Waislamu msikae kizembe, Mtume Muhammad (S.A.W) amecheza michezo mingi ya burudani katika maisha yake

Waislamu wamekaa kizembe! wakati mitaani wanaoongoza kwa kumiliki mikanda ya karate ni masheikh?
Umesahau masime, visu, magobole, na mabomu ya kurusha kwa ajili ya kuua watu wanaosema ukweli dhidi ya dini yao. Ukisoma baadhi ya nukuu za Mohammed utaona kama vile alikuwa na wivu na Wayahudi na Wakristo wakati yeye mwenyewe alikuwa mpagani tu.
 
Hivi kumbe chanzo chako ni hadithi na sio Quran!

Vipi kwa wale waislamu walioamua kuiamimi Quran pekee na sio hizo ngano ulizoweka, ni wapi Quran inawaambia wacheze
Kama wameamua kuamini Qur an pekee ndio watajua wenyewe michezo ipi wacheze
 
nipo nje ya mada ila nasikia alioa binti wa miaka 9, duh kuna ukweli hapo Sheikh naomba unielimishe
Sasa hapo alioa au alibaka?mtoto wa miaka 9 kwa dunia ya leo si ni bado mdogo sana huyo hata matiti hana?
Labda kama ulimaanisha miaka 19.
 
Mkuu unaielewa ile miskiti ya Ansar Sunna ambayo Baada Salaatul Ishaa waumini walikua wanajifungia ndani kwa Ajili ya mafunzo ya Karate ?
Pesa walikua wanatafuta saa ngapi?
Elimu dunia je?
 
Waislamu wamekaa kizembe! wakati mitaani wanaoongoza kwa kumiliki mikanda ya karate ni masheikh?
Ukitaka kujua waislamu ni wababe angalia tu mabondia bora wa nchi hii ni kina nani?

Hassan Mwakinyo
Abdallah Pazi"dullah Mbabe"
Twaha Kiduku
 
Hivi kumbe chanzo chako ni hadithi na sio Quran!

Vipi kwa wale waislamu walioamua kuiamimi Quran pekee na sio hizo ngano ulizoweka, ni wapi Quran inawaambia wacheze
Kuamini quraan pasina kufata maisha ya mtume ni uwongo, mtume ndio tafsiri ya quraan, mungu anasema mswali mmaswali vipi, yeye ndio alikiwa anaonesha, mtume ndio kiigizo chema. Changamoto kwenye hadithi watu wameingiza na mengine kwa faida zao, ukiona hadithi inakinzana na quraan ikwepe.
 
Mkuu,hivi mtume Mohamed aliwahi kufanya muujiza gani na gani?
 
Napata tabu sana,watu wa leo,kuamini,masimulizi na kuruhusu maisha yao yaendeshwe kwa kutumia mawazo na busara za watu walioishi miaka zaidi ya elfu moja iliyopita!!,there must be a problem in people's brain!
 
Mkuu,hivi mtume Mohamed aliwahi kufanya muujiza gani na gani?
Muujiza kwako wewe ni nini mkuu? Niwie radhi kama nitakuwa nimekukwaza mkuu.

Kisha nitakueleza miujiza ya mtume(s.a.w)
 
PS 4 ruksa?
Unalicheza tu, ila usiangalizie X. Usicheze adults video games.

Uharamu wake utaingia kama muda wa ibada ukafika ukapuuzia, ukaitwa hata na mzazi ukasonya ama usiende kabisa, ukapewa salamu usiitikie, ukikosa goli, au gari ikapata ajali usitukane na vitu ka hizo.
 
Kama aliyofanya Yesu kristo mnazaleti.
Japo hujaeleza maana ya muujiza ila nimekuelewa unachomaanisha.

Mtume (s.a.w) nae alifanya miujiza kadhaa kama ambavyo mitume wengi walifanya miujiza kwa amri ya mola wao mtukufu.
Alifanikisha chakula kidogo kushibisha watu elfu 1. Maji kumbubujika vidoleni n.k n.k

Kuna kakitabu ninako kabaadhi ya miujiza ya mtume naweza nikakupa ukaongeza Ongeza chief.
 
Hako kakitabu ni softcopy mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…