Waislamu dhidi ya Wakristu katika kufunga

Waislamu dhidi ya Wakristu katika kufunga

Unawapangia hadi familia yako au unadhani kufunga ni suala la kiimani tu?
Familia yangu,sheria zangu hakuna mtu kushinda na njaa kwangu .Narudia sijawahi na sitawahi kushinda na njaa mimi wala familia yangu.Nawaheshimu wote wanaofanya hilo jambo kwa imani zao na kwa faida zao ila kwangu hapana.
 
Ibada ya kiislam usiifananishe na ibada ya waliokufuru, waliokufuru wanafunga kwa namna yao na Waislam wanafunga kwa namna yao.
Sisi tuna dini yetu na nyie mnadini yenu.
 
Utapeli umeandika kufunga ni kunyongonyeza mwili Ili ukue kiroho na kiimani na sio kuugeuza usiku uwe mchana
Hiyo ni tafsiri kwa mujibu wa dini yako ww unayo iamini ww na si uislamu usilazimishe iamini katika tafsiri unayo itaka ww.
Ukristo na uislamu ni dini mbili tofauti zenye mitazamo tofauti kwenye mambo mengi sana sasa iweje ulazimishe wawe na mtazamo sawa kuhusu kufunga?
Hata mimi kuna mambo mengi yaliyoko kwenye dini yenu mm kwa mtazamo wangu naona ni utapeli lakini sina muda mchafu wa kuja kuandika mada za kashifa kwa sababu imani yao hainiathiri kwa chochote kwenye maisha yangu.
 
Siongelei faida za kufunga Naongelea hoja ya kusema mtu amafunga muda upi.
Chukulia mji kama Tromso uliopo Norway ambao Miezi miwili hakuna jua(halionekani) Hawa watafungaje?

Dini zili focus na kulenga jamii inayoizunguka huu ndo ukweli. Ndo maana badae kunajulikana mbona kuna miji ambayo iko hivi au vile kitabia ya Geographia ndo ambako wanajaribu ku set kulingana nayo
I don't think jua ni hoja, unaweza kujua Jua limezama ama limetoka hata kama halionekani hilo jua.

Pia watu wengi humu hamna Exposure, jangwani kuna Hali za hewa zote mbili joto kali na Baridi kali, kama Hujui Mena kuna Snow na hali ya Hela kama Norway maeneo mengi tu, inategemea ni mda gani wa mwaka
images (5).jpeg

So kuna maeneo kipindi cha Baridi kuna snow na Hulioni jua, hivyo hoja yako ni dhaifu sana ambayo ina assume Kama Mtume ama uisilamu hauku experience hicho kitu. Kuna hadithi kibao za Mtume zinazo elezea snow na hali ya hewa mbaya.
 
Hiyo ni tafsiri kwa mujibu wa dini yako ww unayo iamini ww na si uislamu usilazimishe iamini katika tafsiri unayo itaka ww.
Ukristo na uislamu ni dini mbili tofauti zenye mitazamo tofauti kwenye mambo mengi sana sasa iweje ulazimishe wawe na mtazamo sawa kuhusu kufunga?
Hata mimi kuna mambo mengi yaliyoko kwenye dini yenu mm kwa mtazamo wangu naona ni utapeli lakini sina muda mchafu wa kuja kuandika mada za kashifa kwa sababu imani yao hainiathiri kwa chochote kwenye maisha yangu.
Wewe ni mlevi wa dini two wrongs doesn't make one right
 
Ibada ya kiislam usiifananishe na ibada ya waliokufuru, waliokufuru wanafunga kwa namna yao na Waislam wanafunga kwa namna yao.
Sisi tuna dini yetu na nyie mnadini yenu.
Kukufuru Nini?

Nyie hamfungi mnageuza usiku kuwa mchana
 
Familia yangu,sheria zangu hakuna mtu kushinda na njaa kwangu .Narudia sijawahi na sitawahi kushinda na njaa mimi wala familia yangu.Nawaheshimu wote wanaofanya hilo jambo kwa imani zao na kwa faida zao ila kwangu hapana.
Familia yako unaiendesha kitemi sio haki
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
I don't think jua ni hoja, unaweza kujua Jua limezama ama limetoka hata kama halionekani hilo jua.

Pia watu wengi humu hamna Exposure, jangwani kuna Hali za hewa zote mbili joto kali na Baridi kali, kama Hujui Mena kuna Snow na hali ya Hela kama Norway maeneo mengi tu, inategemea ni mSda gani wa mwaka
View attachment 3253797
So kuna maeneo kipindi cha Baridi kuna snow na Hulioni jua, hivyo hoja yako ni dhaifu sana ambayo ina assume Kama Mtume ama uisilamu hauku experience hicho kitu. Kuna hadithi kibao za Mtume zinazo elezea snow na hali ya hewa mbaya.
Siongelei kutoonekana kwa Jua kwasababu ya Snow au mawingu naongela kutochomoza jua au kuzana(yaani giza kabisa kama giza la usiku kwa muda wote) ndani ya kipindi cha miezi miwili
 
Wewe ni mlevi wa dini two wrongs doesn't make one right
Ww usinge kuwa mlevi wa dini sidhani kama ungepata muda wa kushughulishwa na dini za wengine ,mpaka kuja kuleta mada za mlinganisho kati dini yako na dini za wengine ili kuonesha dini yako ndo bora kuliko nyingine.
 
Familia yangu,sheria zangu hakuna mtu kushinda na njaa kwangu .Narudia sijawahi na sitawahi kushinda na njaa mimi wala familia yangu.Nawaheshimu wote wanaofanya hilo jambo kwa imani zao na kwa faida zao ila kwangu hapana.
Kukosa uelewa tu, tunafunga kila siku kwa masaa ya usiku tunayotumia kulala huwa hatuli kwa muda wote huo na ndio maana chakula cha asubuhi kinaitwa break fast. Suala la kufunga lipo kiafya zaidi kuliko kiimani kama unavyodhani mkuu, sasa nashangaa unapozuia familia yako isifunge.
 
Siongelei kutoonekana kwa Jua kwasababu ya Snow au mawingu naongela kutochomoza jua au kuzana(yaani giza kabisa kama giza la usiku kwa muda wote) ndani ya kipindi cha miezi miwili
Hata Polar Night na Midnight sun vyote vina explanation zake kwenye uisilamu, Canada na Urusi Kuna misikiti na wanafunga kama kawaida kutumia masaa ya Sehemu jirani.

Unachotakiwa kujua wewe ni Hekma gani imetumika kutuambia tufunge? Je watu wakiishi kwenye artic umaskini unapotea? Arrogance inapotea? Watu wanakua perfect? Hapana, as long as ni Binadamu basi funga itawafaidisha.
 
Kukufuru Nini?

Nyie hamfungi mnageuza usiku kuwa mchana
Sijawahi kuona kafiri yoyote akiwa amefunga muda wote mnakula kama mchwa, ukiuliza mtu umefunga nini kituko ni kila mtu anakwambia nimefunga kula kitu flani, mwingine kafunga kula makande, mwingine kafunga kula dagaa ila misosi mingine anapiga wanasema wameambiwa wale ila wasishibe hiyo ni funga au upuuzi?
 
Unaweza funga usiku kucha usile ukala kutwa nzima, tatizo liko wapi? Hakuna tofauti kati ya kulala na njaa na kushinda na njaa, mwili ule ule ,njaa ile ile. Funga USIKU kula MCHANA.
 
Sijawahi kuona kafiri yoyote akiwa amefunga muda wote mnakula kama mchwa, ukiuliza mtu umefunga nini kituko ni kila mtu anakwambia nimefunga kula kitu flani, mwingine kafunga kula makande, mwingine kafunga kula dagaa ila misosi mingine anapiga wanasema wameambiwa wale ila wasishibe hiyo ni funga au upuuzi?
Sie makafiri msitufananishe na Romans hao Wana taratibu zao
 
Unaweza funga usiku kucha usile ukala kutwa nzima, tatizo liko wapi? Hakuna tofauti kati ya kulala na njaa na kushinda na njaa, mwili ule ule ,njaa ile ile. Funga USIKU kula MCHANA.
Funga sio kushinda njaa elewa maana
 
Back
Top Bottom