Wajinga ndio mliwao, hazina yako haimaanishi fedha wala sadaka
maana yake ni MOYONI MWAKO YUPO NANI? ...
Mfano: 1 Mim marytina hazina yangu ni mume wangu yaan mawazo, nguvu, akili na tumaini langu lipo kwa mume wangu ( kwa hiyo nikiachika najidhuru i.e hazina/ moyo nimeweka kwa mume badala ya YESU)
Mfano 2: Kuna waziri aliitwa kigoma Ally malima huyu moyo wake aliuweka kwenye pesa zake alizoweka ulaya. alipogundua akaunti zimefungwa akakufa
Moyo ukiuelekeza kwenye mali mali ikipotea gafla unakata moto. Kwani hapo ndipo hazina yako ilipo.
Achana na wachungaji toa sadaka weka hazina....
Hazina ya kikristo ni kumtegemea na kumwona Mungu tu na sio Mali za ulimwengu