Waislamu dhidi ya Wakristu katika kufunga

Waislamu dhidi ya Wakristu katika kufunga

Yote kwa yote namuheshimu sana mtu anaeweza kukaa saa 12 bila kula inahitaji nidhamu ya hali ya juu sana.Mimi naweza kufunga kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa 5 au sita mchana basi.
Wewe ni mrafi usiku Huwa unakula saa ngapi?
 
Naomba kuuliza hivi yale maeneo ambayo masaa ya mchana ni saa 18 au 16, inakuwaje kwenye kufunga?

Au yale maeneo ambayo kipindi flani hawapati mchana au usiku katika miezi kama miwili hivi jee wanafanyaje?

Baada ya kutoka hapo utajua kuna mambo ya dini ambayo kidogo yana ukakasi kuelezea kwasababu dini husika ililenga jamii inayoizunguka tuu
Maeneo gani ayo
 
Kufunga kidini ni kunyongomyesha mwili Ili kukua na kupata nguvu kiroho ila hili la kufunga

WAKRISTO wa madhehebu ya kokole wapo vizuri mno kuliko waislam WAKRISTO hao Note: wasio Romans hufunga siku kavu bila kula na bila kuchange ratiba ya kula

WAISLAM kwakweli huwa wana change ratiba ya kula tu huacha kula mchana na huanza kula usiku

Romans hao nashindwa kuwaelezea wapogo vuguvugu mno waislam wapo vizuri kwa YOTE kasoro katika kufunga tu.
Scientifically kufunga masaa kadhaa kwa siku na kula masaa mengine ndio bora zaidi ki Afya.

Soma huu ushauri wa kisayansi then apply kwenye Maisha ya kawaida utaona funga ya nani ipo sahihi.

 
Jamani acheni tabia ya kuongelea vitu msivyo kuwa na elimu navyo.
Alafu kila dini ina namna unavyo tafsiri sheria zake,si lazima wakristo wanavyo tafsiri mfungo ni lazima na waislam wautafiri hivyo, ndo maana waislam wanamtambua yesu kama nabii wakati wakristo wana mtambua kama mwana wa mungu na wengine kama Mungu hii inaonesha ni namna gani dini hizi zilivyo tofauti kabisa katika kutafsiri mambo.

Tafsiri ya funga ndani ya uislamu sio kujitesa wala kuteseka na njaa kwa sababu kwenye uislamu kufunga sio adhabu bali ni ibada ya kujizuia kufanya baadhi mambo ambayo ni halali kwa muda fulani tu.
Na ndio maana mgonjwa ,mwanamke mwenye mimba, mtu mwenye matatizo haruhusiwi kufunga kwa sababu mwenyezi mungu ameharamisha binadamu kujidhuru ,hivyo ukifunga kwa minajili ya kujidhuru una andikiwa dhambi.

Alafu funga inaanza saa 10:30 alfajiri mpaka saa 1:20jioni ukiangalia hapo katikati kuna masaa zaidi ya 14 sasa niambie ni binadamu gani mwenye tumbo la kuhifadhi chakula kwa masaa 14.
Jamani kila mtu aamini kile anacho kiona ni sawa hii mijadala ya kukejeliana haina afya hata kidogo na sijui kwanini uongozi wa jf unailea.
Utapeli umeandika kufunga ni kunyongonyeza mwili Ili ukue kiroho na kiimani na sio kuugeuza usiku uwe mchana
 
Naomba kuuliza hivi yale maeneo ambayo masaa ya mchana ni saa 18 au 16, inakuwaje kwenye kufunga?

Au yale maeneo ambayo kipindi flani hawapati mchana au usiku katika miezi kama miwili hivi jee wanafanyaje?

Baada ya kutoka hapo utajua kuna mambo ya dini ambayo kidogo yana ukakasi kuelezea kwasababu dini husika ililenga jamii inayoizunguka tuu
Unafunga masaa yote 16,

Na mkuu kuna scientific studies kibao kuhusu Funga, either wewe ni mtu wa dini ama sio mtu wa Dini na hayo masaa 16 ndiyo ya nayo hitajika, hata uisilamu wale wanaofunga ni. Sunna Daku kula light meal kama tende tu ili kuprolong masaa unayo kaa bila kula.
 
Unafunga masaa yote 16,

Na mkuu kuna scientific studies kibao kuhusu Funga, either wewe ni mtu wa dini ama sio mtu wa Dini na hayo masaa 16 ndiyo ya nayo hitajika, hata uisilamu wale wanaofunga ni. Sunna Daku kula light meal kama tende tu ili kuprolong masaa unayo kaa bila kula.
Siongelei faida za kufunga Naongelea hoja ya kusema mtu amafunga muda upi.
Chukulia mji kama Tromso uliopo Norway ambao Miezi miwili hakuna jua(halionekani) Hawa watafungaje?

Dini zili focus na kulenga jamii inayoizunguka huu ndo ukweli. Ndo maana badae kunajulikana mbona kuna miji ambayo iko hivi au vile kitabia ya Geographia ndo ambako wanajaribu ku set kulingana nayo
 
Mji mmoja waitwa Tromso uko Norway wao Kuanzia mwanzon December hadi January Mwishon Halionekani jua(giza kwa kipindi chote hicho).

Pia hata Ungereza kuna kipindi mchana(day) hufikia masaa 18
Hii ni mpya kwangu
 
Siongelei faida za kufunga Naongelea hoja ya kusema mtu amafunga muda upi.
Chukulia mji kama Tromso uliopo Norway ambao Miezi miwili hakuna jua(halionekani) Hawa watafungaje?

Dini zili focus na kulenga jamii inayoizunguka huu ndo ukweli. Ndo maana badae kunajulikana mbona kuna miji ambayo iko hivi au vile kitabia ya Geographia ndo ambako wanajaribu ku set kulingana nayo
Waangalie mfano tu kwa wenzao wanaoendana mda
 
Back
Top Bottom