Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?


Unahabari Turkey anaitungua Sirya kila siku? Una habari Iraq na Irani ni paka na panya na wamedumu kwenye vita miaka 20 niseme nini juu ya sudani, je karatasi zitatosha nikiandika ya Somalia

Kifupi Uislamu unaenezwa kwa Upanga

Saudi Arabia wanakimbia nchi kila siku wanataka good life la Uk, US Canada AUS na Ulaya

Kifupu Hakuna nchi ya Kiislamu yenye AMANI mpaka dunia inaisha Waislamu wataishia kutanga tanga kwa Makafiri

Na sasa hivi watapigwa stop kila kona
 
waliivamia na hapakuwa kwao , hv bwana malaria waarab wamekugeuza chizi lao , hata ulichoandika kinaonesha kabisa walivamia na sio kwao
 
nakuonyesha wazungu walikuwa waislam kabla ya vatikan kuharibu mambo
ila uislam ni dini ya shetan , maana unauwa kuwa ukristu ulianza kufika mashariki ya kati hata kabla uislam haujazaliwa ila upo hapa kupotosha umma makusudi
 
Watalii kumbe walienda Iraq na Syria kutalii. Kumbe wako kwenye base pale Qatar kutali na zile base za UAE na Saud Arabia yote ni utaliii au ni kuleta balaa hapo middle east

Si ana Carriers anataka ni base kama si ujambazi kumyonya pesa za warabu
mliwakaribisha wenyewe , hawakuanguka kutoka angani
 
Ukiwakaribisha ujue umekaribisha joka nyumbani.
 
Mkuu bs wakimbilie kwa waarabu wenzao hahah
 
Wanaenda kuwabadilisha hao makafiri wakizungu wawe waisilamu

Kwa hiyo Kuna umuhimu wawao kwenda huko
 
Tuanze na bibi yetu FaizaFoxy umekaa Canada zaidi ya miaka 20+ cha ajabu Hujawahi tia mguu Pakistan wala Iran hata siku1
QUR'AN 2:216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…