Yehoshafati
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 298
- 596
Ila cheti chake cha kuzaliwa kinatumia tarene mwezi na miaka hiyohiyo isiyomuhusuMuislam alie soma dini yake hawezi kusherehekea sherehe zenu za kidini hata chakula chenu haruhusiwi kula.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila cheti chake cha kuzaliwa kinatumia tarene mwezi na miaka hiyohiyo isiyomuhusuMuislam alie soma dini yake hawezi kusherehekea sherehe zenu za kidini hata chakula chenu haruhusiwi kula.
Psychological disoderMental case
Na ww acha kutumia tarakimu kwa sababu zilibuniwa na waisilam huna akili.Andika mwaka wa kiislamu katika taarifa zako.....msitumie kalenda yetu ya kikristo ..tumieni kalenda ya kiislamu .....
Lakini hiyo tarehe yako unatakiwa kuiandika kwa namba zilizo buniwa na waarabu.Ila cheti chake cha kuzaliwa kinatumia tarene mwezi na miaka hiyohiyo isiyomuhusu
MuHeri ya sikukuu ya mwakampya kwa wakristo wote
Waislamu wengi husherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Kidunia (Januari 1), ingawa sherehe hii si ya kidini kwao. Kwa Waislamu, mwaka mpya huadhimishwa kulingana na kalenda ya Kiislamu (Hijria), ambapo mwaka mpya wa Kiislamu huangukia katika mwezi wa Muharram, na sio Januari. Hivyo, Waislamu hawashereheki Sikukuu ya Krismasi (Xmas) wala Mwaka Mpya wa Kidunia kama sherehe za kidini.
Hapa ndipo waislamu hasa waswahili hujisahaulisha kwamba na wao wanahusika na mwaka mpya wa kikristo ilihali waligomea krismasi
Wengi wa Waislamu hushiriki katika sherehe za Mwaka Mpya wa Januari 1 kwa kusherehekea na jamii nyingine, kwa kufanya matukio ya kijamii kama vile kula pamoja, kwenda matembezini, au kuungana na familia na marafiki kinyume na dini yao kwa kuutambua mwaka mpya unaoanza januari, na sio kutokana na umuhimu wa kidini wa sherehe hiyo kwa Waislamu.
Hivyo, tunaomba ndugu waislamu mtuachie sikukuu yetu hii tupike vyakula vyetu kitimoto ikijumuishwa na kunywa vinywaji vya kila aina.
Happy new year, 2025.
Mod ndo wanaoulea.Hivi humu JF kuna shida gani mbona ni kama uislamu na ukristo ni vita, tangu nimejiunga naona machapisho ya kupondana kidini, shida ni nini..? Acheni kujigawa hakujengi umeamini ukristo ndio njia yako ya maisha sawa na kama umeamini uislamu ndio njia yako ya maisha sawa ila izi mada zakujigawa kidini hazijengi kitu
Mu
Hivi unadhani wakristo wote wanakubaliana na kila kitu? Huyo katoa mawazo yake ambayo mimi naona ni ya kitoto sana. Hata kwenye ukristo tarehe 1 January siyo sikukuu ya kidini.Mbona mnapingana Tena .... Mbona wenzako wanasema muislamu safi hashangilii mwaka mpya ...
Sherehe za mwezi wa Januari zinaanzia enzi za Roma ya kale na zinahusiana sana na kalenda ya Kirumi pamoja na miungu yao. Mwezi wa Januari umepewa jina la Janus, mungu wa Kirumi wa milango, malango, na mwanzo. Janus alichorwa akiwa na nyuso mbili: moja inayotazama mbele kwa siku zijazo na nyingine inayotazama nyuma kwa siku zilizopita. Alisimama kama ishara kamili ya mpito kutoka mwaka wa zamani hadi mwaka mpya.Heri ya sikukuu ya mwakampya kwa wakristo wote
Waislamu wengi husherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Kidunia (Januari 1), ingawa sherehe hii si ya kidini kwao. Kwa Waislamu, mwaka mpya huadhimishwa kulingana na kalenda ya Kiislamu (Hijria), ambapo mwaka mpya wa Kiislamu huangukia katika mwezi wa Muharram, na sio Januari. Hivyo, Waislamu hawashereheki Sikukuu ya Krismasi (Xmas) wala Mwaka Mpya wa Kidunia kama sherehe za kidini.
Hapa ndipo waislamu hasa waswahili hujisahaulisha kwamba na wao wanahusika na mwaka mpya wa kikristo ilihali waligomea krismasi
Wengi wa Waislamu hushiriki katika sherehe za Mwaka Mpya wa Januari 1 kwa kusherehekea na jamii nyingine, kwa kufanya matukio ya kijamii kama vile kula pamoja, kwenda matembezini, au kuungana na familia na marafiki kinyume na dini yao kwa kuutambua mwaka mpya unaoanza januari, na sio kutokana na umuhimu wa kidini wa sherehe hiyo kwa Waislamu.
Hivyo, tunaomba ndugu waislamu mtuachie sikukuu yetu hii tupike vyakula vyetu kitimoto ikijumuishwa na kunywa vinywaji vya kila aina.
Happy new year, 2025.
Yaani mpaka inaudhi!!!!Hivi humu JF kuna shida gani mbona ni kama uislamu na ukristo ni vita, tangu nimejiunga naona machapisho ya kupondana kidini, shida ni nini..? Acheni kujigawa hakujengi umeamini ukristo ndio njia yako ya maisha sawa na kama umeamini uislamu ndio njia yako ya maisha sawa ila izi mada zakujigawa kidini hazijengi kitu
Mu
Ila cheti chake cha kuzaliwa kinatumia tarene mwezi na miaka hiyohiyo isiyomuhusu
Unaona upumbavu wako, uislamu na bia wapi na wapi?Hapa nawaona wengi tu nao wanakesha kuusubiri 2025 kwa shangwe na bia
Calendar hii ya gregorian ni marekebisho ya calendar ya Julius Caeser aliyoiandaa 647BC,haina uhusiano na ukristu,hata hivyo Quran inatambua calendar ya jua na mweziHeri ya sikukuu ya mwakampya kwa wakristo wote
Waislamu wengi husherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Kidunia (Januari 1), ingawa sherehe hii si ya kidini kwao. Kwa Waislamu, mwaka mpya huadhimishwa kulingana na kalenda ya Kiislamu (Hijria), ambapo mwaka mpya wa Kiislamu huangukia katika mwezi wa Muharram, na sio Januari. Hivyo, Waislamu hawashereheki Sikukuu ya Krismasi (Xmas) wala Mwaka Mpya wa Kidunia kama sherehe za kidini.
Hapa ndipo waislamu hasa waswahili hujisahaulisha kwamba na wao wanahusika na mwaka mpya wa kikristo ilihali waligomea krismasi
Wengi wa Waislamu hushiriki katika sherehe za Mwaka Mpya wa Januari 1 kwa kusherehekea na jamii nyingine, kwa kufanya matukio ya kijamii kama vile kula pamoja, kwenda matembezini, au kuungana na familia na marafiki kinyume na dini yao kwa kuutambua mwaka mpya unaoanza januari, na sio kutokana na umuhimu wa kidini wa sherehe hiyo kwa Waislamu.
Hivyo, tunaomba ndugu waislamu mtuachie sikukuu yetu hii tupike vyakula vyetu kitimoto ikijumuishwa na kunywa vinywaji vya kila aina.
Happy new year, 2025.
Hakuna calendar ya kikristoIla cheti chake cha kuzaliwa kinatumia tarene mwezi na miaka hiyohiyo isiyomuhusu
Unamjua huyo Gregory ambaye calender inatumia jina lake alikuwa nani?Calendar hii ya gregorian ni marekebisho ya calendar ya Julius Caeser aliyoiandaa 647BC,haina uhusiano na ukristu,hata hivyo Quran inatambua calendar ya jua na mwezi
Papa gregory aliagiza wanahisabati wahariri calendar ya Julius Caeser,ikiwa wajua maana ya kuhariri, Julius Caeser hakuwa mkristu,na Papa kipindi hicho alikua kiongozi wa dola,haina uhusiano na ukristu,ni sawa na khawarizmi na algorithms,useme algorithms ni islamic, utakua mjingaUnamjua huyo Gregory ambaye calender inatumia jina lake alikuwa nani?
Alikuwa Papa Wa kanisa Katoliki. Nenda google search Pope Gregory XIII. Kanisa ndio lilitengeneza hii calender chini ya papa Gregory.... na ndio maana Inaitwa Gregorian calendar
Gregorian calendar ni kazi ya kanisa.
Heri ya sikukuu ya mwakampya kwa wakristo wote
Waislamu wengi husherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Kidunia (Januari 1), ingawa sherehe hii si ya kidini kwao. Kwa Waislamu, mwaka mpya huadhimishwa kulingana na kalenda ya Kiislamu (Hijria), ambapo mwaka mpya wa Kiislamu huangukia katika mwezi wa Muharram, na sio Januari. Hivyo, Waislamu hawashereheki Sikukuu ya Krismasi (Xmas) wala Mwaka Mpya wa Kidunia kama sherehe za kidini.
Hapa ndipo waislamu hasa waswahili hujisahaulisha kwamba na wao wanahusika na mwaka mpya wa kikristo ilihali waligomea krismasi
Wengi wa Waislamu hushiriki katika sherehe za Mwaka Mpya wa Januari 1 kwa kusherehekea na jamii nyingine, kwa kufanya matukio ya kijamii kama vile kula pamoja, kwenda matembezini, au kuungana na familia na marafiki kinyume na dini yao kwa kuutambua mwaka mpya unaoanza januari, na sio kutokana na umuhimu wa kidini wa sherehe hiyo kwa Waislamu.
Hivyo, tunaomba ndugu waislamu mtuachie sikukuu yetu hii tupike vyakula vyetu kitimoto ikijumuishwa na kunywa vinywaji vya kila aina.
Happy new year, 2025.
Huu ni ugomvi.Heri ya sikukuu ya mwakampya kwa wakristo wote
Waislamu wengi husherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Kidunia (Januari 1), ingawa sherehe hii si ya kidini kwao. Kwa Waislamu, mwaka mpya huadhimishwa kulingana na kalenda ya Kiislamu (Hijria), ambapo mwaka mpya wa Kiislamu huangukia katika mwezi wa Muharram, na sio Januari. Hivyo, Waislamu hawashereheki Sikukuu ya Krismasi (Xmas) wala Mwaka Mpya wa Kidunia kama sherehe za kidini.
Hapa ndipo waislamu hasa waswahili hujisahaulisha kwamba na wao wanahusika na mwaka mpya wa kikristo ilihali waligomea krismasi
Wengi wa Waislamu hushiriki katika sherehe za Mwaka Mpya wa Januari 1 kwa kusherehekea na jamii nyingine, kwa kufanya matukio ya kijamii kama vile kula pamoja, kwenda matembezini, au kuungana na familia na marafiki kinyume na dini yao kwa kuutambua mwaka mpya unaoanza januari, na sio kutokana na umuhimu wa kidini wa sherehe hiyo kwa Waislamu.
Hivyo, tunaomba ndugu waislamu mtuachie sikukuu yetu hii tupike vyakula vyetu kitimoto ikijumuishwa na kunywa vinywaji vya kila aina.
Happy new year, 2025.
Ukweli ni ugomvi?Huu ni ugomvi.
Kuna muda hutakiwi kuusema ukweli ili uishi na majirani kwa amani.Ukweli ni ugomvi?