Waislamu Mnafeli wapi?

Waislamu Mnafeli wapi?

Faith transcends logic, which means through faith we understand.

At first, faith and logic seem to be contradictory to each other, yet understanding seems to transcend or to rise above logic

Through faith we understand many things that at first appear quite illogical to us.
 
Faith transcends logic, which means through faith we understand.

At first, faith and logic seem to be contradictory to each other, yet understanding seems to transcend or to rise above logic

Through faith we understand many things that at first appear quite illogical to us.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
 
Wewe umethibitisha hayupo?
Wewe ndio uache longolongo Kwa kudhani kwamba elimu yako ya logic ndio jibu Kwa kila jambo.
Nikuambie tu kuwa una mkwamo wa fikra hapo ulipo ndio maana kila mahali ume stick na hiyo hoja ya thibitisha Mungu yupo.
Wewe umethibitisha hayupo?
Unataja na kutamka kila uchao kitu ambacho Kwa ufahamu wako unajua hakipo,ni dhahiri shayiri kuwa kinakutesa na uwepo wake,sasa unapambana vita usiyoweza kushinda ya kutaka kulazimisha kuwa hakipo.
Akili yako inakusumbua.
Lete uthibitisho kuwa hakipo.
Mimi na wengine tumeshathibitisha kuwa Mungu yupo.
Kwa Imani tumethibitisha Mungu yupo.
Najua mara Moja utakimbilia kwenye hoja zako za siku zote zisizonyumbulika kuwa ni Abstract,yes ni Abstract Kwa mujibu wako.
Ni dhahiri Kwa mujibu wa Imani zetu,wale tuaminiao.
 
Kwa kifupi huna ufahamu kuhusu Imani ya Mungu ndio sababu imekuwa ngumu kwako kuamini na ku stick kutaka uthibitisho.
Kwa Imani tunapata kufahamu na Kujua kuwa Mungu yupo,Imani inatubadilisha sisi na kuweza kufahamu na kuruhusu uwepo wa jambo lisilo onekana kuwa dhahiri.
 
Mimi huwa najiuliza hivi kwanini huyo mungu asijithibitishe mwenyewe anawaachia watu mzigo mzito wa kumjibia maswali magumu?
 
Mimi huwa najiuliza hivi kwanini huyo mungu asijithibitishe mwenyewe anawaachia watu mzigo mzito wa kumjibia maswali magumu?
Hawezi kujithibitisha yupo.

Kwa sababu hayupo.

Asiyepo atajithibitishaje kwamba yupo?
 
Mimi huwa najiuliza hivi kwanini huyo mungu asijithibitishe mwenyewe anawaachia watu mzigo mzito wa kumjibia maswali magumu?
Zaburi 53:1

Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu!” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema.

WAPUMBAVU WAZIDI KUONGEZEKA NA WANA JAZBA KWELI KWELI.
 
Zaburi 53:1

Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu!” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema.

WAPUMBAVU WAZIDI KUONGEZEKA NA WANA JAZBA KWELI KWELI.
Sasa ndio umtoe huo upumbavu kwa kumthibitishia kwamba mungu yupo sio kuleta hayo mashairi unayoleta hapa
 
Sasa ndio umtoe huo upumbavu kwa kumthibitishia kwamba mungu yupo sio kuleta hayo mashairi unayoleta hapa
Zaburi 53:1

Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu!” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema.

WAPUMBAVU WAZIDI KUONGEZEKA NA WANA JAZBA KWELI KWELI.


Upumbavu wako omba Mungu akupe hekima ya kuachana nao sio Mimi.
Mimi nakupa habari tu.
Huelewi pita hivi,unaelewa swallow your ego.
 
Zaburi 53:1

Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu!” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema.

WAPUMBAVU WAZIDI KUONGEZEKA NA WANA JAZBA KWELI KWELI.


Upumbavu wako omba Mungu akupe hekima ya kuachana nao sio Mimi.
Mimi nakupa habari tu.
Huelewi pita hivi,unaelewa swallow your ego.
Kwaiyo mtu kutoamini unachokiamini wewe ni upumbavu sio?
 
Mimi sipendi mabishano ya kidini.
Ujue dini Ni mkataba Kati ya mtu na muumba wake, haimhusu MTU mwingine.
Sasa hizi habari Mara dini ya haki, Mara makafir, Mara shehe ubwabwa, Mara mabikra 70 nadhani hapa sio mahali pake.
 
FB_IMG_1699847633204.jpg
 
Sio dhana ya kufuga Majini.
Bali ni kwamba Majini ni washirika wenzenu kwenye Dini ya Kiislamu.

Mfano wewe ni imamu
Unaposwalisha Majini maislamu nayo yanakuja kuhudhuria swalisha yako.

Je unayawekea vipi mazingira yao mazuri.
Unayakaribishaje
Unayaagaje baada ya swala.

Ndio maana nakuambia mwislamu bila kujua ulimwengu wa Kijini bado hujakuwa mwislamu.

Wale masharifu watoto ni kwamba wanapagawa na Majini maislamu wakiwa bado wachanga, ambayo Majini yanawapa uwezo wa kuikariri qurani yote pamoja na hadithi zake na kujua maana yake.
Bila kusoma chuo chochote.

Yuko Sharifu mmoja anajiita kabisa jina lake Shehe Sharifu Majini.
Unaweza kumwona akakupa ufafanuzi zaidi

Kwa taarifa yako kila mnapo swali na majini waislamu wanakuwepo.

Ndio maana unasikia Waislamu wanafuga Majini.
Ni kwamba ili uujue uislamu basi ni lazima uwajue Majini.
Na uwaelewe namna ya kuhusiana nao.
Kuna ukweli flani hapa, namm naongezea kwanini kitabu chao tukufu kinaweza kupigwa kisomo na kutumwa jini likaenda kumdhuru mtu na kuuwawa na hilo jini au kumdhuru hata kua chizi,utasikia huyo aliiba akapigwa albadili
 
🍹
 

Attachments

  • 20231114_115252.jpg
    20231114_115252.jpg
    69.7 KB · Views: 5
Kumekuwa na dhana kwamba waislamu wanafuga majini kitu ambacho si kweli kabisa na hata Dini hairuhusu hivyo.

Mwenyezi Mungu anasema hakuumba majini na watu Ila isipokuwa wamwabudu Mola wao,ebu tuangalie Maandiko;

((Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.))
51:56

Kwahiyo Majini na wanadamu waliumbwa Kwa lengo moja Tu la kumwabudu Mola wao na sio vinginevyo.

Lakini bahati mbaya Sana kuna baadhi ya waislamu ambao hushirikiana na majini katika mambo Yao,na hii sio waislamu Tu hata baadhi ya watu ambao sio waislamu hufanya hivyo pia,iwe Kwa kupiga ramli,kufanya miujiza huko kwenye nyumba za ibada na kadhalika.

Ila mazungumzo yangu Leo hapa nazungumza na waislamu, kuna baadhi ambao huwa na haya maruhani/majini ambayo wenyewe huyaita majini Waziri kwakuwa Tu yanawasaidia katika mambo Yao. Naomba niwaambie kuwa hakuna majini mazuri ambayo yanakaa mwilini mwa mtu hata kidogo,hayo ni mabaya na machafu,jini ambaye ameumbwa ili kumwabudu Mola wake hawezi kuja kufanya makazi katika mwili WA mtu kwakuwa hayo ni makosa na amekiuka sababu ya kuumbwa kwake kabisa.

Wanao mwabudu Mola wao wapo kwenye makazi Yao ya kijini na wanaendesha Maisha Yao huku wanamwabudu Mola wao,kwahiyo acheni kuwa watumwa WA hayo majini,kwani hakika mwisho wenu utakuwa sio mzuri.

Ebu tuangalie maongezi haya ya majini kama yalivyoelezwa katika Qur'an ;

((Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.))
72:6


Haya ni maongezi ya Majini baada ya kusikia Qur'an na kumwamini Mola wao,ndio wanahadithia kuwa kuna wanadamu wanaume ambao walikuwa wanatafuta hifadhi toka Kwa majini lakini matokeo yake wakazidishiwa madhambi. Na huo ndio ukweli kuna watu ambao wanaamini majini kuwa ndio watawalinda hapa duniani,na huwa hawafanyi Jambo lolote mpaka washaurieni na majini wao,hakika hiyo ni kufuru kubwa kumwamini kiumbe wa Mwenyezi Mungu kuwa ndio anakuwezesha kufanikiwa Kwa mambo hapa duniani.

Na mwisho wa siku shetani/ hayo majini machafu ambayo yameacha kusudio la kuumbwa kwao na kuja kushirikiana na wanadamu,mwisho wa siku yatawakana na kuwaambia ukweli, tuangalie Aya ifuatayo;

(Na Shet'ani atasema itapo katwa hukumu: Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakini sikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu).
14:22


Hakika kuna Aya nyingi Sana juu ya majini kuwapotosha wanadamu na kuwaingiza Motoni,kubwa ni kujua kwamba hakuna majini ambao wanatakiwa kushirikiana na binadamu kwani wao Wana Maisha Yao na wanadamu tuna yetu,ushirikiano wowote baina yetu ni upotovu na mwisho wake ni jehenamu.

Mambo mengi na Mda ni mchache!

Ni hayo Tu!
Uislam una amfundisho yake, usimfate mtu kwa kuwa tu anajiita "Muislam" au "sheikh", fata mafundisho yake, Uislam siyo dini ya kuifata kama kipofu tu au kama wajinga ndiyo waliwao.

Soma Qur'an.
 
Back
Top Bottom