Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo

Wanabodi,

Watanzania wote waliosoma enzi za mkoloni mpaka tunapata uhuru, tumekuwa na elimu ya aina 3. Shule za serikali, Government Schools, Shule za Mission, na elimu ya madras kwa ndugu zetu Waislamu.

Shule za serikali zilikuwa chache na zilichukua wanafunzi wachache tena vichwa kweli kweli, hivyo Watanzania wengi waliemika kupitia Shule za Mission.

Elimu ya madrasa iliwahusu Waislamu pekee, lakini shule za serikali na shule za Mission zilichukua watu wa dini zote bila ubaguzi wowote.

Hivyo Watanzania wengi wa zamani waliobahatika kusoma elimu ya secondary, walisoma shule za misheni.

Kilichofanya Wakristo wengi zaidi kuwa ni wasomi kuliko Waislamu, ni changamoto ya ada za shule.

Watoto wa mikoa yenye mazao ya biashara, waliweza kusoma zaidi kwasababu wazazi wao waliweza kulipa ada, kutokana na kupata kipato, lakini watoto wa mikoa ambayo haikuwa na mazao ya biashara ikiwemo mikoa yote yenye Waislamu wengi, hawakubahatika kupata elimu ya kisasa.

Hali hii ilipelekea hata uendeshaji wa harakati za uhuru, kuongozwa na wasomi Wakristo, mfano vyama vyote vya siasa vilivyopigania uhuru, kuanzia AA kiliongozwa na Mkristo, Cecil Matola, TAA ikaongozwa na Dr. Vedastus Kyaruzi na TANU ikaongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kitu kizuri sana Shule za Mission zilichowafanyia Watanzania, akitokea Mwanafunzi very bright, akafanya vizuri mitihani yake na kufaulu vizuri, wale waalimu wa shule za Mission, usually makasisi, waliwachukua watoto hao na kuwasomesha bure, hivyo ndio wengi wa wasomi wa Kiislamu walivyopatikana, hivyo watu kama Juma Mwapachu na nduguye Bakari, kina Hamza Aziz, Inspector Rashid na Waislamu wengi wa enzi hizo, walisoma sekondari kwa hisani ya Shule za Mission.

Hisani hii, sio kwa ndugu zetu Waislamu pekee, hata Wakristo kutoka maeneo ambayo hawana mazao ya biashara, hivyo umasikini wa kipato unasababisha watoto wao hawezi kulipiwa ada, na kutosoma sana.

Hivyo wasomi wa mikoa ya Singida na Dodoma, kama kina John Samwel Malecela na nduguye Job Lusinde, washukuru sana Mission, vinginevyo bila hisani ya Shule za Mission, kuna watu wangeishia kuchunga mbuzi au kupiga dufu au kuadhini tuu lakini sasa ni wasomi wazuri na waandishi mahiri kwa hisani ya Shule za Mission.

Hivyo hili ni bandiko la kuwakumbusha ndugu zetu Waislamu waliofaidika na hisani ya kusomeshwa shule za Mission, wakumbuke fadhila, wawe ni watu wa shukrani, wawashukuru sana Wakristo, wazishukuru shule za Mission walizosomea, na kuwashukuru wale Makasisi waliowaokoa.

Ukifadhiliwa, usiwe mtovu wa fadhila, haiwezekani mtu ufadhiliwe shule za Mission, usome bure, halafu kila uchao ni kuwabeza tuu hao Wakristo waliokusomesha elimu yao hadi unaweza kuandika kwa kuwadogosha na kuwatukuza na kuwakweza Waislamu, mara kulalamikia mfumo Kristo, mara kulalamika, Waislamu wanabaguliwa kielimu, mara hivi mara vile...

Baada ya uhuru, Mwalimu Nyerere akataifisha shule zote za mission na Hospital zote za mission na kuigeuza za serikali, akatoa elimu bure kwa wote tangu darasa la kwanza hadi la chuo kikuu ili Watanzania wote wa dini zote na makabila yote wapate haki sawa ya elimu ya juu.

Wakati huo tukitumia mitaala ya Cambridge na mitihani ya Cambridge, bado walioingia sekondari ni watoto wa makabila yale yale, Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa, Wasukuma, Wahehe, na watu wa dini ile ile!.

Nyerere akafuta mitihani Cambridge, tukaanzisha Baraza letu la mitihani na mitaala yetu, mitihani tukatunga wenyewe, bado wanaopasi ni makabila yale yale na dini ile ile.

Ndipo tukakubali ukweli mchungu kumbe kiwango cha IQ hakifanani kwa dini zote na makabila yote, ikakawa sasa inafanyika affirmative action ili ndugu zetu hawa nao wasome na makabila yote wasome, kwa kuweka different cut off points maeneo tofauti tofauti. The highest ni Bukoba cut off point ni 90, Kilimanjaro 80, Mbeya 70, Iringa, Kanda ya Ziwa 60. Muslim dominated areas 40, primitive tribes ikashushwa mpaka 0 kwa Hadzabe, na wakasomeshwa kwa nguvu mpaka form 4 na wote wakapata zero!.

Utaratibu huu ulisaidia sana Watanzania wote kupata fursa za elimu ya juu. Bakwata na taasisi za Kiislamu pia zikaanzisha sekondari za elimu dunia, japo performance ya Shule ya Islamic Seminary ilikuwa... niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!. pia niliwahi kuuliza Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Na hata baada ya Waislamu kusoma Shule za Mission by default, lakini sasa, nina rafiki zangu wengi ambao ni Waislamu, lakini wanasomesha watoto wao Shule za Mission, by choice, kutokana na ubora wa elimu unaotolewa na Shule za Mission, hawa wana appreciate sana Wakristo na Shule zetu, ila baadhi ya wale waliosomeshwa na Mission, badala ya shukrani ni kuwabeza tuu kila uchao!, jambo hili halina karma njema!, badilikeni shukuruni!

Hitimisho,
Tanzania ni circular state, haina dini, ila watu wake wana dini zao, ni muhimu sana watu humu tukawa na religious tolerance ya kuzivumilia dini na imani za wengine bila kuzibeza na kuzichokoa from time to time.

Kuwa appreciative ni pamoja na Wakristo kuwa na shukrani kwa Waislamu na mfono mzuri ni mimi mwenyewe nilipopandisha bandiko hili Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling hapa nilieleza jinsi viongozi Waislamu walivyo waungwana. Uungwana huu haupo kwa viongozi Wakristo hivyo unaweza kuwa umechangiwa na ile elimu ya madrasa.

Ndugu zetu Waislamu mliofaidika na shule za Mission, kuweni na shukrani kwa aliyewafikisha hapo nikitolea mfano mmoja wa Wanazuoni wasomi wa Kiislamu waliosomeshwa Shule za Mission, ambaye angalau ana shukrani, Mkuu Maalim Mohamed Said kama anavyoeleza mwenyewe


wakati alichangia uzi wangu huu Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!
Paskali
Rejea ya Nyuzi nyingine za mwandishi kuhusu kuwa na shukrani, appreciation
Makamba family na wengine wachache wana shukran!
 
Makamba family na wengine wachache wana shukran!
Sina kumbukumbu za Makambas kusoma shule za mission, ni Yusufu ameoa mwanamke Mkatoliki, hajawahi badili dini!, jina la January ni la KiKristo, na kwa sisi Wakatoliki, Muislamu ukioa mwanamke Mkristo Mkatoliki, watoto ni wa Katoliki!.
P
 
Kuna vumbi litatimka mda si mrefu hapa ila nadhani watu kama Jakaya walijua sana kuheshimu ukiristo kama ilivyo kwa usilamu
Nje ya mada Paskal natamani kuona Majaliwa anakuwa Rais wa nchi siku Moja ukinipinga nabadili mawazo🙌

Yule wmbae kimsingi alitakiwa kujiuzuru baada ya kuonekana kuongepea Taifa kuwa JPM alikuwa mzima akichapa kazi kumbe hi mahututi sana ??
Au sio huyo ?
 
Paskali ungeongea haya maneno kwenye utawala wa Sharia, hukumu yako ni kifo tu.
Uislamu na Qurani na Muhammadi hawana Neno msamaha.
Shoga ni lazima achinjwe?

Ni kwamba wanajiona kama ni Malaika. wa Nuru.


Wakati wanakubaliana na kuabudu Majini.?!
 
Dini pekee duniani ni Uislam, kwa hiyo hawa jamaa wakiona Muislam anafanikiwa au kafanikiwa fnafsi zao zinawasuta na roho zinawauma "kwanini huyu?", wanashindwa kujizuwia.

Wamejazwa sana ujinga kuhusu Uislam, Waislam.

Uislam ni mwema sana, msiuogope. Uislam ndiyo uliowatoa tongo tongo hata hao wamisionari. Wasingekuwa na "Alphabet" kama siyo Alif, be, te.


Kwa huko kukubaliana na kuabudu Majini ?

Majini ni mashetani.
 
Sisi mpaka leo tuna mila zetu nyie mila zenu ndio ulevi na wizi


Sitetei dhambi .
Lakini na nyie dhambi iwazongayo upesi na kuwatawala ni uchawi na ushirikina na ibada za majini.
Sasa afadhali ya mlevi analewa kujifurahisha nafsi yake bila kumdhuru mtu mwingine ,
Je Mchawi na mshirikina ambae kazi yake ni kuharibu maisha ya watu , kuua, kutia WAT-u magonjwa, kufarakanisha watu, kuharibu ndoa, kufunga Watu uzazi n.k yupi ni afadhali. ??
Kato ya mlevi na Mchawi ??
 
Hadi miaka ya mwanzoni mwa Uhuru wa Tanganyika Waislam wasomi walikuwa wanahesabika.
Sababu wengi walichelewa kufanya maamuzi ya kwenda Shule maana walikuwa wanaogopa kwenda kubatizwa na kulishwa nyama ya nguruwe.
Sababu hizo na nyinginezo zikapelelea kuwa na pengo kubwa sana katika idadi ya wasomi wakristo na wasomi waislam.
Ni sababu ya kihistoria.
Na wakristo wa kitanzania sio walosababisha wao wako innocent.
Hiyo ilitokana na mfumo wa kikoloni.
Sababu hata wakristo watanzania nao wakifanya kuamua kuipokea hiyo dini kabla ya hapo waliamini katika dini za kienyeji za mababu.
Sasa chakushangaza ile ule uzushi wa kusema kuna mfumo Kristo unaopendelea Wakristo , sio kweli na muogopeni Mungu wenu.
Semeni iliyo haki.
Mwenye nacho huongozewa na asomacho kupinguziwa.
Sababu wakristo wameendelea kuongezeka kusoma pengo nalo linaongezeka.
Hata zikotangazwa nafasi za kazi wasomi wakristo watajitokeza wengi kuomba na kushindana na sio upendeleo.
 
Sababu nyingine ni kama hizo za kuoa na kuolewa mapema , dini yenu ina support hayo badała ya ku-focus kwenye kuendelea na masomo ya elimu za juu Halafu mje kusema kuna upendeleo ?’
Hebu Muogopeni Mungu wenu.
Semeni iliyo kweli na haki.
 
Hii thread ina bunch of logical fallacies na kutumia made up stereotypes kama basis of facts. While simultaneously ignoring the fundamental qualities zilizoshared za binadamu wote. Nikipata muda nitai-dissect with prestine logical accuracy.

But in all of honesty, hakuna mtu mwenye dini mwenye uwezo kuliko mwingine, that fact alone cancels itself.
 
Sina kumbukumbu za Makambas kusoma shule za mission, ni Yusufu ameoa mwanamke Mkatoliki, hajawahi badili dini!, jina la January ni la KiKristo, na kwa sisi Wakatoliki, Muislamu ukioa mwanamke Mkristo Mkatoliki, watoto ni wa Katoliki!.
P
Hapo kwa muislam akioa mkatolik watoto ni wakatolik umetudanganya. Nimeshudia wakatoliki wanawake/wanaume wanapokufa wanatengwa na kanisa, na hawapewi huduma ya kanisa kisa kuishi na muislam au mchumba sugu
 
Hapo kwa muislam akioa mkatolik watoto ni wakatolik umetudanganya. Nimeshudia wakatoliki wanawake/wanaume wanapokufa wanatengwa na kanisa, na hawapewi huduma ya kanisa kisa kuishi na muislam au mchumba sugu
Kutengwa ni dini zote zinatenga unapokwenda kinyume, hivyo hao wanaotengwa wanapokufa, hawategwi kwasababu wameolewa na Waislamu, Wakatoliki wanatengwa kwa kutoshiriki sala za Jumuiya Ndogo, Wakutheri na Waanglicana kuna kosa unakuwa umelitenda ukaondolewa kundini, ukifa bila kurudishwa kundini, ndipo unatengwa.

Sisi Wakatoliki tuna mpaka mafuta ya utakaso, yanaitwa krasma, ukipakwa kabla hujafa, dhambi zako zote zinafutika unakwenda straight mbinguni, peponi hata JPM ndio yuko huko Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
 
Kutengwa ni dini zote zinatenga unapokwenda kinyume, hivyo hao wanaotengwa wanapokufa, hawategwi kwasababu wameolewa na Waislamu, Wakatoliki wanatengwa kwa kutoshiriki sala za Jumuiya Ndogo, Wakutheri na Waanglicana kuna kosa unakuwa umelitenda ukaondolewa kundini, ukifa bila kurudishwa kundini, ndipo unatengwa.

Sisi Wakatoliki tuna mpaka mafuta ya utakaso, yanaitwa krasma, ukipakwa kabla hujafa, dhambi zako zote zinafutika unakwenda straight mbinguni, peponi hata JPM ndio yuko huko Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Nina ushahidi na ninachokisema ukiishi uchumba sugu/ au muislam upewi huduma za kanisa labda kanisa likufumbie macho. Na hapa tuwashukuru wachungaji wa makanisa ya kilokole ndio wanaokuja kutoa huduma
 
Mfano hai
Chuo mlichopewa na Mkapa pale Morogoro, hakuna Mwanafunzi hata mmoja Mkristo.
{Cc. TCU. kwanini hicho chuo hakina mwanafunzi Mkristo hata mmoja ?}

Hicho ni chuo cha bure, vipi mngekijenga kwa pesa zenu.

Halafu muwasomeshe mnaowaita Makafiri ili wawe na maisha bora.
Never on this planet

Yaani nyie ni jamii ya kibaguzi haijawahi kutokea toka dunia iumbwe.

Mmebaki na neno moja tu
"Sisi ndio wenye Dini"
Ni kwann mnaongea bila utafiti ? Ulifika pale ukachunguza na kugundua hili? Kwa taarifa yako kuna mpaka jumuiya za wanafunzi wakristo na wanaishi comfortably sio hilo tu kuna mpaka wafanyakazi wasio waislam , tafuten taarifa kabla ya kukurupuka kuleta hoja humu
 
Nina ushahidi na ninachokisema ukiishi uchumba sugu/ au muislam upewi huduma za kanisa labda kanisa likufumbie macho. Na hapa tuwashukuru wachungaji wa makanisa ya kilokole ndio wanaokuja kutoa huduma
Lile tendo ni ibada, kulitenda bila kibali ni kuvunja amri ya 6!, kwa nini uishi na mtu bila ndoa?!, Kuishi na mtu bila ndoa ni dhambi ya uzinifu, walitakiwa kwenda kanisani kubariki ndoa ili kufanya tendo kihalali, kanisa linaruhusu Mkristo Mkatoliki kuoa au kuolewa na mtu wa dini yoyote Ali mradi watoto ni lazima wawe Wakatoliki, kinyume cha hapo ni kwenda kinyume!, na hao wachungaji wa vikanisa vya mchoro mchoro vya kupigia bingo, wanapojifanya kuokoa jahazi, ni kujifurahisha kwa nafsi zenu tuu nyinyi mliopo lakini kule mbinguni, moto uko pale pale!, ila kwa bahati nzuri tunaokolewa kwa neema tuu na sio kwa matendo.
P
 
Wanabodi,

Watanzania wote waliosoma enzi za mkoloni mpaka tunapata uhuru, tumekuwa na elimu ya aina 3. Shule za serikali, Government Schools, Shule za Mission, na elimu ya madras kwa ndugu zetu Waislamu.

Shule za serikali zilikuwa chache na zilichukua wanafunzi wachache tena vichwa kweli kweli, hivyo Watanzania wengi waliemika kupitia Shule za Mission.

Elimu ya madrasa iliwahusu Waislamu pekee, lakini shule za serikali na shule za Mission zilichukua watu wa dini zote bila ubaguzi wowote.

Hivyo Watanzania wengi wa zamani waliobahatika kusoma elimu ya secondary, walisoma shule za misheni.

Kilichofanya Wakristo wengi zaidi kuwa ni wasomi kuliko Waislamu, ni changamoto ya ada za shule.

Watoto wa mikoa yenye mazao ya biashara, waliweza kusoma zaidi kwasababu wazazi wao waliweza kulipa ada, kutokana na kupata kipato, lakini watoto wa mikoa ambayo haikuwa na mazao ya biashara ikiwemo mikoa yote yenye Waislamu wengi, hawakubahatika kupata elimu ya kisasa.

Hali hii ilipelekea hata uendeshaji wa harakati za uhuru, kuongozwa na wasomi Wakristo, mfano vyama vyote vya siasa vilivyopigania uhuru, kuanzia AA kiliongozwa na Mkristo, Cecil Matola, TAA ikaongozwa na Dr. Vedastus Kyaruzi na TANU ikaongozwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kitu kizuri sana Shule za Mission zilichowafanyia Watanzania, akitokea Mwanafunzi very bright, akafanya vizuri mitihani yake na kufaulu vizuri, wale waalimu wa shule za Mission, usually makasisi, waliwachukua watoto hao na kuwasomesha bure, hivyo ndio wengi wa wasomi wa Kiislamu walivyopatikana, hivyo watu kama Juma Mwapachu na nduguye Bakari, kina Hamza Aziz, Inspector Rashid na Waislamu wengi wa enzi hizo, walisoma sekondari kwa hisani ya Shule za Mission.

Hisani hii, sio kwa ndugu zetu Waislamu pekee, hata Wakristo kutoka maeneo ambayo hawana mazao ya biashara, hivyo umasikini wa kipato unasababisha watoto wao hawezi kulipiwa ada, na kutosoma sana.

Hivyo wasomi wa mikoa ya Singida na Dodoma, kama kina John Samwel Malecela na nduguye Job Lusinde, washukuru sana Mission, vinginevyo bila hisani ya Shule za Mission, kuna watu wangeishia kuchunga mbuzi au kupiga dufu au kuadhini tuu lakini sasa ni wasomi wazuri na waandishi mahiri kwa hisani ya Shule za Mission.

Hivyo hili ni bandiko la kuwakumbusha ndugu zetu Waislamu waliofaidika na hisani ya kusomeshwa shule za Mission, wakumbuke fadhila, wawe ni watu wa shukrani, wawashukuru sana Wakristo, wazishukuru shule za Mission walizosomea, na kuwashukuru wale Makasisi waliowaokoa.

Ukifadhiliwa, usiwe mtovu wa fadhila, haiwezekani mtu ufadhiliwe shule za Mission, usome bure, halafu kila uchao ni kuwabeza tuu hao Wakristo waliokusomesha elimu yao hadi unaweza kuandika kwa kuwadogosha na kuwatukuza na kuwakweza Waislamu, mara kulalamikia mfumo Kristo, mara kulalamika, Waislamu wanabaguliwa kielimu, mara hivi mara vile...

Baada ya uhuru, Mwalimu Nyerere akataifisha shule zote za mission na Hospital zote za mission na kuigeuza za serikali, akatoa elimu bure kwa wote tangu darasa la kwanza hadi la chuo kikuu ili Watanzania wote wa dini zote na makabila yote wapate haki sawa ya elimu ya juu.

Wakati huo tukitumia mitaala ya Cambridge na mitihani ya Cambridge, bado walioingia sekondari ni watoto wa makabila yale yale, Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa, Wasukuma, Wahehe, na watu wa dini ile ile!.

Nyerere akafuta mitihani Cambridge, tukaanzisha Baraza letu la mitihani na mitaala yetu, mitihani tukatunga wenyewe, bado wanaopasi ni makabila yale yale na dini ile ile.

Ndipo tukakubali ukweli mchungu kumbe kiwango cha IQ hakifanani kwa dini zote na makabila yote, ikakawa sasa inafanyika affirmative action ili ndugu zetu hawa nao wasome na makabila yote wasome, kwa kuweka different cut off points maeneo tofauti tofauti. The highest ni Bukoba cut off point ni 90, Kilimanjaro 80, Mbeya 70, Iringa, Kanda ya Ziwa 60. Muslim dominated areas 40, primitive tribes ikashushwa mpaka 0 kwa Hadzabe, na wakasomeshwa kwa nguvu mpaka form 4 na wote wakapata zero!.

Utaratibu huu ulisaidia sana Watanzania wote kupata fursa za elimu ya juu. Bakwata na taasisi za Kiislamu pia zikaanzisha sekondari za elimu dunia, japo performance ya Shule ya Islamic Seminary ilikuwa... niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!. pia niliwahi kuuliza Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Na hata baada ya Waislamu kusoma Shule za Mission by default, lakini sasa, nina rafiki zangu wengi ambao ni Waislamu, lakini wanasomesha watoto wao Shule za Mission, by choice, kutokana na ubora wa elimu unaotolewa na Shule za Mission, hawa wana appreciate sana Wakristo na Shule zetu, ila baadhi ya wale waliosomeshwa na Mission, badala ya shukrani ni kuwabeza tuu kila uchao!, jambo hili halina karma njema!, badilikeni shukuruni!

Hitimisho,
Tanzania ni circular state, haina dini, ila watu wake wana dini zao, ni muhimu sana watu humu tukawa na religious tolerance ya kuzivumilia dini na imani za wengine bila kuzibeza na kuzichokoa from time to time.

Kuwa appreciative ni pamoja na Wakristo kuwa na shukrani kwa Waislamu na mfono mzuri ni mimi mwenyewe nilipopandisha bandiko hili Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling hapa nilieleza jinsi viongozi Waislamu walivyo waungwana. Uungwana huu haupo kwa viongozi Wakristo hivyo unaweza kuwa umechangiwa na ile elimu ya madrasa.

Ndugu zetu Waislamu mliofaidika na shule za Mission, kuweni na shukrani kwa aliyewafikisha hapo nikitolea mfano mmoja wa Wanazuoni wasomi wa Kiislamu waliosomeshwa Shule za Mission, ambaye angalau ana shukrani, Mkuu Maalim Mohamed Said kama anavyoeleza mwenyewe


wakati alichangia uzi wangu huu Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!
Paskali
Rejea ya Nyuzi nyingine za mwandishi kuhusu kuwa na shukrani, appreciation
Huu ni ulevi na kibri.
 
Back
Top Bottom