Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Waislamu nchini Kenya wamekosoa vikali tabia ya baadhi ya vijana kuvaa mavazi yasiyo ya heshima na kutoa mwito kwa serikali ya Kenya kuiga mfano wa Uganda ambayo inashinikiza mavazi ya heshima hasa katika maeneo ya umma.
Chanzo; Pars today
Chanzo; Pars today