Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

1000533647.jpg
 
Mtu akishakuwa muislamu akili zinahama
Akili zingehama za huyu muislamu,aliyegundua algebra,bila Algebra,dunia ingekuwa gizani,information technology,inategemea Algebra,bila Algebra kusingekuwa na IT.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-04_173539.jpg
    Screenshot_2024-08-04_173539.jpg
    294.9 KB · Views: 1
Katika karne ya 7 na 8, Uislamu, uliingia Ulaya kupitia eneo la Hispania (nchi za leo za Hispania na Ureno). Waislamu walidhibiti sehemu kubwa ya Peninsula ya Iberia kwa muda wa karne tatu, kuanzia mwaka 711 hadi 1492. Katika kipindi hiki, Waislamu walikuwa na ushawishi mkubwa katika utamaduni, sayansi, na elimu barani Ulaya. HAPA WAZUNGU WAKIVAA MAGUNIA
Nini maana yako?
 
Wanakimbia Sharia za kukatwa shingo na mikono hadharani.
Cha ajabu walifika huko wanajifanya wanataka Sharia.

Hawa watu ni wa ajab ajab sana.
 
🤣🤣

Acha tu nianze na kicheko

Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian

Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini ya dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu huko makafiri

Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!

Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
Kule wanakula kitimoto sana na umalaya
 
Wanakimbia Sharia za kukatwa shingo na mikono hadharani.
Cha ajabu walifika huko wanajifanya wanataka Sharia.

Hawa watu ni wa ajab ajab sana.
Wazungu wako nchi za kiarabu,nao wamekimbia kuuliwa kwenye vitanda vya umeme vya kuuwa?Kuwa na akili
 
Dunia nzima inatakiwa iwe na DINI MOJA.ambayo ni uislam
Tunawafundisha ustaarabu muache KUTEMBEA UCHI.na mumjue mungu mmoja wa kweli .msiabudu masanamu n.k
Miongoni mwa mafunzo hayo ni pamoja na watu kuvaa mabomu wajilipue na kulipua watu? Huo ndo ustarabu shekhe?
 
Miongoni mwa mafunzo hayo ni pamoja na watu kuvaa mabomu wajilipue na kulipua watu? Huo ndo ustarabu shekhe?
Sasa hapo kwenye mabomu ni mafundisho mengine.
Uislam haufundishi kuua watu wasiokuwa na hatia anapotokea mtu anafanya hivyo inabidi TUMUHOJI KAFUNDISHWA NA UISLAM UPI KUUA WATU WASIOKUWA NA HATIA?
 
Huyu anachoma pesa,aliyonunua hiki kitabu,ni mjinga na mpumbavu,ndio anatoa hela,kununua kitu,na kukichoma,hapo anachoma hela yake,vitabu binachapishwa viwandani,mamilioni ya copy,atacama copy ngapi.Ni upumbqvu na ujinga.
Walizusha eti Allah kamuua hivi ni kweli?!
 
🤣🤣

Acha tu nianze na kicheko

Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian

Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini ya dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu huko makafiri

Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!

Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
HAPO HUWA HATA MIMI NASHANGAA SANA. HAWATAKI KUKAA KWAO.
 
Back
Top Bottom