Waislamu hutoa sadaka kisha husubiri malipo siku ya hukumu, wakristo tunatoa sadaka kisha tunasubiri baraka

Jamaa huyu namfahamu aliritadi na Sasa wenye dini aliyohamia wanamkataa...pole Sana
 
Hakuna jambo lingine la maana zaidi ya hilo?

Basi itakuwa ni sehemu moja ya hovyo sana
Scars bhana ningeshangaa Kama usingekomenti kwenye huu Uzi....mshtue kiranga nae aje aweke sahihi...
 
Scars bhana ningeshangaa Kama usingekomenti kwenye huu Uzi....mshtue kiranga nae aje aweke sahihi...
Kitu kimoja ambacho nimekibaini kwenye hizi dini ni kwamba waliokuwa wana invent hizi dini waliweka hadi personal interests zao kuwa sehemu ya vitabu ambavyo walikuwa wanaviandika

Aliyeandika biblia ni wazi anaonekana ukiachana na talent yake ya uandishi lakini unaweza uka observe fani nyingine ya uimbaji

Na ndio maana katika maelezo ya pepo inayomhusu Mungu wa Bible ameiwekea na bendi kuwa watu wa huko kazi yao ni daily ni kuimba tu.

Wakati upande wa pili aliyeandika Quran stori ni tofauti kidogo ikionesha kwanza alikuwa ni mpenda starehe thats why pepo yake kaielezea kumnufaisha zaidi mwanaume na bikra wa kutosha na kuna hadi mito ya bia ukiwa huko hakuna ile sheria ya "hairuhusiwi kunywa chini ya umri wa miaka 18"
 
Mna chuki na dini kiislamu na mnajisumbua sana na itawepo na itaendelea kuwepo mke wa rumi
DINI ya kiislamu ni DINI ya hovyo sana.

Ukioa wake wanne unapata swawabu MBINGUNI Kuna ahadi ya wanawake Mabikora 70 peponi

NAJUTA sana Rumi kuanzisha Hii DINI.
 
Akakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…