Kalenda ya kiislam inasema huu ni mwaka 1445! Hii ni miaka 600 hivi nyuma ya kalenda ya watu waliokombolewa!
Waislamu wengi ni vigumu sana kutenganisha dini na mambo ya kidunia. Jambo hili lilikuwa tatizo pia Ulaya miaka 600 iliyopita. Dini ilikuwa serikali na serikali ilikuwa dini.
Watu wengi wanakimbia uarabuni na kwenda nchi za magharibi kuondokana na ukandamizi unaotokana na kuchanganya dini na sayansi.
Dubai, Bahrein, Qatar, n.k., wamegundua dini ni kikwazo kikubwa kwa uchumi wao na wamefanya udunianisho (secularization) ya nchi zao. Nani asiyejua maendeleo makubwa ya mataifa haya madogo?
Ukifika Zanzibar unagundua haraka kuwa tatizo hapa ni dini.
Waislamu wengi wamebanwa kwenye mtego wa “Uislamu” na wanateseka sana! Utakuta mathalan hapa Dar es Salaam pamoja na joto kali kupindukia mabinti wa kiislam wanalazimishwa kuvaa baibui jeusi na kuziba nyuso zao kwa hijab siku nzima! Rangi nyeusi husharabu joto na kuuchoma mwili lakini watu hawaoni sayansi hii wao hukomalia dini tu. Je utumwa wa waarabu haukuwatosha?
Msipobadilika mtaendelea kuwa miaka 600 nyuma ya dunia na kuyaona mataifa ya magharibi na Ukristo kuwa adui yenu mkubwa. Adui yenu mkubwa ni dini yenu!
Waislamu wengi ni vigumu sana kutenganisha dini na mambo ya kidunia. Jambo hili lilikuwa tatizo pia Ulaya miaka 600 iliyopita. Dini ilikuwa serikali na serikali ilikuwa dini.
Watu wengi wanakimbia uarabuni na kwenda nchi za magharibi kuondokana na ukandamizi unaotokana na kuchanganya dini na sayansi.
Dubai, Bahrein, Qatar, n.k., wamegundua dini ni kikwazo kikubwa kwa uchumi wao na wamefanya udunianisho (secularization) ya nchi zao. Nani asiyejua maendeleo makubwa ya mataifa haya madogo?
Ukifika Zanzibar unagundua haraka kuwa tatizo hapa ni dini.
Waislamu wengi wamebanwa kwenye mtego wa “Uislamu” na wanateseka sana! Utakuta mathalan hapa Dar es Salaam pamoja na joto kali kupindukia mabinti wa kiislam wanalazimishwa kuvaa baibui jeusi na kuziba nyuso zao kwa hijab siku nzima! Rangi nyeusi husharabu joto na kuuchoma mwili lakini watu hawaoni sayansi hii wao hukomalia dini tu. Je utumwa wa waarabu haukuwatosha?
Msipobadilika mtaendelea kuwa miaka 600 nyuma ya dunia na kuyaona mataifa ya magharibi na Ukristo kuwa adui yenu mkubwa. Adui yenu mkubwa ni dini yenu!