Waislamu Tunadai nini Kwenye Katiba Mpya?

Waislamu Tunadai nini Kwenye Katiba Mpya?

Ukiamua kuingia JF uwe tayari kuwa wazi na usionekane mtu anayetafuta huruma ya watu hapa. Me binafsi sina ugomvi na kikundi cha watu wa imani fulani kutaka nini kiwemo kwenye katiba ili mambo yao yaweze kwenda. Lakini tukumbuke katiba siyo ya dini fulani wala ya kikundi kidogo cha watu wanaohitaji matakwa yao yaingizwe ili waishi vizuri. Tukiuchukulia mchakato wa katiba kwa mtazamo huu hatuwezi kupata katiba ambayo italijenga Taifa, ila makundi ya watu. Kwa mfano, CCM wana mambo yao ambayo wangelipenda yawemo kwenye katiba ili waendelee kubakia madarani milele daima, CHADEMA nao wana yao ambayo wanapenda yaingie ili washike dola, CUF tayari walishawasilisha mswada wa katiba, siyo mawazo...no mswada wa katiba kwenye wizara ya Sheria na Katiba. Vivyo hivyo NCCR, Tadea, TLP, ADC, Wakatoliki, Waanglikana, Wasabato, AIC, TAG, Full gospel bible fellowship, waalimu, madaktari, wabunge, Wakulima, Wafugaji, Machinga, Mama lishe na kila aina ya kundi ambalo unalifahamu.

Sasa fikiria tukigawanyika katika makundi haya na kila kundi likaainisha mahitaji yake na ndiyo kikawa kilio chao....tutapata katiba ya aina gani? Hapo kutakuwa na katiba kweli au utakuwa utani tunaleta. Maana kwenye madai ya waislamu haujasema kuwa UMILIKI WA ARDHI, MATUMIZI MAZURI YA RASILIMALI, MADARAKA YA RAIS, TUME HURU YA UCHAGUZI, MUUNDO WA MUUNGANO, MUUNDO WA SERIKALI, SERIKALI IWE NA WIZARA NGAPI ZA KUDUMU NA UKOMO UWE WIZARA NGAPI, KAMA NI MUHIMU KUWA NA WAKUU WA WILAYA, DAS, RAS, NA WAKURUGENZI KATIKA ENEO MOJA LA KUFANYIA KAZI, VIPI HAKI ZA WATOTO, na mengine mengi ya msingi. Haya hayahusiani na kundi lolote miongoni mwa makundi ambayo nimeyataja hapo juu. Tukisema kila mmoja alizungumzie kundi lake, nani atazungumzia masuala ya kitaifa kama ambayo nimeyaainidha kwa herufi kubwa hapo juu. Hauoni kuwa tutakuwa hatulitendea haki taifa letu?

Hivi waislamu mkipewa mahakama ya kadhi ndiyo kero zenu zitaisha? Tanzania ikijiunga na OIC, muislamu wa Kagera na Kigoma vijijini wananufaika nini na OIC? Au ni ulaji wa Mashekh tu? Na najiuliza kama mtaruhusiwa kupumzika na kutokufanya kazi siku ya ijumaa kero zinakuwa zimeisha? Mbona mimi mkristu Jumapili napiga kazi kama kawaida? Dini ni mapokeo tu...hapo awali kabla ya waarabu na wazungu hatukuwa na Ijumaa, Jumamosi wala Jumapili, tulikuwa tunafanya kazi kila siku za juma na mambo yetu yalikuwa safi kuliko hata sasa ambapo tunajifanya watu wa Mungu ilihali hatuzifuati amri zake...nini dini bwana? Angalia nchi ambazo zimejipambanua kuwa za kidini, Iraq, Iran, Libya, na sasa Sudan kaskazini, Yemen, Syria, Afghanstan na nyingine nyingi, mambo siyo shwari huko...kila siku watu wanakufa kama mbwa...!

Nashauri...tuangalie na tuchangie mambo ya msingi kwenye tume ya katiba. Tukileta mambo ya udini, wengine wataleta mambo ya ukanda, tutafika mbali na kuleta mambo ya ukabila ya Ukijiji, Hatutabaki salama. Tuzungumzie mambo ambayo yanatufanya kuwa wamoja kama watanzania. Dini kila mtu ana yake na wengine hawana kabisa na wanaishi, tena maisha mazuri bila stress, dini zenyewe za sasa, wachungaji, mapadri na mashehe wamekuwa wachumia tumbo...hakuna lolote...

Mwalimu Nyerere alisema, najua utapinga kwa sababu wewe Muislamu...."Hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya ubaguzi. Haiishi tu kusema wewe ni mkristo na mimi ni muislamu. Ukimaliza kusema mimi Mtanganyika na wewe Mzanzibar, tukifika pemba tutasema wewe Mpemba na mimi Muunguja, huku bara tutasema wewe wa Kaskazini na mimi wa kusini, Hata kwenye dini, leo unajiita muislamu na kuwaorganize waislamu mambo yenu...siku yakitokea ya kutokea, utasema wewe mshiha...na mimi msuni...wewe muislamu wa tabora na mimi wa mwanza....hadi makanisani....wote ni wakristo...lakini tutasema wewe mkatoliki, na mimi mlutheri...tutabaguana hadi kwenye familia zetu, na tukicheza na dhambi hii, tutaanza kubagua hadi viungo vya miili yetu....wewe mkono wa kushoto na wewe wa kulia." Dhambi ya ubaguzi siyo nzuri...

Maji yanatuunganisha wote, Maliasili zetu kama misitu, wanyama, madini, gesi, mafuta na makaa ya mawe yanatuunganisha wote kama watanzania. Tukipata katiba nzuri yenye mgawanyo mzuri wa madaraka, kupunguza madaraka ya rais, kuunda tume huru ya uchaguzi kuondoa wakuu wa wilaya, kutengeneza serikalil za majimbo, wote waislamu na wakristo tutafaidika na haya mambo...siyo habari za mahakama za kadhi, kuvaa hijabu, kuabudu...haya nimapokeo tu, yajadiliwe misikitini yaishie huko...sasa tukifikia kuweka kwamba sasa kuvaa hijabu ruksa...kwenye katiba, inakuwa nchi ya Kiislamu sasa. Au tuseme sasa Mahakama ya kadhi hiyo, serikali itagharamia....na wakristo wakidai yao....? Nani atasema serikali haina dini tena? Tuache hii mambo....Asante, naamini utakuwa umenielewa vyema.

TOGETHER WE CAN BRING THE CHANGES WE NEED...YES WE CAN...TUACHE UDINI...TANZANIA MBELE KAMA TAI...MENGINE YANAFUATA.....

Nakusifu sana kwa haya uliyoyasema. Huyu mwenye thread hii hajaisoma katiba vizuri na ajiulize kero za watu ktk nchi hii ni zipi? Hivi mm watoto wangu wakivaa hijab na km hawapati mahitaji muhimu km shuke, hospital, nk kwa sababu ya mgawanyo mbaya wa rasilimali itanisaidia nn? Haya yote anayoyadai ayasemee mskitini na madrassa yataisha. Vyote alivyosema haviondoi kabisa kero kwawananchi.
 
Waislamu Tunadai nini Kwenye Katiba Mpya?
  • Uhusiano wa kimataifa Tanzania ijiunge na OIC vinginevyo uhusiano na Vatican pia uvunjike.
  • Uhuru wa ibada utambuliwe (hivi sasa kuna uhuru wa imani na si uhuru wa ibada kwani waislamu wanapotekeleza baadhi ya ibada wanabughudhiwa. Mfano, kusali sala tano kwa wanafunzi, maaskari na wafanyakazi, uvaaji wa hijabu, ufugaji ndevu, bunge kuendelea siku za ijumaa, mitihani kufanyika siku za sikukuu za Idi n.k.)
  • Sheria za Kiislamu zitambuliwe na ziheshimiwe. Sheria za Kiislamu za ndoa, mirathi na talaka na haki za wanawake ziheshimiwe.
  • Siku za mapumziko zizingatie imani za dini na siyo wakristo peke yao (Jumamosi – Wasabato, Jumapili – Madhehebu mengine ya Wakristo).
  • Ubaguzi wa kidini unaofanywa na serikali usiwepo. Mfano, serikali kuingia mikataba ya kutoa pato la taifa kwa wakristo kupiti MoU.
Imetolewa na;
Sheikh Muhammad Issa


source
jukwaa la waislamu

Kweli ukikosa akili unakosa kila kitu. Hivi kweli TUME ipoteze muda kujadili NDEVU zenu?!!! Mtu ukiamua kuwa mchafu ufuge videvi kama beberu na kuwa na m'ba mpk kidevuni kwani nalo linahitaji ruhusa ya serikali? (Mambo ya aibu mliyotakiwa kuyaficha ndio mnayaweka mbele)

JUMAPILI: Wakristo hatusali Jumapili kwa kuwa Jumapili ni siku yetu. Hakuna sehemu kwenye Biblia kumeandikwa tusali Jumapili. Sisi tunasali kila siku na kila mtu kulingana na muda wake, ila kwa kuwa Jumapili ni Universal Public Holiday, tunakusanyika na kufanya DOMINICA. Sasa kutoelewa kwenu kunafanya muone ile ni siku maalum kwetu, no. Sisi tumeitumia kwa kuwa tayari ipo, lkn kusali ni KILA SIKU. Ukiwa na akili angalau kidogo, utagundua hata siku ya Mwaka Mpya (na sherehe zingine za serikali), kwa kuwa tupo nyumbani ni mapumziko, huwa tunafanya IBADA.

Bunge halisiti kufanya kazi JUMAMOSI kwa kuwa jumamosi na jumapili ni siku za kusali bali kwa kuwa ni PUBLIC HOLIDAY. Mnatia aibu wenzenu

WANAFUNZI KUSWALI SWALA 5: Hili sidhani hata kama mtakubaliana miongoni mwenu wenyewe kwa wenyewe. Hivi lazima ujinga uwe ndani ya katiba? Shida hapa ni kwamba hata mwandishi wa madai haya shule hajaenda. Ungekuwa umewahi kukanyaga shule ungegundua kuwa kila muhula una changamoto ya kutomaliza Syllabus. Muda ni mdogo na hivyoi wanafunzi hulazimika kupata masomo ya ziada. Cha ajabu, mtu mzima na akili zake ana-suggest kila baada ya nusu saa watoto waende msikitini. Halafu mkifeli mnasema baraza la mitihani linapendelea.

Mshangao wangu wa JUMLA: Kwa hiyo nyinyi kama Waislamu, mambo yooote yanayoikumba hii nchi nyinyi hayawahusu? Kwa hiyo nyinyi mnaaamini hii nchi itastawi kwa kuruhusiwa KUVAA HIJABU, KUFUGA NDEVU, KWENDA MSIKITINI KILA BAADA YA MASAA MAWILI n.k?

Hivi huwa mnatumia akili gani kuwajumuisha hata wenzenu waliosoma ktk matamko kama haya? Hivi POLISI na majukumu yake akavae HIJABU kweli? Midevu inaning'inia tena ya rangi nyekundu (polisi huyo) na makubazi?

Mimi mapendekezo yangu kwenye katiba mpya: Kiwango cha elimu kizingatiwe katika mtu kuwa kiongozi wa dini fulani. Hii itatusaidia kuepuka maoni ya ajabu ajabu namna hii.
 
Ukiamua kuingia JF uwe tayari kuwa wazi na usionekane mtu anayetafuta huruma ya watu hapa. Me binafsi sina ugomvi na kikundi cha watu wa imani fulani kutaka nini kiwemo kwenye katiba ili mambo yao yaweze kwenda. Lakini tukumbuke katiba siyo ya dini fulani wala ya kikundi kidogo cha watu wanaohitaji matakwa yao yaingizwe ili waishi vizuri. Tukiuchukulia mchakato wa katiba kwa mtazamo huu hatuwezi kupata katiba ambayo italijenga Taifa, ila makundi ya watu. Kwa mfano, CCM wana mambo yao ambayo wangelipenda yawemo kwenye katiba ili waendelee kubakia madarani milele daima, CHADEMA nao wana yao ambayo wanapenda yaingie ili washike dola, CUF tayari walishawasilisha mswada wa katiba, siyo mawazo...no mswada wa katiba kwenye wizara ya Sheria na Katiba. Vivyo hivyo NCCR, Tadea, TLP, ADC, Wakatoliki, Waanglikana, Wasabato, AIC, TAG, Full gospel bible fellowship, waalimu, madaktari, wabunge, Wakulima, Wafugaji, Machinga, Mama lishe na kila aina ya kundi ambalo unalifahamu.

Sasa fikiria tukigawanyika katika makundi haya na kila kundi likaainisha mahitaji yake na ndiyo kikawa kilio chao....tutapata katiba ya aina gani? Hapo kutakuwa na katiba kweli au utakuwa utani tunaleta. Maana kwenye madai ya waislamu haujasema kuwa UMILIKI WA ARDHI, MATUMIZI MAZURI YA RASILIMALI, MADARAKA YA RAIS, TUME HURU YA UCHAGUZI, MUUNDO WA MUUNGANO, MUUNDO WA SERIKALI, SERIKALI IWE NA WIZARA NGAPI ZA KUDUMU NA UKOMO UWE WIZARA NGAPI, KAMA NI MUHIMU KUWA NA WAKUU WA WILAYA, DAS, RAS, NA WAKURUGENZI KATIKA ENEO MOJA LA KUFANYIA KAZI, VIPI HAKI ZA WATOTO, na mengine mengi ya msingi. Haya hayahusiani na kundi lolote miongoni mwa makundi ambayo nimeyataja hapo juu. Tukisema kila mmoja alizungumzie kundi lake, nani atazungumzia masuala ya kitaifa kama ambayo nimeyaainidha kwa herufi kubwa hapo juu. Hauoni kuwa tutakuwa hatulitendea haki taifa letu?

Hivi waislamu mkipewa mahakama ya kadhi ndiyo kero zenu zitaisha? Tanzania ikijiunga na OIC, muislamu wa Kagera na Kigoma vijijini wananufaika nini na OIC? Au ni ulaji wa Mashekh tu? Na najiuliza kama mtaruhusiwa kupumzika na kutokufanya kazi siku ya ijumaa kero zinakuwa zimeisha? Mbona mimi mkristu Jumapili napiga kazi kama kawaida? Dini ni mapokeo tu...hapo awali kabla ya waarabu na wazungu hatukuwa na Ijumaa, Jumamosi wala Jumapili, tulikuwa tunafanya kazi kila siku za juma na mambo yetu yalikuwa safi kuliko hata sasa ambapo tunajifanya watu wa Mungu ilihali hatuzifuati amri zake...nini dini bwana? Angalia nchi ambazo zimejipambanua kuwa za kidini, Iraq, Iran, Libya, na sasa Sudan kaskazini, Yemen, Syria, Afghanstan na nyingine nyingi, mambo siyo shwari huko...kila siku watu wanakufa kama mbwa...!

Nashauri...tuangalie na tuchangie mambo ya msingi kwenye tume ya katiba. Tukileta mambo ya udini, wengine wataleta mambo ya ukanda, tutafika mbali na kuleta mambo ya ukabila ya Ukijiji, Hatutabaki salama. Tuzungumzie mambo ambayo yanatufanya kuwa wamoja kama watanzania. Dini kila mtu ana yake na wengine hawana kabisa na wanaishi, tena maisha mazuri bila stress, dini zenyewe za sasa, wachungaji, mapadri na mashehe wamekuwa wachumia tumbo...hakuna lolote...

Mwalimu Nyerere alisema, najua utapinga kwa sababu wewe Muislamu...."Hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya ubaguzi. Haiishi tu kusema wewe ni mkristo na mimi ni muislamu. Ukimaliza kusema mimi Mtanganyika na wewe Mzanzibar, tukifika pemba tutasema wewe Mpemba na mimi Muunguja, huku bara tutasema wewe wa Kaskazini na mimi wa kusini, Hata kwenye dini, leo unajiita muislamu na kuwaorganize waislamu mambo yenu...siku yakitokea ya kutokea, utasema wewe mshiha...na mimi msuni...wewe muislamu wa tabora na mimi wa mwanza....hadi makanisani....wote ni wakristo...lakini tutasema wewe mkatoliki, na mimi mlutheri...tutabaguana hadi kwenye familia zetu, na tukicheza na dhambi hii, tutaanza kubagua hadi viungo vya miili yetu....wewe mkono wa kushoto na wewe wa kulia." Dhambi ya ubaguzi siyo nzuri...

Maji yanatuunganisha wote, Maliasili zetu kama misitu, wanyama, madini, gesi, mafuta na makaa ya mawe yanatuunganisha wote kama watanzania. Tukipata katiba nzuri yenye mgawanyo mzuri wa madaraka, kupunguza madaraka ya rais, kuunda tume huru ya uchaguzi kuondoa wakuu wa wilaya, kutengeneza serikalil za majimbo, wote waislamu na wakristo tutafaidika na haya mambo...siyo habari za mahakama za kadhi, kuvaa hijabu, kuabudu...haya nimapokeo tu, yajadiliwe misikitini yaishie huko...sasa tukifikia kuweka kwamba sasa kuvaa hijabu ruksa...kwenye katiba, inakuwa nchi ya Kiislamu sasa. Au tuseme sasa Mahakama ya kadhi hiyo, serikali itagharamia....na wakristo wakidai yao....? Nani atasema serikali haina dini tena? Tuache hii mambo....Asante, naamini utakuwa umenielewa vyema.

TOGETHER WE CAN BRING THE CHANGES WE NEED...YES WE CAN...TUACHE UDINI...TANZANIA MBELE KAMA TAI...MENGINE YANAFUATA.....
Duu!,mkuu wewe kiboko
 
Ahsante sana STK ONE na Kunguru Mweusi. Kama wasomi tunapaswa kujadili MUSTAKABALI WA TAIFA. Ukiangalia kwa makini, watu wengi wanaweka mambo yasiyo na msingi kabisa! TUNAPASWA KUHAKIKISHA TAIFA LINAKUWA NA DIRA, DIRA AMBAYO KILA ATAKAYEINGIA MADARAKANI ANAIFUATA, KILA CHAMA KINAWEKA MALENGO NA SERA KWA MUJIBU WA DIRA. Wasomi tusaidiane ili tuweze kutoa maoni kwa ajili ya Taifa. Tutasifiwa au kuhukumiwa kwa ajili kutokana na Katiba tutakayoiandika.
 
hospitali ya bugando 90% ya uendehsaji wake unatoka serekalini,wauguzi,madaktari,wafagiaji,madawa,ujenzi,na nk, vyote hivyo vipo chini ya serikali na hapo ni kodi ya watanzania wote bila kujali ni mkristo,muislamu,mpgani,mhindu,nk. Na mgonjwa akifika pale hatibiwi bure kuna gharama ambazo baadhi ya watu hushindwa kuzilipa na kudiliki kupita ktk nyumba za ibada hasa misikitini ili kuweza kupata fedha za kulipa hgalama hizo, suali, je faida ya mapato ya hospitali hiyo huingia kanisani au serekalini?je serikali haiwezi kujenga hospitali zake au kupandisha baadhi ya hospital za mikoa kuwa rufaa?je mabilioni ya fedha yanayopelekwa huko ni ya wakristo pekee?
lakini ebu waislamu tujiulize?hivi kwa akili za kawaida serikali hata madawati inashindwa,ajira ni issue na sasa je uwezo wa kujenga hospitali inauwezo huo?ndio maana ikaona jawabu ni kuyapigia magoti makanisa ili wasaidiane katika kuboresha huduma za jamii.na aliye initiate ili alikuwa "mzee ruksa" na kiukweli kwa miaka mingi mahospitali ya makanisa yamesaidia sana hata kabla ya "mou".tatizo hili ni tatizo la kihistoria na siyo la mkiristu,ujue walioleta dini ya kikristu walikuwa na vision lakini waarabu walikuwa na mission,ndio maana hawakutilia mkazo mambo ya elimu wala huduma za afya,cha msingi historia imetuhukumu,point ya msingi tumekumbuka shuka wakati kumekucha sasa tujifunze kwa wenzetu wakristo wanavyofanya,tuache uvivu,kushinda kwenye bao,tuchangamke.mbona kuna waislamu wenzetu wako mbali katika elimu,tuache kulalamikia ujinga.kwani hata mahakama ya kadhi ikiwepo,kuvaa hijabu je mataizo ya umaskini wa kushinwda kupeleka watoto wetu shule yatakwisha.je inamaana waumini wa kikristu hakuna maskini au inamaana wanagawiwa hela makanisani,je wanatibiwa bure na kusomeshwa bure kwenye haya mahospitali na mashule yao.waislamu tuache uchovu wa kufikiria let's be cretive kama wenzetu.
 
hayo mabilioni ambayo waislam wanadai wakristo wanapewa kupitia hospitali na mashule, ukienda kwenye hospitali hizo utakuta waislam kibao wamevaa ushungi na wengine kanzu wameenda pale kutibiwa...hahaha, mashule waislam pia wanasoma huko...tatizo lipo tu kwasababu ya wivu...wanaona kama wanaonewa....wao waislam hawajakatazwa kujenga mashule ili nao wafaidi kama kufaidi kupo...basi kama ndo hivyo msije kabisa kwenye mahospitali yetu, msije kabisa kwenye mashule yetu kaeni tu mkatibiwe kwa waganga wa kienyeji mashehe wauza uchawi huko misikitini....akili za watu kama hawa (wachache wanaowachafua na waislam wengine wengi ambao wana akili zuri tu) ni za kipunga sana na hawata weza chochote hata tukibadilisha chuo kikuu udsm leo tukafukuza wakristo wote tukawapa iwe chuo cha waislam tu...mwaka mmoja tu kitakuwa kimeharibika kushika mkia duniani...tatizo la kutumia zaidi dini na imani kuliko reality katika ulimwengu ambao tunaishi ndani ya dini na imani tofauti wote tukiwa na haki zote katika dunia hii hii moja, kama hatutaishi kwa kuvumiliana ni ngumu sana.....unatakiwa unapoishi usifikiri dunia hii ni ya kiislam, kuna na watu wengine pia, usifikiri wewe tu ndo mwenye haki..kuna wengine pia wana haki zao....pambafuuuuuuuu

puuummbaaaavu mwenyeo!! Wat u spoke iz too PUMBA..
 
Back
Top Bottom