NABII MTARAJIWA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 425
- 609
Sisi tunapima tu na tunagundua kuwa hayo mambo yenu mnayofundishana sio ya Mungu wa kweli. Ndio maana wanaopitia madrasa mwishowe wanakuwa magaidi.Wenzetu kwa watoto wao hawana mfumo mzuri wa kuwasomesha dini zao.
Sio hawana tu bali mfumo wa dini yao haukubali kabisa kuwaanda watoto wao ktk mfumo wa dini
Sasa wanaona choyo kuona waislam wamekiweka utaratibu wa madrasa ambao kwa kiwango kikubwa wanaopiga vita ili ukwame.
Changamoto ndogo ndogo kama bakora kwa watoto kusistoe ktk reli kuwasomesha watoto wetu.
1. Wanasema madrasa inapoteza muda kwa watoto na kurudisha nyuma mfumo elimu ya shule.
2. Unawafanya waislam wawe na msimamo wa dini yao
3. Walimu wa madrasa wanawapiga watoto.
Hata biblia imesema mtoto achapwe mpaka akae sawa.
Kuwa makini na muislam kuingia ktk mtego wa wakiristo ktk mfumo wa madrasa. Wataupiga vita kwa nguvu zote ili watoto wetu wawe kama wao wanaishi maisha ya wazungu.
Surah Al-Baqarah (2:120): "Wala Wayahudi wala Manasara hawataridhika nawe mpaka ufuate mila zao