Mtanzania2020
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 817
- 1,752
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zingehama za huyu muislamu,aliyegundua algebra,bila Algebra,dunia ingekuwa gizani,information technology,inategemea Algebra,bila Algebra kusingekuwa na IT.Mtu akishakuwa muislamu akili zinahama
Nini maana yako?Katika karne ya 7 na 8, Uislamu, uliingia Ulaya kupitia eneo la Hispania (nchi za leo za Hispania na Ureno). Waislamu walidhibiti sehemu kubwa ya Peninsula ya Iberia kwa muda wa karne tatu, kuanzia mwaka 711 hadi 1492. Katika kipindi hiki, Waislamu walikuwa na ushawishi mkubwa katika utamaduni, sayansi, na elimu barani Ulaya. HAPA WAZUNGU WAKIVAA MAGUNIA
Kule wanakula kitimoto sana na umalaya🤣🤣
Acha tu nianze na kicheko
Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian
Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini ya dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu huko makafiri
Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!
Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
Wazungu wako nchi za kiarabu,nao wamekimbia kuuliwa kwenye vitanda vya umeme vya kuuwa?Kuwa na akiliWanakimbia Sharia za kukatwa shingo na mikono hadharani.
Cha ajabu walifika huko wanajifanya wanataka Sharia.
Hawa watu ni wa ajab ajab sana.
Miongoni mwa mafunzo hayo ni pamoja na watu kuvaa mabomu wajilipue na kulipua watu? Huo ndo ustarabu shekhe?Dunia nzima inatakiwa iwe na DINI MOJA.ambayo ni uislam
Tunawafundisha ustaarabu muache KUTEMBEA UCHI.na mumjue mungu mmoja wa kweli .msiabudu masanamu n.k
Katika uislamu ni tofauti na dini nyingine,ukienda kinyume na mafundisho ya uislamu,automatic,uneshatoka kwenye uislamuKule wanakula kitimoto sana na umalaya
A donkey with wings
Huyo Alex,mkristo ameuwa wasichana watatu,na kujeruhi 9,ndio ukristo umemfundisha kuuwa?Watu wa hovyo sana na mafundisho yao
Sasa hapo kwenye mabomu ni mafundisho mengine.Miongoni mwa mafunzo hayo ni pamoja na watu kuvaa mabomu wajilipue na kulipua watu? Huo ndo ustarabu shekhe?
Kwa hiyo Alex amefuta madhambi na ujinga wa magaidi?Kila mmoja ajitetee kwa uhalifu wake.Hamna kujibanzabanza kwenye ujinga wa mtu baki.Huyo Alex,mkristo ameuwa wasichana watatu,na kujeruhi 9,ndio ukristo umemfundisha kuuwa?
Walizusha eti Allah kamuua hivi ni kweli?!Huyu anachoma pesa,aliyonunua hiki kitabu,ni mjinga na mpumbavu,ndio anatoa hela,kununua kitu,na kukichoma,hapo anachoma hela yake,vitabu binachapishwa viwandani,mamilioni ya copy,atacama copy ngapi.Ni upumbqvu na ujinga.
Wacha waendelee kunyweshwa mkojo wa Ngamia.Mnadanganywa sana msikitini
USSR
HAPO HUWA HATA MIMI NASHANGAA SANA. HAWATAKI KUKAA KWAO.🤣🤣
Acha tu nianze na kicheko
Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian
Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini ya dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu huko makafiri
Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!
Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri