Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina cha kujibu, ngoja wenye imani waje wakujibuEty waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?
Hakuna hilo andiko kwenye Quran. Anaebisha alete kifungu cha Quran hapa.Ety waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?
Watakuwa Waarabu na wanaozungumza kiarabu only.Ety waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?
Ni bikra ambao macho yako na nafsi yako itafurahia, kwahiyo Mungu Atakupa wale ambao nafsi yako inawapendaEty waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?
Sio kila anae zungumza kiarabu ni muarabuWatakuwa Waarabu na wanaozungumza kiarabu only.
Unaambiwa peponi kila mtu atakua muarabu,huko hakuna ngozi nyeusi mana ngozi nyeusi ni alama ya laana.Ety waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?
Mm ninge pendelea nipate mbususu mchanganyiko.😁Ety waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?
Hata mabinti wa kiafrika wakizungumza kiarabu itawahusu.Sio kila anae zungumza kiarabu ni muarabu
Kwa kua wanasemaga lugha ya mbinguni ni kiarabu watakua watot wa kiarabu aiseeEty waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?
Mbona hizi taarifa sisi waislam hatuna nyie mnatoa wapi?Ety waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica
Katika dini ya Kiislamu, hadithi kuhusu wake wa peponi, ikijulikana kama "hur al-‘ayn," inazungumzia wanawake wa ajabu wa peponi ambao Waislamu wanaamini watawapata katika maisha ya baadaye.Ety waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?