Waislamu msikae kizembe, Mtume Muhammad (S.A.W) amecheza michezo mingi ya burudani katika maisha yake

Lakini michezo yenyewe imekaa kujihami [emoji2][emoji2][emoji2] vipi kuhusu muziki sheikh na mvinyo kidogo ?
 
[emoji23]
 
Duh aiseee mna mambo mara ni haram mara imehalalishwa hamna misimamo

NB; Zenji hawaruhusu mieleka wala ngumi
Huna jipya ww ni bora ungekaa kimya tu ungestirika kwan kile kisiwa kina inauhusiano gani Na maswala ya kiiman
 
Kwahyo unataka useme Quran haijitoshelezi ?

Kwamba, mtu akiamini Quran pekee bila hadithi atakwama mwa sababu Quran haijitoshelezi ?
 
Muislamu ambae anaamini Qur'an pekee hajawa muislamu safi huyu mana mambo mengi yatamfunga bila.ya kutumia hadithi sahihi
Vizuri.

Unataka kusema Quran haijitoshelezi ?
 
Kwahyo unataka useme Quran haijitoshelezi ?

Kwamba, mtu akiamini Quran pekee bila hadithi atakwama mwa sababu Quran haijitoshelezi ?
Mtume ni sehemu ya quraan, huwezi kutenganisha.
Mtume ndio tafsiri ya quraan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…