sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,405
- 10,637
Kufunga kidini ni kunyongomyesha mwili Ili kukua na kupata nguvu kiroho ila hili la kufunga
WAKRISTO wa madhehebu ya kokole wapo vizuri mno kuliko waislam WAKRISTO hao Note: wasio Romans hufunga siku kavu bila kula na bila kuchange ratiba ya kula
WAISLAM kwakweli huwa wana change ratiba ya kula tu huacha kula mchana na huanza kula usiku
Romans hao nashindwa kuwaelezea wapogo vuguvugu mno waislam wapo vizuri kwa YOTE kasoro katika kufunga tu.
WAKRISTO wa madhehebu ya kokole wapo vizuri mno kuliko waislam WAKRISTO hao Note: wasio Romans hufunga siku kavu bila kula na bila kuchange ratiba ya kula
WAISLAM kwakweli huwa wana change ratiba ya kula tu huacha kula mchana na huanza kula usiku
Romans hao nashindwa kuwaelezea wapogo vuguvugu mno waislam wapo vizuri kwa YOTE kasoro katika kufunga tu.