Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Dunia nzima inatakiwa iwe na DINI MOJA.ambayo ni uislam
Tunawafundisha ustaarabu muache KUTEMBEA UCHI.na mumjue mungu mmoja wa kweli .msiabudu masanamu n.k

Wewe ndo unafanya waislamu wenzako wanaoijambua waonekane vichwa mavi.
 
Kweli waislamu ni wapumbavu sana ni kweli hatumuamini ala sijui ara ila tunamuamini Mungu.
Bila waislamu dunia ingekuwa nyuma sana.Bila Algebra(muislamu),kugundua algebra,ambayo information technology inaitegemea,na kila kitu unachokiona,kilichotengenezwa kinatokana na IT.Na IT bila Algebra,isingekuwepo.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-04_165342.jpg
    431.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-08-04_165415.jpg
    322.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-08-04_165409.jpg
    406 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-08-04_165403.jpg
    396 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-08-04_165352.jpg
    409 KB · Views: 1
Wewe ndo unafanya waislamu wenzako wanaoijambua waonekane vichwa mavi.
Muislam yoyote hawezi kuwa tofauti kimsimamo NA MIMI. Maana ndo ukweli ninaosema.japo hautaki kuusikia.
DUNIA INATAKIWA ISOME ,LA ILAHA ILLA ALLAH,MUHAMMAD RASUL ALLAH.
 
Bila muislamu,dunia ingekuwa gizani
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-04_165342.jpg
    431.2 KB · Views: 1
Wapo na wanazaliana kama kuku wa kisasa.
Sijui wanamkomoa nani.
Unamkuta mwenye nchi ana katoto kamoja,akiongeza mbwa na paka.
Wao ataleta mama ,bibi,babu,watoto 10,wajukuu 50.
Hela serikali italipa.
Hii ni kitu mbaya sana,wameharibu hata mfumo wa migration.
Na leo vita imeanza huko UK.
Wanapiga kila wanaemuona migrant.
Uwe nani au toka wapi we sio british kichapo kiko palepale.
Kuna Waafrika wengi tu na maisha yao Europe.
Mwarabu anaweza kukudharau kwasababu we ni ngozi nyeusi huku we ndio unamtuma na kumwandikia kazi za kufanya.
Ni mambo ya ajabu sana.
 
Ottoman imetawala Ulaya kwa zaidi ya Miaka 400, sijui kama unafahamu historia vizuri
Unaongea too general, ngoja nikusaidie kutaja hizo nchi za ulaya ziliwahi kutawaliwa na Europe;
Greece
Albania
North Macedonia
Kosovo
Serbia
Montenegro
Bosnia and Herzegovina
Croatia
Hungary
Romania
Bulgaria


Haya tuambie, ni kipi kilitokea?
 
Bila uislamu dunia ningekuwq gizani,algebra ndio Information technology,unatumia computer,simu,gari,TV,mashine za hospital,viwandani,ndege nk ni IT,IT bila Algebra,isingepqtikana,bila muidlamu aliyegundua algebra,kusengekuwa na IT
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-04_173539.jpg
    294.9 KB · Views: 1
Vyovyote vile.HAIFUTI UKWELI KUWA WAO NI MAKAFIRI. na sio ubaya kuitwa kafiri.maana hawamuamini ALLAH.
Kwa Mujibu wa Imani yangu!; kuanzia Allah, jiburilu, majini, Muhammed, mjinga, mjinga ww ni MAKAFIR MAANA hawamuani YESU ni Mola wetu!💪👍
👇👇
Jude 1:4
[4]Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
 
Humu simu asilimia mia tunatumia simu za wala nguruwe samsung,Iphone,tecno na wajomba zake zote ni wala nguruwe no moja ndo watengenezaji ajabu sasa unakuta tumeziweka mfukoni wakati ni za wala nguluwe 🤣🤣🤣
 
Yesu alikuwa dini gani?
 
Humu simu asilimia mia tunatumia simu za wala nguruwe samsung,Iphone,tecno na wajomba zake zote ni wala nguruwe no moja ndo watengenezaji ajabu sasa unakuta tumeziweka mfukoni wakati ni za wala nguluwe 🤣🤣🤣
Bila muislam,kugundua Algebra,kusingekuwepo na Information technology,IT,ambayobinatumia algebra,na algebra aligundua muislamu,kila unachokiona kilichotengenezwa na binadamu ni IT,na IT ni algebra(muislamu aliyegundua)
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-04_173539.jpg
    294.9 KB · Views: 2
Bila uislamu dunia ningekuwq gizani,algebra ndio Information technology,unatumia computer,simu,gari,TV,mashine za hospital,viwandani,ndege nk ni IT,IT bila Algebra,isingepqtikana,bila muidlamu aliyegundua algebra,kusengekuwa na IT
Ungesema muham mad Alipata wahyi wa algebra🙄😜
Halafu huyu mgiriki Diophantus of Alexandria umesahau😇😜
Harjununu fununu
 
Humu simu asilimia mia tunatumia simu za wala nguruwe samsung,Iphone,tecno na wajomba zake zote ni wala nguruwe no moja ndo watengenezaji ajabu sasa unakuta tumeziweka mfukoni wakati ni za wala nguluwe 🤣🤣🤣
Ukitaka hivyo.na sisi tutahoji kwanini wao wameumbwa na ALLAH lakinu wana muasi,wamepewa,miili,akili n.k .
Vyote hivyo vimetoka kwa mungu wetu.
Wamemlipa nini MUNGU WETU?
 
Ungesema muham mad Alipata wahyi wa algebra🙄😜
Halafu huyu mgiriki Diophantus of Alexandria umesahau😇😜
Harjununu fununu
Aliyegundua Algebra Ni Muhammad,soma vizuri
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-04_173539.jpg
    294.9 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…