Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Naanza kuona mzizi wa kwanini waafrika hatuendelei na tunakuwa wategemezi..., badala ya issues tunahangaika na vitu petty..., kwa logic yako tushukuru pia ukoloni sababu ndio ulituletea hizi Imani mbili ambazo hapo awali hazikuwepo...

By the way unajua shule zilianzia wapi au zilianzishwa na kina nani (naaminisha formal institutions for education)?

The earliest known formal school was developed in Egypt's Middle Kingdom under the direction of Kheti, treasurer to Mentuhotep II (2061-2010 BC). In Mesopotamia, the early logographic system of cuneiform script took many years to master.
 
Sina uhakika kama utawala wa kikoloni ulikuwa ukiwabagua Watanganyika kwa misingi ya dini. Kama si baba yake, basi ni babu yake Jakaya Kikwete. Alikuwa mmoja wa viongozi kipindi cha ukoloni, kama sijakosea. Nafikiri alikuwa mkuu wa wilaya.

Nipo sahihi?
 
Soma historia ya pattern distrubution of colonial schools and colleges? Kwanini sehemu kama ujiji tabora pwani hawakua colonial schools? Its was a delibarate move to segregate muslim community from colonial education,
 
Toa na bandiko la kuwashukuru watu wa Dar na pwani kwa ujumla wake kwa kuwapokea watu wa pande zote za nchi na kufundishwa ustaarabu kama wakujiosha baada ya kutoka maliwatoni.
 
Mzee Mohamed Said unaitwa huku kuna vita imeanzishwa
 
na sisi waislam wa norway ilan quatar tuwashukuru wakina nani? NB shukran sio lazima....tunaishi kwa kutegemeana......watu wote wana haki sawa.....udini hauna nafasi....@
 
Najiuliza if the roles were reversed Islamic schools zingetangulia wangechukua wanafunzi wa dini zingine? If yes, wangewapa ufadhili wa kuendelea na masomo ya juu? Islamic schools zinawa-treat vp wasio waislam leo hii?
 
Baba yao mwenyewe alikosa shukrani pamoja nakupewa sifa lukuki-; Nyota ya alfajiri , mwana wa asubuhi, aliishia kufukuzwa itakuwa Hawa wafuasi wake?😫
 
"What goes around comes around"
 

Attachments

  • 5754883-b269109aadeb3a734bc5c26d13ef6621.mp4
    4.1 MB
Hivi kwanini huwa hampendi ukweli na mnapenda kulialia sana? Sasa hapa unapinga nini?

Unaweza kuweka ushahidi wa School Fee waliochajiwa hao waislam unaosema walilipia? Ni kiasi gani walicholipa?
Sio kulia bali nimefafanua tu kuhusu Madrasa na mengine
Kuhusu kusoma bure huwa hakuna cha bure kuna michango pia
Huko kusoma nje wazee wetu walipelekwa na serikali pia
Hakuna wa kulialia hapa maana kila mmoja ana haki ya kutoa maoni yake tu ila sikuwa na nia mbaya bali masahihisho tu na kutoa maoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…