Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Sababu kuu zinazofanya waarabu kukimbilia hifadhi nchi za wazungu ni CIVILIZATION ukiachana na vijisababu vingine.
Jamii ya kiarabu ni uncivilized,mpaka sasa bado wana mila ama tamaduni za mfumo dume na kukandamiza wanawake.
Mfano mwanamke wa kiarabu kutwangwa magumi na mumewe kawaida ila Ulaya kosa la jinai.
Binti wa kiarabu akibakwa badala ya mbakaji ahukumiwe ila binti anazikwa akiwa hai eti kuikoa familia na fedheha na aibu.
Waarabu wana bado mila potofu wanaziishi hadi sasa.
Tafuta hata documentaries za vyombo vikubwa vya habari hasa uone wanawake wa Syria wanavyoona kama wameokoka kuja Ulaya,yote ni kwasababu ya POOR TABOOS za waarabu.
Waarabu bado HAWAJASTAARABIKA.
Ila Waarab Wakristu wako poa sana. Ni kama wanaishi dunia yao huko Uarabuni pamoja na mateso yote na wakihamia West wanafanikiwa sana kama kina Carlos Slim
 
Katika karne ya 7 na 8, Uislamu, uliingia Ulaya kupitia eneo la Hispania (nchi za leo za Hispania na Ureno). Waislamu walidhibiti sehemu kubwa ya Peninsula ya Iberia kwa muda wa karne tatu, kuanzia mwaka 711 hadi 1492. Katika kipindi hiki, Waislamu walikuwa na ushawishi mkubwa katika utamaduni, sayansi, na elimu barani Ulaya. HAPA WAZUNGU WAKIVAA MAGUNIA
Mnadanganywa sana msikitini

USSR
 
Katika karne ya 7 na 8, Uislamu, uliingia Ulaya kupitia eneo la Hispania (nchi za leo za Hispania na Ureno). Waislamu walidhibiti sehemu kubwa ya Peninsula ya Iberia kwa muda wa karne tatu, kuanzia mwaka 711 hadi 1492. Katika kipindi hiki, Waislamu walikuwa na ushawishi mkubwa katika utamaduni, sayansi, na elimu barani Ulaya. HAPA WAZUNGU WAKIVAA MAGUNIA

Sayansi ya inzi bawa moja Lina sumu na KUKAMUANA NGAMA??
Rejea Misri zama za Mafarao ilikuwa ni Wajuzi wa ilimu mojawapo waanzilishi wa
Elimu ya madawa, Elimu ya Nyota, Enginearing.....ulipoingia uislamu wakaibemenda ilimu yote wakabakia allahu yaalam🙄😜
 
Hao wamarekani ndiyo hawataki kabisa dini, ukiristo wameutupa kule,udwanzi wa Mungu kushuka kuvaa mwili wa kibinadam,asulubiwe ili kutuokoa wameona udwanzi
Kaka mbona sasa huji na facts na stats? Unajaza taarabu?
Number hupingwa kwa number brother

Currents stats ya waamin wa ukristo US up to date ni almost 63%

30% wakiwa protestant, 18% catholics, 20% white mainline prostentant christian
Hao wamarekani ndiyo hawataki kabisa dini, ukiristo wameutupa kule,udwanzi wa Mungu kushuka kuvaa mwili wa kibinadam,asulubiwe ili kutuokoa wameona udwanzi
 
Uislamu ni dini ya pili kwa ukubwa baada ya Ukristo kwa sasa lakini inakua kwa haraka sana.
Hata hivyo hilo huenda likabadilika iwapo mwenendo wa watu wanaojiunga na dini hiyo utaendelea, kulingana na utafiti uliochapishwa na kituo cha utafiti cha Marekani Pew Research Center.
Kulingana na utafiti huo Uislamu unakuwa kwa haraka ikilinganishwa na dini nyengine yoyote ile duniani.
Itaipiku dini ya Kikristo ifikiapo 2070 kulingana na makadirio yake na hivyobasi kuwa dini yenye ufuasi mkubwa duniani.
 
Ila Waarab Wakristu wako poa sana. Ni kama wanaishi dunia yao huko Uarabuni pamoja na mateso yote na wakihamia West wanafanikiwa sana kama kina Carlos Slim
Hamna mkuu umekosea.
Hata waarabu waislam wako poa sana.
Kuna vitu Watu wanachanganya,KUNA UARABU NA UISLAM.
UISLAM hauna shida mkuu ila UARABU ndio una shida.
Ila hata waarabu waislam wako poa sana hata hapa Tanzania si tunaishi nao??
Shida uarabu.
Hata muarabu mkristo aliyekulia Uarabuni ni wale wale tu mila mbovu.
 
Kaka mbona sasa huji na facts na stats? Unajaza taarabu?
Number hupingwa kwa number brother

Currents stats ya waamin wa ukristo US up to date ni almost 63%

30% wakiwa protestant, 18% catholics, 20% white mainline prostentant christian
63%!?.. kwenye christian country for centuries!!..na hiyo ni nominal siyo practical,ukiwauliza waenda kanisani j2 utakuta ni wazee tu,nilikuwekea article inayoknesha decline ya Christianity ulaya
 
🤣🤣

Acha tu nianze na kicheko

Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian

Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini ya dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu huko makafiri

Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!

Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
Kusambaza uislam
Uislam ni fastest growing religion in Europe
 
Uliwafunua wote hao "wengi" boksa zao?
Nikienda UK 2013,mwenyeji wangu alikua mama wa kiingereza, wanawake wa kiingereza wengi hawajaolewa Ila wanatamani,nilipomwambia watz wanapenda kuoa wazungu, alisema wanawake wa kiingereza wangejua wangejazana tz kuolewa,wanaume wa kizungu uwezo umeshuka na wengi wanagongwa,acha waarabu wawaoe,baada ya miaka 50 hivi vichotara vya kiarabu kibao uingereza, ufaransa,ubelgiji,ujeruman, Sweden
 
63%!?.. kwenye christian country for centuries!!..na hiyo ni nominal siyo practical,ukiwauliza waenda kanisani j2 utakuta ni wazee tu,nilikuwekea article inayoknesha decline ya Christianity ulaya
Ndio latest stats sasa tena 2023, unayo zaidi inayopingana na hiyo au una empty words?

Suala la kwenda church ni mtambuka, mbona kuna muslim kibao na msikitini hawakanyagi?
 
Back
Top Bottom