiki hii ramazan inaisha ata mualiko wa uongo uongo hakuna. Kama ramazan tu hakuna mualiko eid ya mwaka huu nimeifuta kabisa mana sidhani kama nitapata mualiko wa eid. Mnavofanya sio vizuri binadamu hatuendi ivi huu mwezi mtukufu mwezi wa tobaa tualikane iftar π
Sio kweliWakristo wanaongoza kwa uchoyo ππ
Kwahiyo ungefuturu mchana au usingefunga kabisa ili ule PASAKA?Waislam wamekuwa wakarimu kwa muda mrefu. Lakini upande wa pili wamekuwa tofauti.
Naona nao wameamua kuwa tofauti. Pasaka imepita yaani workmates wangu wengi ni wakristo na tunaishi 'kota' lakini sikupata hata mwaliko! Alafu wananiulizia Eid nitachinja nini!?....Nawaona tu...kama walivyo.
Watu wakwaresma hawafuturu kama waislamu, na wala hawana daku la usiku, na hata ukipata menu kokote hutakiwi kutunza kwa ajili ya jioni mpe mtu mwingine.Bado week kipenzi [emoji7]
Kwani wao kwalezima walitualika au kutukaribiasha[emoji51]
Si wachoyo kwanza kumjua tu kama kafunga ni ngumu sana, yeye kaambiwa asikae panda kama wanafiki ili kila mtu ajue kama kafunga hapana, ila Baba yako aliye sirini, na Baba yako aonaye sirini atakujazi. Kwahiyo si wachoyo.Wakristo wanaongoza kwa uchoyo [emoji23][emoji23]