Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 525
- 876
Yah , dini ya kiislam hairuhusu kuishi na mtu ambaye si muislam , yani divyo ilivyo tena anatakiwa kuuwawa kbsNi sawa na wanavyosema hawaruhusiwi kula kitimoto isipokuwa wakiwa na njaa kali bila chakula chochote karibu.
So tukitafsiri hapo; ugumu wa maisha ni sawa na wao kuwa na njaa kali, na kukimbilia kuishi kwa makafiri ni sawa na wao kuonja kitimoto ili njaa isiwaue.
Kafiri haina nchi fulani, yeyote mwenye kukufuru ni kafiri.🤣🤣
Acha tu nianze na kicheko
Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian
Unakejeri nchi za watu na kuwaita Makafiri, halafu wewe ndo unaomba kuhamia huko na usivyo na ustarabu sasa, tabu tupu
Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu wa huko makafiri
Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!
Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
Je? Kafiri anaweza kumlea mwislamu asiyependa makafiri?
🤣🤣
Je? Kafiri anaweza kumlea mwislamu asiyependa makafiri?
Hata sioni mantiki ya ulipoandika vita ndiyo sababu NO, Europe is a dreams place for everyone, but muslims mnaita wazungu na wale wasio upande wenu kafiri kisa na mkasa unajua.Hukuwahi kuongea la maana.
Huwa unaropokaga tu.
Wahamiaji wa kiarabu hutokea nchi zenye vita SYRIA,LEBANON,IRAQ,YEMEN.
Na ukifuatilia nadhani utaelewa nani chanzo cha machafuko ya hayo mataifa ni hao hao wazungu wenyewe.
Umewahi kusikia mwarabu wa QATAR,OMAN,BAHRAIN,KUWAIT,DUBAI,BRUNEI ana mawazo ya kuhamia Ulaya!??
Nchi za hao wafu zingekuwa hazijaingizwa katika vita basi wangekua kwao wanajenga taifa Lao.
Qur'an 23:109. Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu. 109🤣🤣
Acha tu nianze na kicheko
🤣🤣
Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian
🤣🤣
Unakejeri nchi za watu na kuwaita Makafiri, halafu wewe ndo unaomba kuhamia huko na usivyo na ustarabu sasa, tabu tupu
Mufti, mbona kila leo mnaimba kusema, Ulaya ni bara la makafiri?Kafiri haina nchi fulani, yeyote mwenye kukufuru ni kafiri.
Nani zaidi yako hapa aliyeandika "nchi za makafiri"?
Unajuwa maana ya kafiri?
Hapo sasa🤣🤣
Acha tu nianze na kicheko
Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian
Unakejeri nchi za watu na kuwaita Makafiri, halafu wewe ndo unaomba kuhamia huko na usivyo na ustarabu sasa, tabu tupu
Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu wa huko makafiri
Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!
Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
Je? Kafiri anaweza kumlea mwislamu asiyependa makafiri?
Huyo anaupenda Uislam na Waarabu ndicho kinachomuuma.Hukuwahi kuongea la maana.
Huwa unaropokaga tu.
Wahamiaji wa kiarabu hutokea nchi zenye vita SYRIA,LEBANON,IRAQ,YEMEN.
Na ukifuatilia nadhani utaelewa nani chanzo cha machafuko ya hayo mataifa ni hao hao wazungu wenyewe.
Umewahi kusikia mwarabu wa QATAR,OMAN,BAHRAIN,KUWAIT,DUBAI,BRUNEI ana mawazo ya kuhamia Ulaya!??
Nchi za hao wafu zingekuwa hazijaingizwa katika vita basi wangekua kwao wanajenga taifa Lao.
Kafiri ni yule anayemkanusha Mungu kwa kusema HAKUNA MUNGU ISIPOKUWA allahKafiri kwenye uislam ana haki zote,kulindwa,kupewa zakkah na sadaka Kama anastahiki,kupewa haki zake zingine,kafiri ni mkanushaji wa Mungu mmoja aso mithali,asiye na mwana Wala baba,muumba wa kila kitu,so usione kuitwa kafiri ni kitu Cha ajabu,japo hata kahaba hawaipendi kuitwa kahaba,ishi nalo tu,so kwenda nchi ya makafiri hakuna shida kwenye Imani ya kiislam
Na asiye kafiri ni yupi?Kafiri ni yule anayemkanusha Mungu kwa kusema HAKUNA MUNGU ISIPOKUWA allah
Hawa wenzetu akili zao ni kigeugeuHata sioni mantiki ya ulipoandika vita ndiyo sababu NO, Europe is a dreams place for everyone, but muslims mnaita wazungu na wale wasio upande wenu kafiri kisa na mkasa unajua.
Ila sasa hao hao ndiyo tegemeo lenu, mfano uchumi wa nchi za Emarati unategemea watalii kutoka ulaya hata hapo nchini zanzibari unategema watalii ambao ni wazungu pia.
Inakuwaje wewe uliye na mungu halafu unakwenda kuishi kwa kujikomba komba kwa makafiri ambayo wewe husema hayana Mungu?Huyo anaupenda Uislam na Waarabu ndicho kinachomuuma.
Wivu unamsumbuwa.
"Waliowazima hawaitaji tabibu bali waliohajiwezi"tukijitenga nao watazidi kuangamia,lazima sisi twende ili na wao wawezekuja.🤣🤣
Acha tu nianze na kicheko
Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian
Unakejeri nchi za watu na kuwaita Makafiri, halafu wewe ndo unaomba kuhamia huko na usivyo na ustarabu sasa, tabu tupu
Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu wa huko makafiri
Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!
Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
Je? Kafiri anaweza kumlea mwislamu asiyependa makafiri?
Katika karne ya 7 na 8, Uislamu, uliingia Ulaya kupitia eneo la Hispania (nchi za leo za Hispania na Ureno). Waislamu walidhibiti sehemu kubwa ya Peninsula ya Iberia kwa muda wa karne tatu, kuanzia mwaka 711 hadi 1492. Katika kipindi hiki, Waislamu walikuwa na ushawishi mkubwa katika utamaduni, sayansi, na elimu barani Ulaya. HAPA WAZUNGU WAKIVAA MAGU ppl avr
Nyinyi mbona Safu haiziongezeki!; licha ya mikwala ya vitisho wakati kuazini swala Asubuhi!Hao wamarekani ndiyo hawataki kabisa dini, ukiristo wameutupa kule,udwanzi wa Mungu kushuka kuvaa mwili wa kibinadam,asulubiwe ili kutuokoa wameona udwanzi
Kweli walikuja na vifaru kuwaletea chakula wa Iraq na huko Libya Gaddaf aliwakaribisha.mliwakaribisha wenyewe , hawakuanguka kutoka angani
Sasa hao Syrian kwanini wasiende huku Qatar, Oman na ulipopata?Hukuwahi kuongea la maana.
Huwa unaropokaga tu.
Wahamiaji wa kiarabu hutokea nchi zenye vita SYRIA,LEBANON,IRAQ,YEMEN.
Na ukifuatilia nadhani utaelewa nani chanzo cha machafuko ya hayo mataifa ni hao hao wazungu wenyewe.
Umewahi kusikia mwarabu wa QATAR,OMAN,BAHRAIN,KUWAIT,DUBAI,BRUNEI ana mawazo ya kuhamia Ulaya!??
Nchi za hao wafu zingekuwa hazijaingizwa katika vita basi wangekua kwao wanajenga taifa Lao.
🤣🤣
Acha tu nianze na kicheko
Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian
Unakejeri nchi za watu na kuwaita Makafiri, halafu wewe ndo unaomba kuhamia huko na usivyo na ustarabu sasa, tabu tupu
Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu wa huko makafiri
Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!
Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
Je? Kafiri anaweza kumlea mwislamu asiyependa makafiri?